Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Aseee nimecheka kwa sauti mpk watu wamenishangaa
 
Write your reply... Aiseeeee hili nalo ni suala la kujiuliza? KWELI.....nadhani unatania Mkuu, sababu zipo wazi SANA
 
Najiuliza swali hili baada ya kuona vyombo vikubwa vya habari duniani vikiwemo BBC, CNN, Al jazira, Xiua na Reuters vikiripoti na kulifuatilia kwa karibu tukio hili la utekaji lililotokea nchini mwetu!
Nchi ya amani,
Msamiati wa kizamani unaotumika sasa
 
Vyombo vya usalama vifanye kazi yake ipasavyo bila kuingiza siasa siasa kama ambavyo Mambosasa alisema Jana kuwa wale ni wageni (wazungu) wenye lengo la kuchafua taswira ya nchi, jambo ambalo alilizungumza kwa mihemko sana wakati bado uchunguzi ukiendelea yeye akaja na hitimisho kana kwamba uchunguzi umekamilika tayari
 

Dah...nyie watu wengine kwa majibu bwana hamjambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…