Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni

Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni

Utawala wa awamu ta tano ulijenga chuki kati ya Matajiri na Masikini. Tajiri mwenye hela zake alikuwa akikomolewa au kuharibiwa Mali, Masikini wa Tanzania anashangilia. Mfano huu mradi Ulivyo simamishwa, Wananchi walifurahi eti acha wakomolewe. Akili za kimasikini. Mbongo hawezi kukupigia makofu ukifanikiwa au kufanya vizuri. Wanaokupigia makofi ni wale walokaa na watu wa mataifa mengine. Hata mabosi ukifanya vizuri hawawezi kukusifia.
Ni akili za kipumbaf pia kushangilia miradi kama hii inayotumia pesa za wananchi kujenga nyumba ambazo asilimia kubwa ya watanzania hawawezi kuzimudu kuzinunua, kuna wakati Rais wa awamu ya 5 aliwaeleza viongozi wa haya mashirika kuwa, kwanini wasiwekeze pia hata kwenye miradi mingine kama ya viwanda n.k ili kuwasaidia watz wenye hali duni? au kujenga nyumba za gharama nafuu hasa kwa miji mikubwa kama Dar ili kuwarahisishia watanzania maisha?
Miradi mingi mizuri nchini huwabagua wasiokuwa nacho na ndiomana Jpm alilipambana kuondoa matabaka na wala sio kuwakandamiza matajiri.
Labda uwataje hapa matajiri waliofilisiwa mali zao kwa chuki bila kuhusika kwenye kashfa za wizi na ukwepaji kodi.
Na pesa za hii mifuko ya hifadhi ni pesa za watu( walipa kodi ) walipozidai baada ya kustafu waliambulia usumbufu mkubwa kwakuwa pesa zao zimeelekezwa kwenye miradi kam hii,wewe unaona ni sawa.
Tuache kutetea mambo ya hovyo ili Taifa lisonge mbele.
 
Mafao ya wanachama wa nssf walikwenda kuyatupa kule. Inasikitisha sana..
 
Hapana, alikuwa muungwana mno sema tu wewe kilaza ndiyo ulikuwa hujui thamani yake. Hii ni miradi ya upigaji ya Ridhiwani Kikwete na baba yake na ndiyo maana walikuwa hawampendi Magufuli. Hapa angefaidika Kikwete tu na familia yake, wewe usingefaidika na lolote lile. Upo hapo?

Kama jinsi wanavyoililia bandari ya Bagamoyo; na jinsi alivyomkalia hiuyu mama mambo yao yatatimia tu pengine Mungu aingilie kati!!!
 
Mradi huu na wa Kigamboni yote ni ya Ridhiwani Kikwete na ndiyo maana Magufuli aliipiga stop kutokana na wizi aliokuwa anaufanya dogo na baba yake ambaye hivi sasa karudi madarakani tena kupitia mlango wa nyuma. Shortly, watairudia hii miradi it's just a matter of time tu.
Karne ya 21 bado tunakuwa na mijinga km hii
 
Hapana, alikuwa muungwana mno sema tu wewe kilaza ndiyo ulikuwa hujui thamani yake. Hii ni miradi ya upigaji ya Ridhiwani Kikwete na baba yake na ndiyo maana walikuwa hawampendi Magufuli. Hapa angefaidika Kikwete tu na familia yake, wewe usingefaidika na lolote lile. Upo hapo?
Dah, wachawi bwana!!
 
Jiwe lilikuwa na roho ya Kimaskini Sana.
Jiwe anahusikaje. Mradi ulikuwa wa upigaji. NSSF waliingizwa mkenge. Wajanja walipewa ardhi ya bure, na NSSF ikatoa pesa. Wenye ardhi na wabia wakuu waliyokuwa na hisa 85% hawakuwa na pesa yoyote. NSSF wenye 15% ndiyo watoa pesa ya mradi. Upigaji huu uliposhtukiwa na NSSF hao wenye mradi wakawa hawana pa kwenda na ghawana hata sifa za kuchukuwa mkopo. Huu mradi kwanza ulitegemea kuwavuta Watanzania wa diaspora kununua nyumba huko, lakini bei ikawa prohibitive na peasa zilizoombwa zingeweza kujenga nyumba nzuri na kubwa kuliko zile za mfumo wa apartment.-
 
Kama jinsi wanavyoililia bandari ya Bagamoyo; na jinsi alivyomkalia hiuyu mama mambo yao yatatimia tu pengine Mungu aingilie kati!!!
Kweli kabisa na imekuwa hivyo kwa sababu jamaa aliingia deni na China wakati kilaza wake anakamatwa na makontena ya unga. Ili asinyongwe akapewa masharti ya kijinga na kuliingiza taifa letu kwenye hasara kama hii. Kwa jeuri wakaleta wawekezaji wao wa kuuza kashata na kahawa pale Kariakoo na wachoma mahindi pale Mnazi Mmoja. Jamaa walikuwa wanaonekana kama wajinga kumbe ni makomando wa Kichina, waliletwa na serikali yao kuja kutuonyesha watanzania kwamba kuna maisha hapa hapa Tanzania si mpaka uuze unga kama Ridhiwani na Jacky alikuwa anawadanganya watanzania kuwa yeye ni model kumbe mavi tu ya Macau.
 
