Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni

Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni

21 April 2022
Kigamboni, Dar es Salaam
Tanzania

MRADI MKUBWA WA MAKAZI ULIOGEUKA MAGOFU WATEMBELEWA ILI KUONA UKUBWA WAKE



Mradi huu mkubwa wa mfuko wa Jamii wa NSSF ulianza ujenzi mwaka 2014 ulikuwa ukamilike 2018 lakini mwaka 2016 ukasimama una nyumba 7460 68 executive, twin villas 148 shopping mall , shule kindergarten mpaka high school.

Mradi huu ungekamilika ungekuwa mradi mkubwa wa pili wa nyumba barani Afrika baada ya ule wa kule nchini Nigeria.


Juhudi zilifanyika kuufufua au kuuziwa kwa mwekezaji mwingine au kupatikana mbia mpya, Lakini bahati mbaya haujafanikiwa kufufuliwa . Ni matumaini kwa wasomaji na walioutazama mradi huu kuwa ipo siku watajitokeza watu au wawekezaji wengine wakaweza kuuendeleza ili ukamilike na kuanza kutumika kama ulivyowaziwa na waanzilishi wa mradi huu.

EXPLORING THE WORLD'S MOST LUXURIOUS ABANDONED CITY IN DAR ES SALAAM.

Before abandoned Dege Eco village was designed to be a satellite township of Dar es salaam, being built on an area covering 300 acres at Kigamboni. A mixed use residential project addressing all segments of society, from high end to medium, as well as those who need affordable housing.
Source: Menny Terry

MK254

Serikali ya mama imetoa pesa kwa hiyo mradi unafufuliwa..
 
21 April 2022
Kigamboni, Dar es Salaam
Tanzania

MRADI MKUBWA WA MAKAZI ULIOGEUKA MAGOFU WATEMBELEWA ILI KUONA UKUBWA WAKE



Mradi huu mkubwa wa mfuko wa Jamii wa NSSF ulianza ujenzi mwaka 2014 ulikuwa ukamilike 2018 lakini mwaka 2016 ukasimama una nyumba 7460 68 executive, twin villas 148 shopping mall , shule kindergarten mpaka high school.

Mradi huu ungekamilika ungekuwa mradi mkubwa wa pili wa nyumba barani Afrika baada ya ule wa kule nchini Nigeria.


Juhudi zilifanyika kuufufua au kuuziwa kwa mwekezaji mwingine au kupatikana mbia mpya, Lakini bahati mbaya haujafanikiwa kufufuliwa . Ni matumaini kwa wasomaji na walioutazama mradi huu kuwa ipo siku watajitokeza watu au wawekezaji wengine wakaweza kuuendeleza ili ukamilike na kuanza kutumika kama ulivyowaziwa na waanzilishi wa mradi huu.

EXPLORING THE WORLD'S MOST LUXURIOUS ABANDONED CITY IN DAR ES SALAAM.

Before abandoned Dege Eco village was designed to be a satellite township of Dar es salaam, being built on an area covering 300 acres at Kigamboni. A mixed use residential project addressing all segments of society, from high end to medium, as well as those who need affordable housing.
Source: Menny Terry

MK254

Kuna uhujumu uchumi zaidi ya huu? Waliouanzinsha na kuutelekeza wanatakiwa kujibu. Hauwezi ku abandon mradi mkubwa namna hii ukaachwa itambe uraiani. Aibu hii!
 
Kipindi cha Kikwete na Kipindi cha Nehemiah Mchechu enzi hizo akiwa DG wa NHC kulikuwa na Miradi mingi sana Mikubwa ya Ujenzi hasa kwa shirika la Nyumba la Taifa karibu kila Pembe ya nchi na yote ilikuwa inakwenda fresh. Baada ya kutolewa sasa...ndo hivyo tena ukimnya na mdororo kwenye miradi ukatanda. Labda amerudishwa Mchechu huenda tukaanza kuona uhai tena
 
Hapana, alikuwa muungwana mno sema tu wewe kilaza ndiyo ulikuwa hujui thamani yake. Hii ni miradi ya upigaji ya Ridhiwani Kikwete na baba yake na ndiyo maana walikuwa hawampendi Magufuli. Hapa angefaidika Kikwete tu na familia yake, wewe usingefaidika na lolote lile. Upo hapo?

Ingependeza sana kama ungeeleza ilikuwa ni upigaji vipi. Kuwa fedha za mradi zilikuwa ni za serikali?? Au Ridhwani na JK hawakuwa na haki ya kuwa na miradi kama hii nk??? Kama unasema kuwa ilikuwa ya upigaji na fedha ni za serikali, si ingekuwa vema kuendeleza miradi hii kwa kuhakikisha fedha zinatumika sahihi? Au unasema mradi haukuwa na maana yoyote zaidi ya faida kwa uliowaita wapigaji?

