Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

Wewe ungepotea India unafikiri Wahindi wangepoteza muda na wewe? Kwanza hata kaburi la kuzikwa wangegoma kukupa. Angalia maisha yako na watu wako, huyo ni bilionea hata akifa Ukoo wake kote mpaka India hawana shida!

YOU ARE WORSE MORE THAN MONSTER WALLAHI
 
Kama Mo na hela zake kapotea ww ni nani usipotee unae miliki smartphone na bundle lake
 
Unaweza ukathibitisha kauli hii mbele ya vyombo vya sheria..!?
Sasa wewe unatofauti gani Kamanda wa polisi aliyesema kuwa ni wazungu...hali ya kuwa watekaji walificha sura zao!!?

Wakati mwingine tusiongozwe na chuki Kwani chuki hupofusha macho na kupunguza uwezo wa akili kuchanganua mambo
Nilivyoelewa mimi sivyo ulivyoelewa wewe so tusipangiane please...
Kama bashite ni jina lake halisi basi tuanzie hapo then the rest will follow...
Umezungumzia chuki... ndiyo I hate the guy with passion Next....
 
Inasikitisha sana..Yaani tumeingia siku ya pili MO hajapatikana..! Tunajivunia nini sasa walivyotuaminisha kuwa atapatikana?
 
Wala sio kubana matmizi ni hoby tu mkuu angekuwa anabana matumizi asingekuwa anamwaga mabilioni msimbazi kila siku
 
Uzembee wakeee mwenyewee, unajijua kbs una neema ambayo neema hyo wengine hawajfanikiwa kupata aff unatembea kindezi ndezziii, arudi uyoo
 
ITANGAZWE TUWASOMEE


MKILETA MAMBO YENU YA SIMBA SASA HAPO NDO MNAANZA KUBOA, INAONEKANA MNAFIKILIA TIMU YENU ZAIDI KTK HILI SUALA ZAIDI YA UTU.
Mbona kataja hapo na wananchi kwa ujumla hujaona?

Unalaumu bila kuangalia sentensi yote ili iweje?
 
Kuna kipindi wakati wa utawala wa General,C.B.E,Prof.of Geography His excellency Iddi Amin Dada, Hivi vituko vya kutekwa au kupotea watu were normal issues.........tena muda mwingine Iddi alikua anamkemea hadharani Maliyamungu..........."maliyamungu did you do this?"😛😛😛😛😛 Then suicide band inatumbuiza kumsifia,magazeti yanamuweka front page.
But ninapoona tz inaanza kufanana na Uganda ya mwaka 1978 lazima nistuke who will be the next victim?......! samahani kwa kulia nje ya key,nimezoea sauti ya kwanza....😱😱😱😱😱
 
Back
Top Bottom