Karne ya 21 bado tunakuwa na mijinga km hii
Ridhiwani, hapa JF si kila mtu ni mjinga kama udhaniavyo....watu wamewachoka na michongo yenu ya kisenge. Hata huko serikalini watu wanacheka tu nawe ila usidhani kama wako nawe.
 
Mradi upo benebene na home, hebu fufueni aisee vijana wapate ajira
 
21 April 2022
Kigamboni, Dar es Salaam
Tanzania

MRADI MKUBWA WA MAKAZI ULIOGEUKA MAGOFU WATEMBELEWA ILI KUONA UKUBWA WAKE



Mradi huu mkubwa wa mfuko wa Jamii wa NSSF ulianza ujenzi mwaka 2014 ulikuwa ukamilike 2018 lakini mwaka 2016 ukasimama una nyumba 7460 68 executive, twin villas 148 shopping mall , shule kindergarten mpaka high school.

Mradi huu ungekamilika ungekuwa mradi mkubwa wa pili wa nyumba barani Afrika baada ya ule wa kule nchini Nigeria.


Juhudi zilifanyika kuufufua au kuuziwa kwa mwekezaji mwingine au kupatikana mbia mpya, Lakini bahati mbaya haujafanikiwa kufufuliwa . Ni matumaini kwa wasomaji na walioutazama mradi huu kuwa ipo siku watajitokeza watu au wawekezaji wengine wakaweza kuuendeleza ili ukamilike na kuanza kutumika kama ulivyowaziwa na waanzilishi wa mradi huu.

EXPLORING THE WORLD'S MOST LUXURIOUS ABANDONED CITY IN DAR ES SALAAM.

Before abandoned Dege Eco village was designed to be a satellite township of Dar es salaam, being built on an area covering 300 acres at Kigamboni. A mixed use residential project addressing all segments of society, from high end to medium, as well as those who need affordable housing.
Source: Menny Terry

MK254

Regime change ndio sababu kuu.Wengi mnasahahau Kigamboni City.Mradi wa Dege Eco Village ulikua mwanzo wa Kigamboni City lakini mabadiliko ya 2015 yalimleta bwana Lukuvi kama waziri wa Ardhi na Nyumba kwake migogoro ndio ilikuwa kipaumbele na hapo tukaanza kusikia kauli tofauti za kigamboni City mara ikaja ya kuhamia Dodoma.Mifuko ya jamii ikabalishiwa sera na maono.Kuna jengo la Mzizima Tower posta amini usiamini jengo hili alipoingia JPM alivyolikuta ndivyo alivyoliacha angalau kuanzia mwaka Jana tunaona umaliziaji japo ni wa kuchechemea.Hivyo miradi ya NSSF haikufifia eti kuna ufisadi au sababu tofauti Bali ni safari ya Dodoma na kuuawa kwa mradi wa kigamboni City.
 
Hapana, alikuwa muungwana mno sema tu wewe kilaza ndiyo ulikuwa hujui thamani yake. Hii ni miradi ya upigaji ya Ridhiwani Kikwete na baba yake na ndiyo maana walikuwa hawampendi Magufuli. Hapa angefaidika Kikwete tu na familia yake, wewe usingefaidika na lolote lile. Upo hapo?
huyo alikuwa mpumbavu tu kama wewe
 
Kikwete na familia yake, kwani bado hujajuwa tu?
Sijajua maana tumeambiwa ni gofu kama makosa yalishafanyika ni bora serikali ingechukua ela za Covid ikakamilisha mradi alafu Zikikodishwa NSSF wawe na kazi yakujenga madarasa kwa kodi zitakazopatikana the project is too big to leave it as it is.
 
Ridhiwani wacha ujinga.....huu mradi unakunufaisha wewe na ukoo wako, it has nothing to do na nchi hii wala wananchi wake. Nyinyi mnaifilisi hii nchi kwa wizi wenu hata kama wewe ungekuwa Magufuli ungefanya hivyo hivyo alivyofanya yeye.
Mimi siyo Ridhiwani, usiwape watu majina ya uwongo ili kujenga hoja yako. Ule mradi hata ungekuwa wa kwako wewe Mkereketwa_Huyu bado una thamani kubwa kwa uchumi wa Nchi. Hii ni kutokana na kodi zitakazolipwa, ajira zitakazo tengenezewa na huduma mbalimbali.

