DAR: Mkutano Mkuu wa Jimbo la Ukonga Watangaza kumkataa Mbowe na kumuunga mkono Lissu

DAR: Mkutano Mkuu wa Jimbo la Ukonga Watangaza kumkataa Mbowe na kumuunga mkono Lissu

Unakusanya wahuni unaita press - unajidanganya mwenyewe !!
Kazi ishaishaaa!!
 
Mim sielewi kwann haoni aya maoni yaan huku mitaani kila mtu anamtaka Lissu kuna jamaa yangu mangi naona sasa amemkubali Lissu baada ya ile press ya Lema
 
Chadema ipo na balaa sio la dunia ,hii, kuna watu wameagiza mpaka mabasi ila wapi , uchaguzi wa chadema mpaka nchi zingine wanapigisha kura kwenye mitandao, chadema shida tupu
 
Unakusanya wahuni unaita press - unajidanganya mwenyewe !!
Kazi ishaishaaa!!
Kwani hao sio viongozi wa maeneo hayo?
Muhurumieni mbowe, bil 12 zake mtazimaliza akose kiinua mgongo.
Kwa sasa kachokwa na muda haupo upande wake.
Mwambieni ukweli nyie machawa wake
 
Kuna haja washauri wa Mwenyekiti Mbowe kumshauri upya.
======
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Jimbo la Ukonga jijini Dar Es Salaam, Gaston Makweta pamoja na Katibu wa Jimbo hilo Robert Nyambuya wametangaza kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama kwa ngazi yaTaifa

Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote

Wakizungumza na wanahabari leo Januari 16,2025 wameeleza sababu kubwa iliyowafanya kuamua kumuunga mkono Lissu ni kutaka kuona mabadiliko ya kweli
katika chama chao ambapo wameeleza kuwa mtu pekee wanayeamimi anaweza kuyaleta ni Tundu Lissu.

Mmesikika SAWA,lakini 21/01/2025 ndiyo fainali na si vinginevyo.
 
Mheshimiwa Mbowe hujachelewa huu ndio muda wa kutafakari na kuilinda heshima yako uliyoijenga kwa miaka 21, kwa sasa Chadema ni taasisi kubwa kuliko unavyodhani, tumia busara zilezile kama kawaida yako.
Ni kwel kabisa mkuu. Sio ile chadema ambayo alikua akisema tu chochote watu wanamtetemekea na kumuogopa.
Sasa chama kimekua ,watu hawamuangilii mtu, wanaangalia maslahi mapana.
Na hili ni onyo hata kwa Tundu Lissu mwenyewe, hawa hawa wanaokupenda leo, ukizingua kesho hawataacha kukuadhibu.
Tena lissu ndio watakuadhibu vizuri maana ni wao ndio wanataka kukuwekaa hivyo watakua na nguvu hata ya kukuondoa pindi utakapoleta zako za kuleta
 
Kuna haja washauri wa Mwenyekiti Mbowe kumshauri upya.
======
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Jimbo la Ukonga jijini Dar Es Salaam, Gaston Makweta pamoja na Katibu wa Jimbo hilo Robert Nyambuya wametangaza kumuunga mkono Makamu Mwenyekiti Bara wa chama hicho Tundu Lissu katika uchaguzi wa Mwenyekiti wa chama kwa ngazi yaTaifa

Soma Pia: Simiyu: Wajumbe Wa Mkutano Mkuu Chadema watangaza rasmi kumuunga mkono Tundu Lissu Uenyekiti Taifa, Wanakuwa ni Mkoa wa 17 sawa na 55% ya Mikoa yote

Wakizungumza na wanahabari leo Januari 16,2025 wameeleza sababu kubwa iliyowafanya kuamua kumuunga mkono Lissu ni kutaka kuona mabadiliko ya kweli
katika chama chao ambapo wameeleza kuwa mtu pekee wanayeamimi anaweza kuyaleta ni Tundu Lissu.

Mungu mwema
 
Back
Top Bottom