Dar: Mradi wa Dege Eco village uliotelekezwa Kigamboni

Ndio kisingizio cha kuharibu? Huu ni uhujumu Uchumi
Ukichukulia kuwa makosa yanayofanywa na watwala wetu yanayotokana na tabia zao za ndani zilivyo ni uhujumu uchumi, basi inabidi viongozi wote wanaotawala dunia hadi kufikia leo hii tarehe 21/05/2022 tuwanyan'anye madaraka na tuwapekele jela.

Baada ya hapo, inabidi tutafute namna ya kufanya mawasiliano ya simu na Mungu huko mbinguni ili atushushie malaika waje watawale hapa duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…