mtu watu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,123
- 1,617
Sawa.Toa o weka i
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Toa o weka i
Utasubiri sana,Mmmmh aseee[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nasubiri kuona wazungu waliomteka!!
Mo waliokuwa wamemkamata ni wahuni tu hawana connection na serikali walamove yao nadhani imeshakamilika....na wale ambao watakuwa na matumaini kuwa Mo atazungumzia yaliyomtokea, watapata tabu sana....watasubiri sana mpaka mitume warudi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ahaaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijawahi kuwa na mashaka na Bashite kwa kuwapata waliotekwa....
Nasubiri shirika la watunga Habari la ufipa libadilishe habari.Hii sio tetesi....confirmed 100% kuwa amepatikana
Halafu wanasema kapatikana mbona hawaelezei kwa undan? Kapatikana vipi ilikuaje atekwe.. Kuna picha nimeona WhatsApp inasemekana ya mtekaji mmoja wapo jamaa Ana sura ya kihalifu kabisaMaana makonda aliinglia kati suala la kupotea na muda mchache huu wanadai kapatikana kunalo jambo lipo nyuma ya pazia.
[emoji1] [emoji1] [emoji119] [emoji119]Sijawahi kuwa na mashaka na Bashite kwa kuwapata waliotekwa....
Kwanini mkuu[emoji15] [emoji15]Utasubiri sana,
HahaAhaaahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Me nasubiri wazungu tu waliomteka
Aepushe nini?Du! Mungu aepushe mbali
Hahahaaa weee jamaa ndo kituko kweli,yaani Jeshi la polisi unalituma kumkamata Makonda,are you serious????Watanzania wengi hamjielewi, hili ni jukumu la Polisi kumpata Mo na kuwakamata watekaji.
Kazi ya Tiss ni kutowa information kabla ya tukio kutokea, Tiss hawana power of arrest
By the way Makonda ndio mwenye uwezo wa kumpata Mo alipo, narudia Makonda akamatwe mara moja kama kweli jeshi la Polisi linajitambuwa.
Sijawahi kuwa na mashaka na Bashite kwa kuwapata waliotekwa... si unakumbuka hata myuzishian mkatoliki naye bashite alituahidi atapatikana?Afadhali.
Kwa Speed hii kumbe hata waliompiga Tundu Lissu wangepatikana tu.
Watakua ni wazungu wenye njaa kali sanaMmmmh aseee[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nasubiri kuona wazungu waliomteka!!
Bodyguard atafanya nini mbele ya smg na AK 47?Hatembeagi na bodyguard?
Ndio maana naamini jaribio la kumuua Lisu lilikuwa na mkono wa serikali. Kama sivyo Polisi wangeweza kukamata wahusika haraka sana. Hili la Mo inaonekana serikali haikuhusika.Amepatikana muda mchache uliopita
Millard Ayo Updates
Akamatwe kafanya nni?Polisi imkamate huyu Bashite ahojiwe, sijui Polisi inataka raia tuwasaidie vipi?
Haahaa...sana aseeWatakua ni wazungu wenye njaa kali sana