FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
Baadae saa mbili kwenye taarifa ya habari.Mmmmh aseee[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nasubiri kuona wazungu waliomteka!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadae saa mbili kwenye taarifa ya habari.Mmmmh aseee[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nasubiri kuona wazungu waliomteka!!
DuuuuuuhBreaking: Mo amepatikana na wahalifu wamekamatwa, taarifa kutoka kwa RC Makonda C&P Efm
Yaaan nimecheka mpaka mbavu zinauma japo tuko kwenye masikitikoHuyu kaamua kutuchekesha wakati tukio kwenye masikitiko makubwa!!
😎 😎 😎
Real?[emoji15] [emoji15] [emoji22]Wanakulawiti kwanza alaf baada ya hapo hutaongea kitu...
Instagram manara jana alisema ilipoaHii inaitwa short series
😀😀😀😀Leo nimeamini Tigo yangu haina guarantee ya kuwa sealed forever hata niilinde vipi
Yeah ulisema nakumbukaNilisema he is safe ....faithful is a key
Hivi ni hotel or gym?Kuna rafiki yangu.ameniuliza pale hotelini hakuna camera za ulinzi?
nikamjibu mimi mwenyewe sijui.
Sio wazungu pengine ni mazeruzeru yaani maalibino kama Manara msemaji wa simba, sidhani kama le mutuz anaweza kuwatumia wazunguSasa jamani hao wazungu ealiokuwa wamemteka, washahojiwa kujulikana ni raia wa nchi gani na nia yao ni nini?
Hata mimi nasubiri kuwaona kwenye luninga!Au kwakuwa ni wazugu hawatawaanika?Mmmmh aseee[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Nasubiri kuona wazungu waliomteka!!