Sijui unazungumza lugha gani?Hii mbegu ya ubaguzi mnaisambaza sana huko lumumba!Mara makabila,mara utanzania
Kivyovyote vile,ilimradi wana vielelezo vya utanzania basi wao ni watanzania!
Baki na ujinga waki hivyo na roho ya kibaguzi,ila kwanza ungeanza kumbagua kinana,Rostam,Zungu,Mama Mwinyi na wengine wengi waliojaa huko ccm!
Kuna picha naona huko wasap za gari yake imepark sehemu watu wengi
Duh basi nkutafute ulipoPole mkuu...ungeniona live sasa si ungezimia?
Unitafute kwa ishu gani??Duh basi nkutafute ulipo
Bado mkuuHajapatikana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mzee ndo umeamka n??
Duh hilo nalo swali la kuuliza..utaelewa tuUnitafute kwa ishu gani??
Unajua hii post ilikua muda gani?Mzee ndo umeamka n??
Haahaa....haya banaDuh hilo nalo swali la kuuliza..utaelewa tu
Ni ukweli mkuu“Alinunua viwanda vya nguo na mafuta vilivyokuwa vinamilikiwa na Serikali kwa bei ndogo na kuvifanya viwe na faida zaidi kwa kutumia mtindo wa kisasa wa menejimenti,” inaongeza ripoti hiyo.
Metl ina viwanda vya kutengeneza nguo na bidhaa nyingine za matumizi ya binadamu vikiwamo vyakula, sabuni na vinywaji. Pia ina mapato yanayozidi Dola 1.4 milioni za Marekani (Sh2.5 trilioni) kwa mwaka.
source: post ya kwanza ya uzi huu.
=====
Kuna ukweli juuya hili ?
Kwa utamaduni wetu wa kazi, ikishafika usiku kazi tunasitisha.Hajapatikana?
Na ndio maana jiwe rafudhi yake haibadiliki.Hiyo ni akili yako,ila ukiangalia passport yake utaifa ni Mtanzania!Kwa mujibu wa katiba yetu wao ni watanzania na wana haki zote kama ulizonazo wewe!Ndio maana Kinana akawa katibu mkuu CCM japo ana asili ya somalia!
Ndio maana Rostam alikuwa mbunge na mjumbe wa NEC CCM!
Ndio maana Zungu alikuwa mnec na Mwenyekiti wa bunge!Ndio maana mama Mwinyi alikuwa first lady!