Roho ya masikini huangalia kwa wivu mambo ya tajiri. Tunapenda sana kuona tajiri ni mtu mbaya - ndio maana sisi tunapenda kuwa na viongozi ambao ni wakulima, wafugaji, watoto wa masikini, wanyonge wenzetu!! Hatutakuja kuwa na viongozi matajiri coz tuna hofu wanatuibia!! Viongozi wenye mawazo yanayotoa faraja kwa wanyonge ili kura ziendelee kupatikana!
 
Sasa ukiusimamisha wakati kuna fedha imeshatumika ndiyo unapata nini? Siyo ndiyo hasara mara mbili??
Mradi uliifilisi NSSF na jiwe naye akachota kiasi NSSF ikajikuta haina pesa za kuwalipa wanachama wake.
 
Kama kulikuwa na ufisadi, ulitakiwa kutaifishwa na wahusika kushtakiwa.
 
Magufuli alikuwa mpumbavu, hafai kuishi Dunia hii, aendelee kuoza tu huko aliko. Kwa hiyo yeye kujenga International Airport Kijiji I kwake aliona ndiyo akili?

Haijalishi mradi ni WA Ridhiwani au Jesca au Rostam Aziz, cha msingi tunachoangalia ni mchango wa mradi kwenye uchumi. Hivi New York au Milan hata London unadhani zingejengeka kwa akili ya kipimbi kama ya huyu shetani wa Chato?
Ridhiwani wacha ujinga.....huu mradi unakunufaisha wewe na ukoo wako, it has nothing to do na nchi hii wala wananchi wake. Nyinyi mnaifilisi hii nchi kwa wizi wenu hata kama wewe ungekuwa Magufuli ungefanya hivyo hivyo alivyofanya yeye.
 
Ingependeza sana kama ungeeleza ilikuwa ni upigaji vipi. Kuwa fedha za mradi zilikuwa ni za serikali?? Au Ridhwani na JK hawakuwa na haki ya kuwa na miradi kama hii nk??? Kama unasema kuwa ilikuwa ya upigaji na fedha ni za serikali, si ingekuwa vema kuendeleza miradi hii kwa kuhakikisha fedha zinatumika sahihi? Au unasema mradi haukuwa na maana yoyote zaidi ya faida kwa uliowaita wapigaji?

Roho ya masikini huangalia kwa wivu mambo ya tajiri. Tunapenda sana kuona tajiri ni mtu mbaya - ndio maana sisi tunapenda kuwa na viongozi ambao ni wakulima, wafugaji, watoto wa masikini, wanyonge wenzetu!! Hatutakuja kuwa na viongozi matajiri coz tuna hofu wanatuibia!! Viongozi wenye mawazo yanayotoa faraja kwa wanyonge ili kura ziendelee kupatikana!
Mze (JK) alipiga dili na watu wa nje waliokuwa wanajenga ule mradi.....kwa kuwa yeye alikuwa ndiyo rais akamuweka mtoto wake kuwa CEO wa ule mradi. Mkuu ni story ndefu sana lakini kiufupi tu ule mradi ni wa nchi ni wa Kikwete na familia yake. Wewe, mimi na watanzania wengine hatuna faida nao.
 
JUHUDI ZA SERIKALI KUUPIGA MNADA MRADI HUU ZILISHINDIKANA, LABDA WAJE NA MKAKATI MPYA KUUNUSURU MRADI

20 September 2017

Mradi mkubwa wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni Dar es Salaam uitwao Dege Eco Village ulioanzishwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya jamii 'NSSF' na kusimama ujenzi wake mwaka 2016 unapigwa mnada. Kuliripotiwa kuwepo kwa ufisadi wa zaidi ya TSH bilioni 179 katika mradi huo na sasa anatafutwa Mwekezaji atakaeuchukua.



Source : millard ayo

Kumbe mradi wenyewe ulikuwa umegubikwa na tuhuma za ufisadi wa mabillioni; ngoja ubaki magofu hivyo hivyo ndo Kikwete na ufisadi wake wajulikane wazi.
 
Jiwe lilikuwa na roho ya Kimaskini Sana.
Hivi hujui fedha zilizokuwa zikitumika kujenga hii mitadi ni fedha za mafao ya waajiliwa na hata walipokuwa wakizidai baada ya kustafu hawakupewa kwa wakati?
Kutoshabikia mambo usiyoyajua ni kuficha upumbaf.
 
Back
Top Bottom