Dar: Mwandishi Bollen Ngetti adaiwa kutekwa tena na watu wasiojulikana; apatikana

Dar: Mwandishi Bollen Ngetti adaiwa kutekwa tena na watu wasiojulikana; apatikana

Kama ccm haifai kiongoza Kwa hiyo magufuli hafai.
Siyo mimi Ni somo LA logic mkuu
Logic.
ch4-if-2.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUNAPASWA KUFANYA JAMBO 'kelele nyingi nyuma ya keyboad hazisaidii' wanatuona malofa sana

Wewe ndio umeongea cha maana sana ,kulia lia hakusaidii kitu wakati wana endelea kutumaliza kila Siku.
 
Kambi ya TEAM MEMBE imeanza kushughurikiwa wapambe,kabla ya kamati ya maadili ya CCM haijakaa na JASUSI MBOBEZI.

Tumetengeneza Taifa la watawala WAOGA mno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waandishi Tunashukuru kwa kutupatia taarifa siku zote, lakini kuna baadhi ya taarifa mnazitoa kwa Mihemuko mikubwa sana, unapotoa taarifa ukihusisha serikali na utekaji unakuwa uko sahihi kweli?

Au unatoa taarifa ukihusisha na jambo lililopita huo ndio ushahidi kweli? Tatizo kubwa ni waandishi Mmejihusisha sana na siasa ndio maana makala zenu inakuwa ngumu Kuzichukulia maanani.

Umewahi kujiuliza serikali iteke raia wake kwa sababu zipi wakati huo inaweza Kumuita au Kumkamata raia yeyote kama kafanya kosa? tunaweza kuwa na aina mpya ya ugaidi au uharamia nchini ,badala ya kujadili swala hili kwa kina kwa nini linatokea hili swala mara kwa mara , kwa nini wakati huu, nini madhara yake kijamii na kiuchumi ,serikali ifanye nini, sisi Tunakimbilia kusema ni fulani au serikali, gues work will not take us any where, tujadili suala hili kwa kina bila kuvaa koti la uanaharakati au Wanasiasa.
 
Inauma sana ukondoo umezidi nimeona polisi wanakamata jamaa analalamika hajui anakopelekwa mutu inafuatakama maiti.itapendeza tukionesha ukali

Hivi ni wangapi wanakamatwa na polisi kwa mahojiano? Mbona hatusikii kelele kwa hao? Hivi huko katika nchi nyingine kama Marekani, Uingereza, Uganda, Kenya, China, Canada je raia hawakamatwi na polisi kwa mahojiano? Na kwanini inaletwa hapa TZ lugha ya ''utekaji' baadala ya ''kukamatwa'? Kwa hiyo tuamini hizi ni mbinu za kuichafua serikali?
 
Wo shi niubi,
So unaona umeandika sana? Kwamba watu unawaona wana IQ ya kuku sio? Probably you could justify why people are being abducted ungeeleweka, and not this nonsense.
 
Waandishi Tunashukuru kwa kutupatia taarifa siku zote,lakini kuna baadhi ya taarifa mnazitoa kwa Mihemuko mikubwa sana, unapotoa taarifa ukihusisha serikali na utekaji unakuwa uko sahihi kweli? au unatoa taarifa ukihusisha na jambo lililopita huo ndio ushahidi kweli? Tatizo kubwa ni waandishi Mmejihusisha sana na siasa ndio maana makala zenu inakuwa ngumu Kuzichukulia maanani, umewahi kujiuliza serikali iteke raia wake kwa sababu zipi wakati huo inaweza Kumuita au Kumkamata raia yeyote kama kafanya kosa? tunaweza kuwa na aina mpya ya ugaidi au uharamia nchini ,badala ya kujadili swala hili kwa kina kwa nini linatokea hili swala mara kwa mara , kwa nini wakati huu, nini madhara yake kijamii na kiuchumi ,serikali ifanye nini, sisi Tunakimbilia kusema ni fulani au serikali, gues work will not take us any where, tujadili suala hili kwa kina bila kuvaa koti la uanaharakati au Wanasiasa.

Tatizo ni kuwa ujio wa social media umeleta aina mpya ya uandishi wa habari...Kila mtu sasa anaweza kuwa ni mwandishi wa habari ...Hizo ni athari za mapinduzi ya teknolojia kwenye communication ...
 
So unaona umeandika sana? Kwamba watu unawaona wana IQ ya kuku sio? Probably you could justify why people are being abducted ungeeleweka, and not this nonsense.

Hakuna anayekuwa abducted hapa...hizo ni kelele zenye mwelekeo wa kisiasa....some people are just "crying wolf"
 
1954,
No wanapotekwa hakuna taarifa yoyote ya ukamataji. Mtu anakuwa ambushed haambiwi sababu wala ndugu hawapewi taarifa. Mpaka sasa ndugu wala jamaa hawajajua ndugu yuko wapi ie Tito Magoti. Ingiza kichwani ni wangapi wamepotea hivyo? Ben Saanane, Azori Gwanda, Mdude. No haya ni majambazi siyo wanausalama.
 
View attachment 1301448
Ikiwa ni siku 4 tangu Afisa Programu na Elimu kwa Umma wa LHRC, Tito Magoti ‘atekwe’ na wasiojulikana, kuna taarifa kuwa mwandishi Bollen Ngeti naye ametekwa na wasiojulikana leo maeneo ya Msasani, Dar

POLISI: HATUNA TAARIFA UTEKWAJI WA MWANDISHI.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kupitia kamanda Mussa Taibu limesema halina taarifa za kutekwa kwa mwandishi wa habari nchini Tanzania, Bollen Ngeti, ambaye inadaiwa kuwa ametekwa leo na watu wasiojulikana eneo la Msasani, DSM.

Zaidi soma:




How long shall it take for our brothers and sisters get killed while we stand aside and look????

The bald-headed hypocites shall one day pay this blood.
 
How long shall it take for our brothers and sisters get killed while we stand aside and look????

The bald-headed hypocites shall one day pay this blood.
Go to hell may be will help!
 
Back
Top Bottom