Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni

Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni

Utawala wa awamu ta tano ulijenga chuki kati ya Matajiri na Masikini. Tajiri mwenye hela zake alikuwa akikomolewa au kuharibiwa Mali, Masikini wa Tanzania anashangilia. Mfano huu mradi Ulivyo simamishwa, Wananchi walifurahi eti acha wakomolewe. Akili za kimasikini. Mbongo hawezi kukupigia makofu ukifanikiwa au kufanya vizuri. Wanaokupigia makofi ni wale walokaa na watu wa mataifa mengine. Hata mabosi ukifanya vizuri hawawezi kukusifia.
 
21 April 2022
Kigamboni, Dar es Salaam
Tanzania

MRADI MKUBWA WA MAKAZI ULIOGEUKA MAGOFU WATEMBELEWA ILI KUONA UKUBWA WAKE



Mradi huu mkubwa wa mfuko wa Jamii wa NSSF ulianza ujenzi mwaka 2014 ulikuwa ukamilike 2018 lakini mwaka 2016 ukasimama una nyumba 7460 68 executive, twin villas 148 shopping mall , shule kindergarten mpaka high school.

Mradi huu ungekamilika ungekuwa mradi mkubwa wa pili wa nyumba barani Afrika baada ya ule wa kule nchini Nigeria.


Juhudi zilifanyika kuufufua au kuuziwa kwa mwekezaji mwingine au kupatikana mbia mpya, Lakini bahati mbaya haujafanikiwa kufufuliwa . Ni matumaini kwa wasomaji na walioutazama mradi huu kuwa ipo siku watajitokeza watu au wawekezaji wengine wakaweza kuuendeleza ili ukamilike na kuanza kutumika kama ulivyowaziwa na waanzilishi wa mradi huu.

EXPLORING THE WORLD'S MOST LUXURIOUS ABANDONED CITY IN DAR ES SALAAM.

Before abandoned Dege Eco village was designed to be a satellite township of Dar es salaam, being built on an area covering 300 acres at Kigamboni. A mixed use residential project addressing all segments of society, from high end to medium, as well as those who need affordable housing.
Source: Menny Terry

MK254

Mradi huu hautumii pesa ya serikali unatumia pesa za NSSF za waajiriwa ambao hawawezi kuhoji kwa sababu wamesinzia.
 
21 April 2022
Kigamboni, Dar es Salaam
Tanzania

MRADI MKUBWA WA MAKAZI ULIOGEUKA MAGOFU WATEMBELEWA ILI KUONA UKUBWA WAKE



Mradi huu mkubwa wa mfuko wa Jamii wa NSSF ulianza ujenzi mwaka 2014 ulikuwa ukamilike 2018 lakini mwaka 2016 ukasimama una nyumba 7460 68 executive, twin villas 148 shopping mall , shule kindergarten mpaka high school.

Mradi huu ungekamilika ungekuwa mradi mkubwa wa pili wa nyumba barani Afrika baada ya ule wa kule nchini Nigeria.


Juhudi zilifanyika kuufufua au kuuziwa kwa mwekezaji mwingine au kupatikana mbia mpya, Lakini bahati mbaya haujafanikiwa kufufuliwa . Ni matumaini kwa wasomaji na walioutazama mradi huu kuwa ipo siku watajitokeza watu au wawekezaji wengine wakaweza kuuendeleza ili ukamilike na kuanza kutumika kama ulivyowaziwa na waanzilishi wa mradi huu.

EXPLORING THE WORLD'S MOST LUXURIOUS ABANDONED CITY IN DAR ES SALAAM.

Before abandoned Dege Eco village was designed to be a satellite township of Dar es salaam, being built on an area covering 300 acres at Kigamboni. A mixed use residential project addressing all segments of society, from high end to medium, as well as those who need affordable housing.
Source: Menny Terry

MK254

Mradi huu hautumii pesa ya serikali unatumia pesa za NSSF za waajiriwa ambao hawawezi kuhoji kwa sababu wamesinzia.
 
21 April 2022
Kigamboni, Dar es Salaam
Tanzania

MRADI MKUBWA WA MAKAZI ULIOGEUKA MAGOFU WATEMBELEWA ILI KUONA UKUBWA WAKE



Mradi huu mkubwa wa mfuko wa Jamii wa NSSF ulianza ujenzi mwaka 2014 ulikuwa ukamilike 2018 lakini mwaka 2016 ukasimama una nyumba 7460 68 executive, twin villas 148 shopping mall , shule kindergarten mpaka high school.

Mradi huu ungekamilika ungekuwa mradi mkubwa wa pili wa nyumba barani Afrika baada ya ule wa kule nchini Nigeria.


Juhudi zilifanyika kuufufua au kuuziwa kwa mwekezaji mwingine au kupatikana mbia mpya, Lakini bahati mbaya haujafanikiwa kufufuliwa . Ni matumaini kwa wasomaji na walioutazama mradi huu kuwa ipo siku watajitokeza watu au wawekezaji wengine wakaweza kuuendeleza ili ukamilike na kuanza kutumika kama ulivyowaziwa na waanzilishi wa mradi huu.

EXPLORING THE WORLD'S MOST LUXURIOUS ABANDONED CITY IN DAR ES SALAAM.

Before abandoned Dege Eco village was designed to be a satellite township of Dar es salaam, being built on an area covering 300 acres at Kigamboni. A mixed use residential project addressing all segments of society, from high end to medium, as well as those who need affordable housing.
Source: Menny Terry

MK254

Mradi huu hautumii pesa ya serikali unatumia pesa za NSSF za waajiriwa ambao hawawezi kuhoji kwa sababu wamesinzia.
 
