Haha hapo ni shida sanaTuendelee kuwa watulivu wakati vyombo husika vikiendelea
na zoezi la kumtafuta ''MO''
Ninachoshukuru ni kuona jinsi watanzania tunavyoendelea
kuwa wakomavu katika mambo haya maana sijaiona lugha
ya kusema ''kajiteka'' na hii ni faraja kubwa kwa taifa.
Hauwezi kujua kilichopo ndani ya mwanadamu hata ukiwa usalama wa Dunia.Kunyampa [emoji38][emoji38]
Giza limeshsingia. Zoezi la utafutaji huenda likaendelea kesho mkuuUsidhani usalama wa Taifa ni Miungu ni watu kama wewe hawawezi kuwa na taarifa zote kuhusu kinachotaka kufanyika.
Nimepanga kutekeleza mauaji au uvamizi sehemu fulani nikiwa mwenyewe nani atawaambia wanausalama habari hizo?
Usidhani wanausalama wananusa kila sehemu pia kaa ukijua kuwa yanapotaka kufanyika mambo ya kihalifu lazima wanaofanya uhalifu huo wajipange maana wanajua kuwa muda wowote wanaweza kuwa hatarini. (Kujipanga kwao ndiko hufanya iwe ngumu wao kupatikana)
Ikiwa walinda raia ndio wapotezaji unatarajia niniHivi inakuwaje watu wanapanga mipango ya utekaji na hadi inafanikiwa,wanamchukua mtu na kumpeleka kusikojulikana na usalama wapo tu,au wapo kwa ajili ya usalama wa chama cha mapinduzi kama polisi
Tuendelee kuwa watulivu wakati vyombo husika vikiendelea
na zoezi la kumtafuta ''MO''
Ninachoshukuru ni kuona jinsi watanzania tunavyoendelea
kuwa wakomavu katika mambo haya maana sijaiona lugha
ya kusema ''kajiteka'' na hii ni faraja kubwa kwa taifa.
Kuna haja ya watu maarufu,kuwekewa
vifaa maalum mwilini kwa ajili
ya kufuatiliwa mahali alipo,ila iwe siri yake
na familia yake,hili lingesaidia kipindi kama hiki
kurahisisha upatikanaji wa mhusika.
Lakini pia ni wakati muafaka
kwa watu maarufu kuwa na walinzi
binafsi wanaowasindikiza katika
kutimiza majukumu yao,maana tunayoyaona
kwenye sinema watu maarufu wanatekwa
ili watekaji wapewe pesa nyingi yanaweza
kufika hata huku kwetu.
kama wameshindwa kumuhoji dereva wa Lissu itakua mimi?Hujafikiria kuhojiwa na Polisi.!
Giza limeshsingia. Zoezi la utafutaji huenda likaendelea kesho mkuu
Sawa mtiifu bilioneaMimi km bilionea namba 1 jf nakemea vikali tukio hili limenifanya nianze kukomenti na kuishi kwa hofu
Kuna watu wagumu kuelewa halafu kwa level ya MO hawezi kuokotwa na watu wa hovyo hovyo hapa nikuunga dotPengine angechapwa shaba... bodygurd ni hoja ila ukihitajika unanaswa tu kaka... walinzi pale hotel wamesikia mlio wa risasi wakalala nyasi.
Giza limeingia uchunguzi utaendelea kesho.Wazee bado tu hawajampata[emoji17][emoji17][emoji17]?
Kwa hiyo unafahamu nani kamteka? UJinga umezidi sasa!It's a shame kuona comment kama hii, wanaume gani hao unaowaongelea? Yule wa Saudia alienda kwenye balozi huko Turkey akapotelea humo, yule wa China alikamatwa na kushikiliwa na BEIJING, Je MO YUPO WAPI SAIVI? ? Probably you know his destiny that's why your talking and commenting nonsense. Is this happening accidentally? It is not too late the truth will come out, Mungu hana urafiki na wanafiki.
Ha ha haa...kaenda kujitafutia maishaKuna kipindi waziri mmoja mnene anavaa nguo kubwa aliulizwa kuhusu watu kupotea akajibu "ni watu wazima wameenda kujitafutia maisha".......nadhani Mo kaenda kujitafutia maisha muacheni akifanikiwa atarudi.