johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mimi ni raia mwema bwashee!Mkuu Yohana Mbatizaji utailewa tu wakikufikia hao wasiojulikana !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni raia mwema bwashee!Mkuu Yohana Mbatizaji utailewa tu wakikufikia hao wasiojulikana !!
We mbona upo nyuma ya keyboard? Ingetakiwa utoe hii kauli upo pale posta na kipaza sauti, tungekuelewa zaidi.TUNAPASWA KUFANYA JAMBO 'kelele nyingi nyuma ya keyboad hazisaidii' wanatuona malofa sana
Tatizo watu hawaelezi tunatokaje nyuma ya Keyboard!!We mbona upo nyuma ya keyboard?
Wkt Mwangosi anauwawa,Dr.Ulimboka anatekwa,Kubenea anashambuliwa na kumwagiwa tindikali machoni utawala wa JK ulikua unapokea Order kutoka kwa nani?Huu utawala ni kama unapokea oders kutoka kwa Kagame
Unataka kusema yote haya ni matendo ya muserikali?Wkt Mwangosi anauwawa,Dr.Ulimboka anatekwa,Kubenea anashambuliwa na kumwagiwa tindikali machoni utawala wa JK ulikua unapokea Order kutoka kwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu sanaCha ajabu Jiwe huwa anaenda nyumba za ibada na kushauri aombewe..
It will never be enough until the regime feels safe and free from opposition/critics threat.
Inauma sana ukondoo umezidi nimeona polisi wanakamata jamaa analalamika hajui anakopelekwa mutu inafuatakama maiti.itapendeza tukionesha ukaliwalishajulikana semeni katekwa na polisi,tusiwaendekeze hawa,wananchi tuchukue hatua