Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Jaaman eeehh, tusisahau mbunge wa ukerewe kajiuzulu.Sielewi ujueView attachment 894227
Hawa jamaaa wanajua kupanga matukio mno
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaaman eeehh, tusisahau mbunge wa ukerewe kajiuzulu.Sielewi ujueView attachment 894227
NOT YETHivi ameshapatikana au la???Naomba Jibu kwa anayejua please
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm ningeita The return of un catchable kidnappers.
Am sure ni rahisi kuwakamata, habari zipo kila kona na wakishuka tu mahali popote pale watashikwamkuu wakimfungia mahali na wakaenda zao itakuwaje?
Ana allergy Na wafanyabiashara. Lakini Kama ni yeye alikua Na sababu gani ya kumteka? Angemletea figisu tu Kama za Manji..Sasa mkuu kwanini usishughulike na hawa watu by the LAW aisee?
Halafu usifanye kazi kwa kumuonea mtu,wata-react halafu watakusumbua sana utawalani....
Prz hawezi ita mtu eti akaacha kuja tu,hicho kitu hakipo....mnahisi vibaya tu....
Sema jamaa hapendi wafanyabiashara anawafanyia persecution...
hahaha mzungu hawezi fanya utoto huo, na kama ni wao ni wahuni tu waliotumwa na wabongo kwa malipoNa wewe unaamini ni wazungu boss?
Sasa watulie basi.. Mpaka apatikane PERIODsijui kama yupo mwenye ukweli
Bado walikuwa wana option nyingi tu salama. Hapa wana risk vitu vingi including biashara ya colesium ambao hawahusiki.Awamu hii hakuna kubembelezana boss..
But inawezekana pia aliitwa na bado akagoma. Rumours zilianza eti korosho zimeanguka soko la dunia..
Hii ni baada ya Indians kujua Veitnam wanamzigo wa kutosha wa Korosho so wanaweza wasije kununua mwaka huu..
Picha bado linaendelea..
Hamna MTU anawaelewa Hawa watu wa mamlaka. Naona wanashindana nani wa kwanza kutoa taarifaSielewi ujueView attachment 894227
Mkuu lazima tikiri Polisi mara nyingine wanaudhi sana. Wanatufanya Watanzania hatuna akili tutameza chochote watakachotuambia.Mkuu mambo mengine kausha, utakamatwa kwa sheria ya takwimu utaambiwa idadi ya magari uliyotaja sio sahihi sasa sijui umetaja mengi au machache
shida yetu huwa tunawashwa washwaSasa watulie basi.. Mpaka apatikane PERIOD