Sasa watanyooka kama alivyoonyoka Lowassa. Wakati Lowassa akinyemelea urais ndani ya CCM hakuwa kuona umuhimu wa tume huru na Katiba mpya.Mkiwa kwenye system tukiwaambia badili mfumo wa uongozi CCM hamsikii.
KILA siku hawasikii, waondoe mambo ya kofia mbili hawataki. Mfumo wa CCM ni fully udikteta, yaani Mwenyekiti ndie mmiliki wa chama wakati huo.
Ni sawa na marehemu kufanyiwa "birthday" ya miaka 100.Hivi mtu anawezaje kuwa mtiifu kwa marehemu? Hii kitu sielewi kabisa.
Kuna mtu alikuwa mgumu kuliko Magufuli? Kwa taarifa yako alishapanga na kuamini kuwa kile kiti atakaa anayemtaka yeye baada ya yeye kuondoka. Lakini mambo yalivyobadilika hakuna aliyetarajia. Kwenye siasa na utawala muda mfupi sana unaweza kuleta mabadiliko makubwa.ag
Hayupo bin Adam atendaye mema bila mabaya, au akatenda mabaya tu asitende mema. Tutakapoancha ushabiki na chuki tukasema KWELI tutaisaidia Nchi. NDIYOyetu Iwe NDIYO. na HAPANA yetu iwe HAPANA.Magufuli ana matendo gani mema? Kuuwa na kutukana watu?. Kujenga madaraka na reli ilikiwa kwenye mpango wa miaka mitano wa serikali sio maono yake.
Imagine........Ni kupoteana tu.Ni sawa na marehemu kufanyiwa "birthday" ya miaka 100.
Kama kaburu ganga na vyama vyao.Sukuma Gang na chama chao.
Sii mbaya aje tupambane na CCM.
Tutawapigachini mchana kweupe.
Wasizisahau tu sera za Magufuli, ukabila, wizi, upendeleo na utekaji.
Sukuma Gang mumuenzi Magufuli tu kwa hizo sera hasi, na mtaishia shimoni-kama yeye.
Kama za kina Christopher ColumbusNi sawa na marehemu kufanyiwa "birthday" ya miaka 100.
Nenda Rushia utawaona wengine hata hawajazikwa!Hivi mtu anawezaje kuwa mtiifu kwa marehemu? Hii kitu sielewi kabisa.
Ota ota ota. Na endelea kuota!Magufuli hakuwa na network. Magufuli alijifanya kuwageuka kundi la Kikwete huku akiwa kazungukwa na hilo kundi kila mahali. Hakuwa na mizizi
Hata urais wake ulikuwa wa bahati mbaya tu. Tofauti na hawa akina Kikwete
Wewe ndio unaotaOta ota ota. Na endelea kuota!
Nimeshakusoma sana kwenye thread nyingi wewe ni hawa wapiga porojo wa vijiweni wenye kelele nyingi zisizo na fact. Kule comment umetoa kwenye uzi uliofutwa juu ya Kigogo na Sukuma Gang nika-conclude nilivyokuwa hujui chochote bali ni mtu wa porojo.Wewe ndio unaota
wewe umetoa fact gani hapa? unajua maana hata ya fact? utabiri unauita fact?Nimeshakusoma sana kwenye thread nyingi wewe ni hawa wapiga porojo wa vijiweni wenye kelele nyingi zisizo na fact. Kule comment umetoa kwenye uzi uliofutwa juu ya Kigogo na Sukuma Gang nika-conclude nilivyokuwa hujui chochote bali ni mtu wa porojo.
Magufuli aliamini na alisimamia kwa vitendo mambo yafuatayo:Magufuli ana matendo gani mema? Kuuwa na kutukana watu?. Kujenga madaraka na reli ilikiwa kwenye mpango wa miaka mitano wa serikali sio maono yake.
Muongo mkubwa.Magufuli aliamini na alisimamia kwa vitendo mambo yafuatayo:
Kupinga rushwa ili kuboresha huduma za kijamii. Alisimamia na kuweka nidhamu kwa watumishi wa umma hali iliyopelekea wananchi kupata huduma bila usumbufu wa kuashiria rushwa. Katika kupambana na rushwa, Magufuli alikamata wahujimu uchumi, alirudisha ardhi zilizokuwa zimeporwa na mafisadi kutoka kwa wananchi n.k (yako mengi sana)
Kuboresha huduma za kijamii ili watanzania wote wanufaike. Alianzisha sera ya elimumsingi bila malipo hali iliyopelekea udahili wa wanafunzi shuleni kiongezeka maradufu 2016 - 2021 kwa ngazi zote.
