mFuKuZa nDoTo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 492
- 639
Ukisema wewe sipingiMmmh ney yuko vizuri wewe
Shamsa aliponda baada ya kukosa ndoa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema wewe sipingiMmmh ney yuko vizuri wewe
Shamsa aliponda baada ya kukosa ndoa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Huenda ni Kiki mana hawa wasanii ni wasanii kweli kweli , alaf Yale magari yake yako wapi?
Daa hizi level ntafikia tuu simu sio mingi.Bahati inaoneka ahueni ipo! Hawa wenye majina makubwa, ikibidi wawe na escort tu za wajomba kuepuka boda zisizo na usalama hata punje.
Kuna bingwa mmoja alijaribu kupanda boda, hata mita 500 hakumaliza, akapigiwa simu na insurer wake kuwa, tafadhali shuka kwenye hicho ulichopanda, tuko tayari kukufata na kukupeleka popote kwa gharama zetu...jamaa ana bima ya maisha, waliogopa kulipa pesa mingi jamaa akila mkeka.
Polee Nay.
Najitahidi kuepuka kutumia boda as much as possibleAisee Kuna dogo mmoja nampata alikuwa Yuko Safi tu mwili nyumba Ila boda boda imefanya awe mlemavu
Kavunjika mikono na mguu Yuko homu tu
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa kukosa ndoa ndo amkandie mwenzie? LolMmmh ney yuko vizuri wewe
Shamsa aliponda baada ya kukosa ndoa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Ukipakiwa usikubali ama kunyamaza unapona boda dereva anaendesha ovyo,mzuiee mapemaMadereva wa boadaboda sijui wanakula nini, asilimia kubwa waluwalu hasa vijana ila wazee na watu wa makamo wanatulia sana barabarani.
Ugua pole Nay.
Tukipata taarifa zake tutaziweka hapa , tunasubiri Ney azinduke atusimulieMbona hali ya dereva wa bodaboda haisemwi.? Au hiyo bodaboda haikuwa na dereva au dereva alikuwa yeye mwenyewe Ney Wa Mitego.?
Au ndo yale yale ya 'watu 10 wamepata ajali na msambaa mmoja'
Huu ni ubaguzi mkubwa, ukiwa na pesa/status lazima watu wakuogope na wanakuona mungu. Huyo dereva angekufa na Ney angepona bc hakuna angeyejua kama ajali ilitokeaTukipata taarifa zake tutaziweka hapa , tunasubiri Ney azinduke atusimulie
Alishawahi kukamatwa na madifenda na vifaru kibao , hapo napo ilikuwa nini ?Stupidity of the highest class!Ney ahujumiwe nini?Na nani?Pole sana Ney kwa ajali Mungu akupe tahfif.
Alikuwa amefanya kosa gani?Na hiyo jana kafanya kosa gani?Alishawahi kukamatwa na madifenda na vifaru kibao , hapo napo ilikuwa nini ?
Ushaambiwa tuko kazini tunachunguza si utulie basi ! halafu hilo kosa alilofanya Morogoro ni lipi , hivi unajua ana mgogoro na Basata baada ya wimbo wake mzuri kuzuiwa kwenda hewani , kwanini tusitilie mashaka ?Alikuwa amefanya kosa gani?Na hiyo jana kafanya kosa gani?
Mbona huwa nakuona una akili kidogo ya kuishi lakini unaanza kuipoteza hiyo uliyonayo kwa sababu ya kuwa mpinzani wa kila kitu? Umeandikiw comment hii na uzi huu au umeandika mwenyewe?Kuna ajali ngapi zimetokea jana umezichunguza?Go back to your thinking level and stop being a keyboard warrior!Ushaambiwa tuko kazini tunachunguza si utulie basi ! halafu hilo kosa alilofanya Morogoro ni lipi , hivi unajua ana mgogoro na Basata baada ya wimbo wake mzuri kuzuiwa kwenda hewani , kwanini tusitilie mashaka ?
Hujui siasa za Tanzania wewe , tulia .Mbona huwa nakuona una akili kidogo ya kuishi lakini unaanza kuipoteza hiyo uliyonayo kwa sababu ya kuwa mpinzani wa kila kitu?Umeandikiw comment hii na uzi huu au umeandika mwenyewe?Kuna ajali ngapi zimetokea jana umezichunguza?Go back to your thinking level and stop being a keyboard warrior!
Ni kupinga kila kitu!Hujui siasa za Tanzania wewe , tulia .