Utawala wa awamu ta tano ulijenga chuki kati ya Matajiri na Masikini. Tajiri mwenye hela zake alikuwa akikomolewa au kuharibiwa Mali, Masikini wa Tanzania anashangilia. Mfano huu mradi Ulivyo simamishwa, Wananchi walifurahi eti acha wakomolewe. Akili za kimasikini. Mbongo hawezi kukupigia makofu ukifanikiwa au kufanya vizuri. Wanaokupigia makofi ni wale walokaa na watu wa mataifa mengine. Hata mabosi ukifanya vizuri hawawezi kukusifia.
Tajiri gani aliharibiwa mali?
 
Kwan kikwete na tibaijuka ndio walousitisha au utawala uliofata ndo uliditisha?
Sitaki kumhusisha Kikwete na huu mradi. Ila Kuna watu wake walifanya ndivyo sivyo, bwana Iqbal kupitia kampuni yake ya azimio alifanya lobbying na NSSF na kuwauzia ekari moja hapo kwa mil 800, ikiwa thamani ya ekari hapo kwa wakati huo ilikuwa mil 40.

Haya yaliwekwa wazi kwenye report ya CAG 2015. Lengo lilikuwa zuri Ila ungekamilika vipi na trillion 1.3 ya NSSF ingerudije ikiwa watu waliinflate gharama kiasi hiko?
 
JUHUDI ZA SERIKALI KUUPIGA MNADA MRADI HUU ZILISHINDIKANA, LABDA WAJE NA MKAKATI MPYA KUUNUSURU MRADI

20 September 2017

Mradi mkubwa wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni Dar es Salaam uitwao Dege Eco Village ulioanzishwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii 'NSSF' na kusimama ujenzi wake mwaka 2016 unapigwa mnada. Kuliripotiwa kuwepo kwa ufisadi wa zaidi ya TSH bilioni 179 katika mradi huo na sasa anatafutwa Mwekezaji atakaeuchukua.



Source : millard ayo

Diaspora angeongea tu kiswahili.

Amandla...
 
Wanapoteza michango yetu ya NSSF, halafu wanabadilisha kikokotoo ili kupunguza mafao kufunika mashimo.
 
21 April 2022
Kigamboni, Dar es Salaam
Tanzania

MRADI MKUBWA WA MAKAZI ULIOGEUKA MAGOFU WATEMBELEWA ILI KUONA UKUBWA WAKE



Mradi huu mkubwa wa mfuko wa Jamii wa NSSF ulianza ujenzi mwaka 2014 ulikuwa ukamilike 2018 lakini mwaka 2016 ukasimama una nyumba 7460 68 executive, twin villas 148 shopping mall , shule kindergarten mpaka high school.

Mradi huu ungekamilika ungekuwa mradi mkubwa wa pili wa nyumba barani Afrika baada ya ule wa kule nchini Nigeria.


Juhudi zilifanyika kuufufua au kuuziwa kwa mwekezaji mwingine au kupatikana mbia mpya, Lakini bahati mbaya haujafanikiwa kufufuliwa . Ni matumaini kwa wasomaji na walioutazama mradi huu kuwa ipo siku watajitokeza watu au wawekezaji wengine wakaweza kuuendeleza ili ukamilike na kuanza kutumika kama ulivyowaziwa na waanzilishi wa mradi huu.

EXPLORING THE WORLD'S MOST LUXURIOUS ABANDONED CITY IN DAR ES SALAAM.

Before abandoned Dege Eco village was designed to be a satellite township of Dar es salaam, being built on an area covering 300 acres at Kigamboni. A mixed use residential project addressing all segments of society, from high end to medium, as well as those who need affordable housing.
Source: Menny Terry

MK254

Ameongea na wahusika ili kufahamu kama kweli umekuwa-abandoned?
 
Mradi huu na wa Kigamboni yote ni ya Ridhiwani Kikwete na ndiyo maana Magufuli aliipiga stop kutokana na wizi aliokuwa anaufanya dogo na baba yake ambaye hivi sasa karudi madarakani tena kupitia mlango wa nyuma. Shortly, watairudia hii miradi it's just a matter of time tu.
Magufuli alikuwa mpumbavu, hafai kuishi Dunia hii, aendelee kuoza tu huko aliko. Kwa hiyo yeye kujenga International Airport Kijiji I kwake aliona ndiyo akili?

Haijalishi mradi ni WA Ridhiwani au Jesca au Rostam Aziz, cha msingi tunachoangalia ni mchango wa mradi kwenye uchumi. Hivi New York au Milan hata London unadhani zingejengeka kwa akili ya kipimbi kama ya huyu shetani wa Chato?
 
Mradi huu hautumii pesa ya serikali unatumia pesa za NSSF za waajiriwa ambao hawawezi kuhoji kwa sababu wamesinzia.
Sasa ukiusimamisha wakati kuna fedha imeshatumika ndiyo unapata nini? Siyo ndiyo hasara mara mbili??
 
Duuu! Huyu jamaa raia wa nchi gani
Telekezwa anasema tekelezwa
Muamar anasema muamad

Mnada wa kimataifa NSSF, Serikali na auctioneer wamefanya kiwango cha chini.

Ilitakiwa watoe fedha ndefu kwa madalali wa kimataifa wenye weledi wa lugha za kimataifa za Kiingereza, Kispanyola, Kiarabu n.k bila kusahau platform kibao za lugha hizo na majarida ya kimataifa.

Lakini mtindo waliotumia kunadi mradi huo ni sisi kwa sisi ndiyo tumeufahamu.
 
Back
Top Bottom