TUNAPASWA KUFANYA JAMBO 'kelele nyingi nyuma ya keyboad hazisaidii' wanatuona malofa sana
walishajulikana semeni katekwa na polisi, tusiwaendekeze hawa, wananchi tuchukue hatua
Naomba kukufolo kule twita, hivi unaitwa nani vileeee!!!!Nimeona hii habari nikabaki nashangaa.
Kupitia twitter,mtu anaejiita Martini M.M kapost hii habari tangu saa 11:28 alfajiri ya leo ila nashangaa sijui watu hawakuiona hii tweet maana reaction ni kama haikuwepo kabisa jambo linaloshangaza sana.
Hivi sasa inaonekane ame-post tena kama dakika 29 hivi zilizopita ila ukiifungua hiyo tweet inaonekana ni ya leo saa 11:28 alfajiri.
Anyway,labda tatizo ni mfumo wa masaa unaotumika ndio unaleta huu mkanganyiko.
JPM amechaguliwa kihalali . Kama una ubavu toka nyuma ya keyboard upinge nenda hata mahakamani basi. Tunampenda raisi wetu
I am calling a Spade a Spade and not a big spoon. Kuwateka then kuwatesa na kuwaumiza wale wanaokupinga ni ushamba na upumbavu.Andika kwa Lugha ya hoja na si matusi. Kwa nini kutukana kudhalilisha na kuvunja heshima ya mtu. Pinga kwa hoja utaeleweka
Hapana ndugu. Hata Mungu akiwatupa waovu motoni utasema ana Roho ya shetani. Swala lipo wazi kwanini kutumia lugha ya matusi kudhalilisha uzushi na kukuza maneno halafu usishughulikiwe.Roho ya shetani wewe ni shetani halisi
Mahakama c zipo kwann nishuhulikiwe kijambaziHapana ndugu. Hata Mungu akiwatupa waovu motoni utasema ana Roho ya shetani. Swala lipo wazi kwanini kutumia lugha ya matusi kudhalilisha uzushi na kukuza maneno halafu usishughulikiwe.
Mambosasa anangojea vile mkubwa atamwabia aseme, hii jeshi letu la polisi limekuwa kaa ISISTunasubiri Kauli ya Mambosasa .
jambo liko jikoni mkuuTUNAPASWA KUFANYA JAMBO 'kelele nyingi nyuma ya keyboad hazisaidii' wanatuona malofa sana
Your ability to comprehend issues is too shalow, try and use your intellect plsWkt Mwangosi anauwawa,Dr.Ulimboka anatekwa,Kubenea anashambuliwa na kumwagiwa tindikali machoni utawala wa JK ulikua unapokea Order kutoka kwa nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Leave him alone my sis, some people cannot reason neither can they think critically plsUnataka kusema yote haya ni matendo ya muserikali?
anangoja amri toka kwa jiweKwani Mambosasa anasemaje?