Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Mkuu mambo mengine kausha, utakamatwa kwa sheria ya takwimu utaambiwa idadi ya magari uliyotaja sio sahihi sasa sijui umetaja mengi au machache
 
Sasa mkuu kwanini usishughulike na hawa watu by the LAW aisee?

Halafu usifanye kazi kwa kumuonea mtu,wata-react halafu watakusumbua sana utawalani....

Prz hawezi ita mtu eti akaacha kuja tu,hicho kitu hakipo....mnahisi vibaya tu....

Sema jamaa hapendi wafanyabiashara anawafanyia persecution...
Ana allergy Na wafanyabiashara. Lakini Kama ni yeye alikua Na sababu gani ya kumteka? Angemletea figisu tu Kama za Manji..
 
Awamu hii hakuna kubembelezana boss..

But inawezekana pia aliitwa na bado akagoma. Rumours zilianza eti korosho zimeanguka soko la dunia..

Hii ni baada ya Indians kujua Veitnam wanamzigo wa kutosha wa Korosho so wanaweza wasije kununua mwaka huu..

Picha bado linaendelea..
Bado walikuwa wana option nyingi tu salama. Hapa wana risk vitu vingi including biashara ya colesium ambao hawahusiki.
 
Mkuu mambo mengine kausha, utakamatwa kwa sheria ya takwimu utaambiwa idadi ya magari uliyotaja sio sahihi sasa sijui umetaja mengi au machache
Mkuu lazima tikiri Polisi mara nyingine wanaudhi sana. Wanatufanya Watanzania hatuna akili tutameza chochote watakachotuambia.
 
Uzi ghafla umekuwa zilipendwa walahi
 
Nyakati hizi za dola kuivuruga sekta binafsi na kuwafitini wafanyabiashara, labda ingekuwa vema awali ya yote tukamjua mmiliki wa Colleseum Hotel...isije ikawa ni ndugu kutoka Kanda ya Kaskazini zamu yake ya kufitinishwa na wateja wake imewadia...

Itakuwa ajabu mwovu kutokutenda uovu, ukishakula nyama ya mtu huwezi kuacha kuila..

Wafanyabiashara mnaojitambua, tafadhali kusanyeni viakiba vyenu na chukueni hatua! Nchi hii si salama tena!
 
Back
Top Bottom