Kuusimamisha usikamilike ilikuwa ni UWENDAWAZIMU
 
Ridhiwani, hapa JF si kila mtu ni mjinga kama udhaniavyo....watu wamewachoka na michongo yenu ya kisenge. Hata huko serikalini watu wanacheka tu nawe ila usidhani kama wako nawe.

Baba yake ndio anamtayarisha nae aje atawale kama Hussein Mwinyi na ndio maana amewarudisha Kinana na Nchimbi kufanikisha mipango yake humo ccm!! Mfuatilieni huyu Emmanuel Nchimbi huko CCM kwenye Uchaguzi anafuata nini na yeye hana cheo?
 
Mimi siyo Ridhiwani, usiwape watu majina ya uwongo ili kujenga hoja yako. Ule mradi hata ungekuwa wa kwako wewe Mkereketwa_Huyu bado una thamani kubwa kwa uchumi wa Nchi. Hii ni kutokana na kodi zitakazolipwa, ajira zitakazo tengenezewa na huduma mbalimbali.

Kuusimamisha usikamilike ilikuwa ni UWENDAWAZIMU
Ulisimamishwa ili utaifishwe na serikali ila ukazuka mgogoro kati ya familia ya mze wa kubembea Jamaika na mwenda zake.
 
[emoji779][emoji779] URGENT SALE[emoji779][emoji779]

[emoji298]Kiwanja Kina Hati Kinauzwa
[emoji298]Maeneo ya Kigamboni Puna Block L
[emoji298]Nauza bei ya Discount 6,000,000
[emoji298]Ukubwa wa kiwanja ni SQM 520
[emoji298]Huduma ya maji na umeme ipo
[emoji298]Tika feri ni Kilometer 30
[emoji298] Nipigie 0689 051480
[emoji298]Niamini nauza bei nzuri sana kwa maeneo hayo kiwanja kama icho ni kuanzia mil 10
Huko mbali sana, nilikataa kiwanja 400sqm kiko 26 km toka Ferry eneo la mnazi mdogo kwa 3Million mwàka jana
 
Jiwe lilikuwa na roho ya Kimaskini Sana.
Hapana hayati JPM hakuwa hivyo kama unavyodhani wewe. Hayati JPM alikuwa ana sifa mbili kubwa na ambazo mara zote zilikuwa zikimgharimu sana

MOJA: Kubwa kabisa kuzidi yote alikuwa hajui kama upo pia ushauri ambao anaweza akapewa mtu (mshauriwa) na mtu mwingine anayemwaini sana ( mshauri) kwa makusudi ya kumhujumu KISIASA (mshauriwa). Hilo halikuwepo kabisa kichwani mwa Hayati JPM; na ndiyo maana kuna watu hadi walifikia hatua ya kuleta kampuni hewa za kununua korosho na baada ya kampuni kuyeyuka hata hakufanikiwa kubaini ni nini kilikuwa kinaendelea

PILI: Alikuwa hana moyo ule wa KISIASA, alikuwa na moyo kama wa mtu mwingine wa kawaida tu na ambaye si mwanasisa kama nilivyo mimi hapa. Kutokana na hali hiyo ku-deal na watu ambao ni wanasiasa perce ilikuwa inampa shida kodogo
 
Hapana hayati JPM hakuwa hivyo kama unavyodhani wewe. Hayati JPM alikuwa ana sifa mbili kubwa na ambazo mara zote zilikuwa zikimgharimu sana

MOJA: Kubwa kabisa kuzidi yote alikuwa hajui kama upo pia ushauri ambao anaweza akapewa mtu (mshauriwa) na mtu mwingine anayemwaini sana ( mshauri) kwa makusudi ya kumhujumu KISIASA (mshauriwa). Hilo halikuwepo kabisa kichwani mwa Hayati JPM; na ndiyo maana kuna watu hadi walifikia hatua ya kuleta kampuni hewa za kununua korosho na baada ya kampuni kuyeyuka hata hakufanikiwa kubaini ni nini kilikuwa kinaendelea

PILI: Alikuwa hana moyo ule wa KISIASA, alikuwa na moyo kama wa mtu mwingine wa kawaida tu na ambaye si mwanasisa kama nilivyo mimi hapa. Kutokana na hali hiyo ku-deal na watu ambao ni wanasiasa perce ilikuwa inampa shida kodogo
Ndio kisingizio cha kuharibu? Huu ni uhujumu Uchumi
 
Back
Top Bottom