Kichaa Msafi
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 1,087
- 2,134
Familia wamesema wamemuachia Mungu kuhusu Zitto na January sidhani kama matamko yao juu ya hili swala itasaidia jamaa kupatikana..Sina ila kiukweli wengi tulitegemea kupata humu kama January kasema nini, zitto kasema nini, hali ya family na mengineyo.... That was the listen beauty of JF....... Sa tunayapata kwingine tu
Wanafalsafa wana majawabu siyo wewe!Sijapata kuona swali la kipumbavu kama hili. Una umri gani aisee.
Msaidie na kihelehele chakoKamanda wa Kanda Maalumu ya kipolisi Mambosasa ameshazungumza,
Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ameshazungumza,
Sijasikia kauli ya waziri wa mambo ya ndani Kagi Lugola ambaye ndiye mwenye dhamana ya usalama wa raia, au bado anajipanga tuendelee kusubiri.
Siyo kawaida yake.
WALIOMTEKA LABDA WAWE MAZEZETA ILA KAMA WAJANJA HUFIKIRIA KILA POSIBILITIES,Kifaa cha ki electronic kinachowekwa ktk mwili wa mwanadamu ama mnyama kinachosaidia Ku program matumizi vifaa kama ATM,kuwasha gari, track GPS location, monitor watoto wa shule nk. Binafsi Nina Amini kwa Mungu na science. Endapo MO anakifaa hicho mwilini mwake, anaweza patikana kwa urahisi zaidi.
Binafsi sijamsikia kasemaje.fatilia ameshatoa tamko.
Anaogapa kuropoka hawakumshirikisha asije akaribu/kuvuruga mpango mzimaKamanda wa Kanda Maalumu ya kipolisi Mambosasa ameshazungumza,
Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ameshazungumza,
Sijasikia kauli ya waziri wa mambo ya ndani Kagi Lugola ambaye ndiye mwenye dhamana ya usalama wa raia, au bado anajipanga tuendelee kusubiri.
Siyo kawaida yake.
Kwa sababu unaleta umbuziMbona umepanic!
Ametilia mkazo kwenye utafutaji wa MOBinafsi sijamsikia kasemaje.
Kamanda wa Kanda Maalumu ya kipolisi Mambosasa ameshazungumza,
Mkuu wa Mkoa Paul Makonda ameshazungumza,
Sijasikia kauli ya waziri wa mambo ya ndani Kagi Lugola ambaye ndiye mwenye dhamana ya usalama wa raia, au bado anajipanga tuendelee kusubiri.
Siyo kawaida yake.