Katambi zaidi ya kumtukana na kukashifu Mbowe na Chadema hakuna ajualo, hilo lilimbeba wakati wa Magufuli na
Polepole, sasa siku hizi sio turufu tena.
Amebaki kutapatapa kwenye wizara iliyo juu sana ya uwezo wake
Ni ukichaa kutegemea Katambi abuni ajira
Polepole, sasa siku hizi sio turufu tena.
Amebaki kutapatapa kwenye wizara iliyo juu sana ya uwezo wake
Ni ukichaa kutegemea Katambi abuni ajira