Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Lugola yupo likizo?Tunasubiri Kauli ya Mambosasa .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lugola yupo likizo?Tunasubiri Kauli ya Mambosasa .
Ticha.wasipelekwe huko tuHuu utawala ni kama unapokea oders kutoka kwa Kagame
Leo hii ndiyo imekuwa too much eeeeh.....
Mkuu Kwani siku hizi Kuna makanisa au Kuna majengo ya kupigia Mapambio na kutaftia wapenzi tu.. Makanisa ya leo hata uwe na Dhambi ya kuua watu 10 kwa saa Wala huwezi ukapatwa na kitu chochote.Cha ajabu Jiwe huwa anaenda nyumba za ibada na kushauri aombewe..
We jamaa huwa unamuabudu sana jiwe ndio ujuwe umafia wake.
Taifa la macowards!mpaka sasa wanaopiga kelele ni wanaharakati tu, watanzania wengine kimyaaaa[emoji31][emoji31][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji31] inaumiza sana hii...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiona mtu mzima anaanza kucheza na watoto ambao sio wake barabarani, unafikili kuna nini hapo zaidi ya kucheka na msamiati mzuri ni ucheshi tu.Mambo mengine yanachekesha sana
Sent using my 6x6 bed.