Dar: Mwandishi Bollen Ngetti adaiwa kutekwa tena na watu wasiojulikana; apatikana

Dar: Mwandishi Bollen Ngetti adaiwa kutekwa tena na watu wasiojulikana; apatikana

Ccm mimi sio mwandishi ila naomba mnisamehe popote pale ambapo nimewakosea
 
Inatakiwa ile Sera ya jino kwa jino ndio inafaa akitekwa mtu Leo jioni atekwe mtoto wa waziri au DC au afisa mtendaji halafu anawekwa ransom kwamba hatoki mtu mpaka aliyetekwa atolewe hapa ndio tutaheshimiana vinginevyo mnatwanga maji kwenye kinu
 
Hivi ndivyo ninavyoweza kusema kuwa wadanganyika tumeshachukuliwa kama makondoo tunaoweza kufanyiwa uovu kama huu na tukashindwa kuchukua hatua yoyote kwa umoja wetu.

Isitoshe, bado kuna wenzetu ambao wanaamini haya wao hayawahusu na kwamba wanaokumbwa na haya ni kutokana na wao kujifanya wajuaji,kuwa na viherere,n.k.

Iko siku watafanya mabaya zaidi ya haya tena hadharani.

Wa kulaumiwa ni sisi wenyewe kwa kukosa umoja.

Mtoto umleavyo,.........(malizia mwenyewe).
Sisi wengine ni wakulima tunapambana na jua pamoja na wadudu. Ninyi pambaneni na wanasiasa wenzenu. Kila mmoja apambane na yake [emoji119] [emoji119] [emoji119]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TUNAPASWA KUFANYA JAMBO 'kelele nyingi nyuma ya keyboad hazisaidii' wanatuona malofa sana
Kweli malofa kama unadanganywa kirahisi hivyo bila kufanya verification what do you expect?
 
View attachment 1301448
Ikiwa ni siku 4 tangu Afisa Programu na Elimu kwa Umma wa LHRC, Tito Magoti ‘atekwe’ na wasiojulikana, kuna taarifa kuwa mwandishi Bollen Ngeti naye ametekwa na wasiojulikana leo maeneo ya Msasani, Dar

POLISI: HATUNA TAARIFA UTEKWAJI WA MWANDISHI.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni kupitia kamanda Mussa Taibu limesema halina taarifa za kutekwa kwa mwandishi wa habari nchini Tanzania, Bollen Ngeti, ambaye inadaiwa kuwa ametekwa leo na watu wasiojulikana eneo la Msasani, DSM.

Zaidi soma:




 
Huu utawala wa JPM tutaona mengi, wasiojulikana hawaishi tu!? Bora amalize urais aisee akipewa miaka 5 tena si ndio wasiojulikana watafanya sherehe kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom