Labda 2025!Mbona kaongea vizuri sasa anaajistukia nini
Kipi kibaya akichoongea???? DarMpya wameandika kizandiki tu, ila ameongea vizuri sana. Ss WaTZ tunatumika vibaya sana na wanasiasa. Hali kama hii imepelekea mpaka mtu asiye na elimu awe kiongozi wa chama kitaifa kisa tu chama cha Mkwewe. Msikilize vizuri kisha rudi kwenye Darmpya (CHADEMA) walivyaiandika.
Wanajiita nyuki wa mamaHawawezi mpaka waagizwe na mama.
Katambi katoa boko tena.
KWa hiyo aliowaweka ndio wanajielewa?Katika vijitu vijinga Samia ameviacha kwenye uwaziri ni pamoja na haka kajamaa.Hakajielewi na kajinga sn
Wabongo noma. Yani mpaka video yake mmepata😀😀