Aliamini rasilimali za watanzania ni kwa ajili ya watanzania. Masoko ya madini yalijengwa nchini Tanzania, alidhubiti ujangiri wa wanyama pori ili kulinda hifadhi za wanyamapori kwa ajili ya manufaa ya watanzania.
Aliamini katika ustawi wa jamii ya watanzania kwa kudumisha afya (alijenga hospitali, zahanati na vituo vya afya vingi sana nchini), alidhibiti uuzaji na usambazaji wa madawa ya kulevya nchini kwa kuanzisha taasisi maalumu ya jukumu hilo. Aidha, JP Magufuli alilinda utamaduni wa mtanzania kwa kukemea hadharani ushoga na kupiga ban NGOs uchwara zenye ajenda mbaya za kuharibu utamaduni wa mtanzania.
Magufuli alikuwa mwongozaji aliyejiamini sana bila kuyumbishwa na mtu yeyote. Alitoa misimamo na maono yakuaminika na yenye dira. Hadharani alisema hataki lock down kama njia ya kupambana na Covid 18, hadharani alikataa kutoa takwimu zozote juu ya Covid. Hadharani alitamka CORONA imeisha Tanzania, tukaamini hivyo, na dunia ikafuata msimamo huo; maisha yakaendelea.
Alikuwa muwazi juu ya imani na matumaini yake, alisema kabisa kuwa vita aliyokuwa anaipigana kwa ajili ya watanzania ilikuwa ngumu sana. Alitusihii tumwombee maana maadua walikuwa wengi na wengi hakuwajua. Ni kiongozi aliyeamini katika Mungu; Tanzania ni taifa la Mungu.
Aliamini katika utu. Kwamba kila mtanzania ana haki ya kupata huduma nzuri za kijamii; elimu, afya, mawasiliano na uchukizi. Aliruhusu kila mtu afanye shughuli zake za kiuchumi bila kubugudhiwa. Matching Guys "Machinga" walithaminika kama tabaka la chini la wajasiriamali na walikidhi mahitaji yao ya kimaisha.
Alisimamia wajibu wa kila mtanzania wa kulipa kodi. Kodi ililipwa na kila mtu, miundombinu na miradi mingi sana ya kimaendeleo ilianzishwa na kutekelezwa. Uchumi ulipaa na kuwa "Uchumi wa kati"
Watu wanaposema Magufuli alikuwa ni rais, ni kwa sababu ya haya. Ni haya yanayofanya watanzania waseme hadharani kuwa kwa sasa "Magufulism" ni imani; imani iliyokolea. Na hii ndiyo PHILOSOPHY ya Magufuli.
Unfortunately wanaemtii amekufa na hawezi kurudi Ikulu..
Pili huu ni uzushi na Wala haiko hivyo. Mbunge yupi utamwambia awe mtiifu kwa Mwendazake wakati wanajua walipita kwa favour za polisi?
Huo hapo juu ni uwongo ambao Kaburu Gang peke yake ndio wanaoeneza!Leo hii wabunge wabunge wanafurahia miradi na mapesa majimboni ndio waje kuwa watiifu kwa Umoja Party?
Kwa mara ya kwanza timu wahuni watakiona cha mtema kuni safari hii, watabaki na mizinga ya asali isiyo na mazega ya asali, Umoja Party ndio habari ya Bongo
Taa zimeshawaka kwenda 2025, kama ni kweli basi kuna kambi imeona ni vigumu kutoboa ndani ya chama hivyo wameona wabadili upepo. Walioshika hatamu chamani ni wazoefu wa Siasa na Umoja Party inaweza kula 'keleb' kwenye ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Anyways, kanda ya ziwa hiyo inarudi zake upinzani, atakayecheza karata vizuri ataipata.
Wewe acha hizo, Trillion 1.5 Hakuna Rais aliyeweza kukwapua Ila yeye.Magufuli aliamini na alisimamia kwa vitendo mambo yafuatayo:
Kupinga rushwa ili kuboresha huduma za kijamii. Alisimamia na kuweka nidhamu kwa watumishi wa umma hali iliyopelekea wananchi kupata huduma bila usumbufu wa kuashiria rushwa. Katika kupambana na rushwa, Magufuli alikamata wahujimu uchumi, alirudisha ardhi zilizokuwa zimeporwa na mafisadi kutoka kwa wananchi n.k (yako mengi sana)
Kuboresha huduma za kijamii ili watanzania wote wanufaike. Alianzisha sera ya elimumsingi bila malipo hali iliyopelekea udahili wa wanafunzi shuleni kiongezeka maradufu 2016 - 2021 kwa ngazi zote.
Aliamini rasilimali za watanzania ni kwa ajili ya watanzania. Masoko ya madini yalijengwa nchini Tanzania, alidhubiti ujangiri wa wanyama pori ili kulinda hifadhi za wanyamapori kwa ajili ya manufaa ya watanzania.
Aliamini katika ustawi wa jamii ya watanzania kwa kudumisha afya (alijenga hospitali, zahanati na vituo vya afya vingi sana nchini), alidhibiti uuzaji na usambazaji wa madawa ya kulevya nchini kwa kuanzisha taasisi maalumu ya jukumu hilo. Aidha, JP Magufuli alilinda utamaduni wa mtanzania kwa kukemea hadharani ushoga na kupiga ban NGOs uchwara zenye ajenda mbaya za kuharibu utamaduni wa mtanzania.
Magufuli alikuwa mwongozaji aliyejiamini sana bila kuyumbishwa na mtu yeyote. Alitoa misimamo na maono yakuaminika na yenye dira. Hadharani alisema hataki lock down kama njia ya kupambana na Covid 18, hadharani alikataa kutoa takwimu zozote juu ya Covid. Hadharani alitamka CORONA imeisha Tanzania, tukaamini hivyo, na dunia ikafuata msimamo huo; maisha yakaendelea.
Alikuwa muwazi juu ya imani na matumaini yake, alisema kabisa kuwa vita aliyokuwa anaipigana kwa ajili ya watanzania ilikuwa ngumu sana. Alitusihii tumwombee maana maadua walikuwa wengi na wengi hakuwajua. Ni kiongozi aliyeamini katika Mungu; Tanzania ni taifa la Mungu.
Aliamini katika utu. Kwamba kila mtanzania ana haki ya kupata huduma nzuri za kijamii; elimu, afya, mawasiliano na uchukizi. Aliruhusu kila mtu afanye shughuli zake za kiuchumi bila kubugudhiwa. Matching Guys "Machinga" walithaminika kama tabaka la chini la wajasiriamali na walikidhi mahitaji yao ya kimaisha.
Alisimamia wajibu wa kila mtanzania wa kulipa kodi. Kodi ililipwa na kila mtu, miundombinu na miradi mingi sana ya kimaendeleo ilianzishwa na kutekelezwa. Uchumi ulipaa na kuwa "Uchumi wa kati"
Watu wanaposema Magufuli alikuwa ni rais, ni kwa sababu ya haya. Ni haya yanayofanya watanzania waseme hadharani kuwa kwa sasa "Magufulism" ni imani; imani iliyokolea. Na hii ndiyo PHILOSOPHY ya Magufuli.
Waambie wataendelea kuwa nyuma hivyo hivyo wakati wenzao wako mbele 😂😂Huo hapo juu ni uwongo ambao Kaburu Gang peke yake ndio wanaoeneza!
Siyo ACT hicho chama kiliitwa CCJ na waanzilishi wale walikuwa Nape, Sitta na walimtanguliza Fred Mpendazoe akajiuzulu ubunge wa Kishapu akaenda kusimamia chama. Baada ya mambo ya kina Nape kukaa sawa huko CCM wakamtosa Mpendazoe na hicho chama kipya.Hivi kina Membe na Nape walipokimbilia kuanzisha ACT walivurugwa na nini CCM?
Hao jamaa naamini kweli wapo, lakini tatizo linaanzia pale ambapo mara nyingi huwa waoga wa kuweka nia zao wazi, hujificha.
Na huku kujificha kwao naona huchangiwa na tamaa tu, wanatega kutafuta vyeo, wakishavipata wanaachana na mipango yao ya kuanzisha hivi vyama niviite vyama "njaa" na "hasira", wala sio phylosophy kama wanavyosema, ndio maana mara nyingi huwa havi exist, hujifia natural death.
ACT chenyewe hakikufa kwasababu yule msaliti wao waliyemtengeneza toka akiwa Chadema, aliendelea mbele baada ya kujifukuzisha Chadema akakitafutia usajili, ndio akajiita "supreme leader" ila kama naye angeupata ule uenyekiti aliokuwa anautaka Chadema, naamini hiyo ACT nayo leo hii isingekuwepo.