Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Aliagiza aachiwe baada ya kukamatwa.Acha tufanye uchunguzi huru , kama Ney ni wa kiwango unachotaka tuamini , kwanini Magufuli aliagiza akamatwe Morogoro ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliagiza aachiwe baada ya kukamatwa.Acha tufanye uchunguzi huru , kama Ney ni wa kiwango unachotaka tuamini , kwanini Magufuli aliagiza akamatwe Morogoro ?
Tengeneza tatizo halafu litatue usifiweAliagiza aachiwe baada ya kukamatwa.
Umesoma post mpaka mwisho?si ana hela yule bodaboda alipandaje? nimegundua kwa nini jeshini hairuhusiwi afisa wake aande ma boda boda
Foleni mkuu. Mara nyingi hata mimi nawahi na boda boda chapsi ana hela yule bodaboda alipandaje? nimegundua kwa nini jeshini hairuhusiwi afisa wake aande na boda boda
Endelea kucheka mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sicheki Kama mazuri Ila huyu jamaa anazingua,,Aya ndo ujue mungu yupo
Simu sio nyingi!!! OvaDaa hizi level ntafikia tuu simu sio mingi.
Yani kuna muda nikiwaangalia vijana bodaboda, najiuliza hivi huyu alipewaje leseni ya kuendesha chombo cha moto? Unakuta dogo anaonekana kabisa bangi zimemkolea,muonekano wa kihuni,uchafu,pombe yani ni balaa.Boda boda ni janga la kitaifa....vijana wanatumia vilevi huku wanaendesha na wenye mamlaka baada ya kuwadhibiti wamewafanya kitega uchumi.......ugua pole msanii....
pole sana kwetu, atatuponya.Msanii Emmanuel Eribariki Munis (Nay wa Mitego), amepata ajali ya bodaboda wakati anawahi kwenye Interview.
Kwa sasa msanii huyo yupo katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni akipatiwa matibabu na hali yake bado haiko vizuri.
Inaelezwa alipanda bodaboda ili kuwahi kipindi baada kukwama kwenye foleni akiwa na gari yake.
Hali yake haijatengamaa.
View attachment 1800835