Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Mbona tweet ya mwananchi official ilisema kabisa msaidizi wa RPC kathibitisha MO kapatikana?

Hivi sasa hiyo tweet inaonekana wameifuta ila kwa Mange Instagram ipo.

Wamejichanganya wenyewe.
Ujinga wa bashite always hujidhiirisha hata ajitahidi ku edit vipi mapicha yake bado utaonekana crystal clear [emoji23][emoji23]
 
Alijiamini nadhani alijiina kwa sababu hana makandokando kwa akajiona yupo salama.
Hili ndilo kosa linalofanywa na watanzania wengi kwa kukosa Uzalendo, Mambo kama haya yalipomtokea Roma, yakamtokea Ben Saanane, yakamtokea, Lissu, yakamtojea Daudi John wa kata ya Hananasif kindoni na yakawatokea wengine wengi yeye Billionea Mo alifanya nini, je alikemea japo kwa maneno tu? Alijiona yuko salama na kwamba hayamuhusu.

Na hiki ndicho kinaenda kuwatokea kila wasaliti wa kijamii. Social hypocrites wote kwa nyakati tofauti.

Lowasa alipokuwa ccm alishiriki uharamia wooote uliofanywa na ccm dhidi ya wapinzani, nyakati zilipofika na yeye akawa mpinzani na sasa anashughulikiwa ipasavyo, anajuta kwa kutokemea tabia zile za ki-alishabaab ambazo hakukemea akiwa huko ccm na kuziacha kuota mizizi.
 
Watanzania wengi hamjielewi, hili ni jukumu la Polisi kumpata Mo na kuwakamata watekaji.

Kazi ya Tiss ni kutowa information kabla ya tukio kutokea, Tiss hawana power of arrest

By the way Makonda ndio mwenye uwezo wa kumpata Mo alipo, narudia Makonda akamatwe mara moja kama kweli jeshi la Polisi linajitambuwa.
Mbona walimkamata Zacharia?? TISS ndio wanaofanya wasieleweke ktk jamii.
 
Hili suala linaichafua nchi.
Hawaoni ubalozi wa Saudia pale Turkey unavomulikwa?
 
Hakuna hapo kuna mchezo unachezwa. Haiingii akilini kuwa ametekwa, huenda kuna mpango unafanywa juu ya mtu fulani, I'll ikitokea watu tujue aaah kawaida, mbona MO nae alitekwa!! Lakini hakuna siri chini ya jua kila kitu kitakuwa peupe muda sio mrefu. La tatu kwanini MO anaishi maisha ya aina hiyo? Hivi kweli yeye hajijui kuwa na Tycoon, au anazani kuishi hivyo ndio kutamfanya apendwe? Lazima aamue kuishi tofauti kabisa, tena tofauti sana. Haiwezekanj MO akashindwa kuwa na fitness Center kwenye kasri lake, ok hana. Basi haiwezekani akawa hana bodyguard anapotoka ndani ya viunga vya kasri lake, jamani MO ni nembo ya taiga letu.
Natoa angalizo kwa wanaofanya huu mchezo, wanaliangamiza taifa. Wasidhanie ni suala dogo, hakuna wawekezaji watakaokuja Tanzania kuwekeza na hata wakija watakuja vibaraka wao.
Ni nani aneapanga ujinga huu, na kwanini wanamchekea? Baba wa Taifa alisema, ukizoea kula nyama ya watu, hautaacha. Wamezoea kuwateka akina Ben Sanane, Dr Ulimboka na wengine kuwaua kabisa, sasa dhambi inatamalaki wameanza kutekena wenyewe kwa wenyewe. Amini nakuambia kila kitu kitakuwa wazi, huenda wamemtaka kwa kumtisha ili aisaidie kifedha jamii , taasisi au kikundi cha watu fulani itajulikana. Sitaki kwenda mbali sana, ila anaepanga huu mchezo, lazima akamatwe ashtakiwe na kufungwa. Labda tu kama kuna baraka ya Mungu. Acha tu niingie mtaani kutafuta riziki ya kila siku.
Na hivyo ulivyosema ni ukweli kwa 90%
 
Brigadier Isaac Maliyamungu

Isaac Maliyamungu was one of Idi Amin's most evil and feared Lieutenant who was in charge of quelling dissent in the army.

Before he joined the army, he had been a mere gatekeeper at Nyanza Textile Industries. At the time of the coup, he commandeered a tank with which he shot up the entrance to the Entebbe airport terminal, killing two priests.

After the coup he headed Amin's execution gangs, with unlimited power to execute anybody in the army, even officers senior to him. His modes of execution were as atrocious as anything imaginable. He was fond of disemboweling his victims.

Along with several other officers, he is known to have executed his victims by having them run over by tank. But perhaps the grisliest episode concerned Francis Walugembe, who had previously been Mayor of Masaka.

In September 1972, Walugembe was arrested, had his genitals cut off and was paraded through the streets before being killed and dismembered.

So violent and brutal was Malyamungu that even Amin once admitted fearing him believing he was going mad.
Maliyamungu bashite??
 
Habari nzito kama hii,abgekuwa nani ndo ingekuwa nyepesi?

Zakaria taarifa yake ilitolewa na polisi?

Ya Roma mkatoliki ilitolewa na Polisi?

Ya Masoud kipanya ilitolewa na Polisi?

Ya Ben saa nane ilitolewa na polisi?
Ya Tundu Lissu ilitolewa na polisi?

Ya Hussein Bashe na Msukuma Dodoma ilitolewa na Polisi???

Nguvu ya social networks ni kubwa sana,kama kila habari ingesubiriwa kutolewa na polisi,hasa habari kama hizi,basi yote hayo hapo juu,kamwe tusingeweza kuyajua!!!


Umesahau na watoto wetu wanaopotea kila kukicha!
 
Back
Top Bottom