Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ccm mimi sio mwandishi ila naomba mnisamehe popote pale ambapo nimewakosea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu utawala ni kama unapokea oders kutoka kwa Kagame
Maggufoolification Of Tanzania,
Nitekeni na mimi au nipigeni ban maana hatupaswi kuwa na Utashi kuelezea hisia zetu sasa, This man is a devil!
Kwa hiyo ccm ni ileileWkt Mwangosi anauwawa,Dr.Ulimboka anatekwa,Kubenea anashambuliwa na kumwagiwa tindikali machoni utawala wa JK ulikua unapokea Order kutoka kwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivuga... unaanza kuomba msamaha kwa makosa yote yaliyopita na yanayokuja?Ccm mimi sio mwandishi ila naomba mnisehe popote pale ambapo nimewakosea
Anza wewe sisi tuko nyuma yako!walishajulikana semeni katekwa na polisi,tusiwaendekeze hawa,wananchi tuchukue hatua
Duuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ccm mimi sio mwandishi ila naomba mnisehe popote pale ambapo nimewakosea
Ha ha ha ha nimecheka sanaCcm mimi sio mwandishi ila naomba mnisehe popote pale ambapo nimewakosea
Sisi wengine ni wakulima tunapambana na jua pamoja na wadudu. Ninyi pambaneni na wanasiasa wenzenu. Kila mmoja apambane na yake [emoji119] [emoji119] [emoji119]Hivi ndivyo ninavyoweza kusema kuwa wadanganyika tumeshachukuliwa kama makondoo tunaoweza kufanyiwa uovu kama huu na tukashindwa kuchukua hatua yoyote kwa umoja wetu.
Isitoshe, bado kuna wenzetu ambao wanaamini haya wao hayawahusu na kwamba wanaokumbwa na haya ni kutokana na wao kujifanya wajuaji,kuwa na viherere,n.k.
Iko siku watafanya mabaya zaidi ya haya tena hadharani.
Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe kwa kukosa umoja.
Mtoto umleavyo,.........(malizia mwenyewe).
Kweli malofa kama unadanganywa kirahisi hivyo bila kufanya verification what do you expect?TUNAPASWA KUFANYA JAMBO 'kelele nyingi nyuma ya keyboad hazisaidii' wanatuona malofa sana
View attachment 1301448
Ikiwa ni siku 4 tangu Afisa Programu na Elimu kwa Umma wa LHRC, Tito Magoti ‘atekwe’ na wasiojulikana, kuna taarifa kuwa mwandishi Bollen Ngeti naye ametekwa na wasiojulikana leo maeneo ya Msasani, Dar
POLISI: HATUNA TAARIFA UTEKWAJI WA MWANDISHI.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kupitia kamanda Mussa Taibu limesema halina taarifa za kutekwa kwa mwandishi wa habari nchini Tanzania, Bollen Ngeti, ambaye inadaiwa kuwa ametekwa leo na watu wasiojulikana eneo la Msasani, DSM.
Zaidi soma:
Dar: Mwandishi wa habari Bollen Ngetti akamatwa na Polisi, apelekwa Sitakishari
Mwandishi wa Habari za Uchunguzi Bollen Ngetti, Bollen Ngetti, amekamatwa jioni hii na askari 3, na kupelekwa kituo cha Polisi Stakshari. Ijumaa, Bollen Ngeti alihamishiwa katika kituo cha Polisi Buguruni, Dar es Salaam akituhumiwa kumtukana mke wake. Bollen anasemekana kuwa na Diploma ya...www.jamiiforums.com
Bollen Ngetti: Utawala wa Rais Magufuli na hatima ya CCM
TUMEFIKA mahali ambapo tuweke kando itikadi ya vyama, dini na ubaguzi mwingine wowote tujadili na kutafakari kwa pamoja hatima ya nchi yetu na watu wake! Jamii inayojadiliana masuala ya Taifa ndiyo inaitwa jamii hai. Kinyume na hapo hiyo ni jamii mfu! Tunahitaji watu wa kada zote kujitokeza...www.jamiiforums.com
Bollen Ngetti CCM maarufu kwa kuikosoa Serikali na chama chake mitandaoni anusurika kifo baada ya gari lake kugongwa na gari lililokuwa likiwafuatilia
Bollen Ngetti ambaye Ni mwana CCM maarufu kwa kuikosoa serikali na chama chake mitandaoni amenusulika kifo baada ya gari lake kugongwa na gari iliyokuwa ikiwafatilia na kutokomea kusikojulikana!www.jamiiforums.com
Bollen Ngetti: Dk. Bashiru, Membe si size yako, kaa kimya
SHIKAMOO Mwalimu Bashiru Ally, Katibu Mkuu wa CCM. Nina hakika una afya njema hapa Lumumba ukiwa juu ya kiti chako cheusi cha kuzunguka zunguka ukipitia mafaeli mbalimbali ya kiutendaji. Naomba umuagize Esther akuletee juisi baridi sana kama haujafunga ukae kwa utulivu mkubwa kusoma waraka huu...www.jamiiforums.com
Hivi siku hizi kutekwa ndiyo mtaa gani hapo Dar?Wasiojulikana ambao wanajulikana!!
Haijabadilika na wala haina dalili ya kubadilika.Kwa hiyo ccm ni ileile
SureHuu utawala ni kama unapokea oders kutoka kwa Kagame
Kama ccm haifai kiongoza Kwa hiyo magufuli hafai.