Dar needs 25 years to catch up with Nairobi - Says Baba Levo

Sasa hapo jamaa kasifia ile n
njia ya juu ndefu hapo kenya wakati njia yenyewe ni kichekesho kwa sababu ni njia ya kulipia inamilikiwa kikoloni, sema wakenya mshukuru JPM kafariki vinginevyo mngejuta
Nenda kamfufue
 
Aibu naona mm
 

But we feed you
 
We buy, hamuna uwezo wa kutu feed, mtakuwa fukara zaidi, hamujiwezi mzee.,

Sasa who can’t take care of thyself hapa, if you can’t feed yourself you are just like an ape .
Hapo Kenya unga ukipanda bei kwa 25/- that triggers a nationwide demonstrations. Makapuku.
 
Sasa who can’t take care of thyself hapa, if you can’t feed yourself you are just like an ape .
Hapo Kenya unga ukipanda bei kwa 25/- that triggers a nationwide demonstrations. Makapuku.
Bei ya unga ya ugali ni shingapi hapo kwenu?
 
Anasahau last time we tried comparing bei ya unga between Kenya and Tanzania iligundulika it's way expensive Kwao
Bei ya maziwa tu nchini Tz ni 150% ya bei ya bidhaa hiyo hiyo nchini Kenya. Jamaa kila siku wanakunywa chai ya rangi na mihogo ya sumu. Yaani kunywa maziwa kwa majirani ni anasa kama bia na wakiyaonja ni tiba baada ya kunywa sumu. 😄 Sio nyumbani, sio hotelini, alafu wanakuja huku kujimwambafy. Nawaza kufanya Biashara ya maziwa kutoka Kenya (Brookside)
 
Hio maziwa ya tanga fresh tastes very weird, nikama lagos the you can only find powdered milk only
 
Hio maziwa ya tanga fresh tastes very weird, nikama lagos the you can only find powdered milk only
whaat? na kule Nigeria si Uhuru alipiga deal, Brookside na KCC can be sold there.., I remeber after Raila's boycot thing..,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…