Wapi Kuna Hari ya hewa mbayaWeek sasa nipo sehemu inaitwa Karen, kusema ukweli Nairobi ipo vizuri aise na hali ya hewa nzuri sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi Kuna Hari ya hewa mbayaWeek sasa nipo sehemu inaitwa Karen, kusema ukweli Nairobi ipo vizuri aise na hali ya hewa nzuri sana.
Ile joto ya Dar ni hali nzuri ya hewa?Wapi Kuna Hari ya hewa mbaya
Nenda kamfufueSasa hapo jamaa kasifia ile n
njia ya juu ndefu hapo kenya wakati njia yenyewe ni kichekesho kwa sababu ni njia ya kulipia inamilikiwa kikoloni, sema wakenya mshukuru JPM kafariki vinginevyo mngejuta
Aibu naona mmNilikua najiuliza hilo swali pia. Huyu mtangazaji haelewi infrastructure is influenced a lot by geography. Yani watanzania wana low IQ wote hadi radio presenters.
Sasa kulingana na hiyo logic yake basi Dar imeendelea kuliko all inland cities e.g. Riyadh, Johannesburg, Abuja etc sababu hawana suspension bridge kwa mji. [emoji23]
Anamaanisha Kariakoo market cum residential areaDar Kuna CBD kweli?
Kuna huu uzi nimecheka sana Tanzania tunazidiwa kila kitu na majirani zetu wanaotuzunguka
Majibu nazo!Kuna huu uzi nimecheka sana Tanzania tunazidiwa kila kitu na majirani zetu wanaotuzunguka
Ama labda jamaa alikua anazingua tu. Mwenyewe ndo anajua ukweli.Aibu naona mm
View attachment 2036021
Dada kasema ukweli, kama Baba Levo tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] huwa nasema hawajiwezi hawa watu., yaani ni nature is taking care of them kama baboons kule porini., njaa ikiwakuta wataihama nchi kama vile wildebeest migration, can't take care of themselves, wanategemea nature ifanye yake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We buy, hamuna uwezo wa kutu feed, mtakuwa fukara zaidi, hamujiwezi mzee.,But we feed you
We buy, hamuna uwezo wa kutu feed, mtakuwa fukara zaidi, hamujiwezi mzee.,
Unadhani 25/- za Kenya ni kama za Tanzania?Sasa who can’t take care of thyself hapa, if you can’t feed yourself you are just like an ape .
Hapo Kenya unga ukipanda bei kwa 25/- that triggers a nationwide demonstrations. Makapuku.
Anasahau last time we tried comparing bei ya unga between Kenya and Tanzania iligundulika it's way expensive KwaoUnadhani 25/- za Kenya ni kama za Tanzania?
Bei ya unga ya ugali ni shingapi hapo kwenu?Sasa who can’t take care of thyself hapa, if you can’t feed yourself you are just like an ape .
Hapo Kenya unga ukipanda bei kwa 25/- that triggers a nationwide demonstrations. Makapuku.
Bei ya maziwa tu nchini Tz ni 150% ya bei ya bidhaa hiyo hiyo nchini Kenya. Jamaa kila siku wanakunywa chai ya rangi na mihogo ya sumu. Yaani kunywa maziwa kwa majirani ni anasa kama bia na wakiyaonja ni tiba baada ya kunywa sumu. 😄 Sio nyumbani, sio hotelini, alafu wanakuja huku kujimwambafy. Nawaza kufanya Biashara ya maziwa kutoka Kenya (Brookside)Anasahau last time we tried comparing bei ya unga between Kenya and Tanzania iligundulika it's way expensive Kwao
Akikujibu muulize pia kuhusu bei ya sukari.Bei ya unga ya ugali ni shingapi hapo kwenu?
Hio maziwa ya tanga fresh tastes very weird, nikama lagos the you can only find powdered milk onlyBei ya maziwa tu nchini Tz ni 150% ya bei ya bidhaa hiyo hiyo nchini Kenya. Jamaa kila siku wanakunywa chai ya rangi na mihogo ya sumu. Yaani kunywa maziwa kwa majirani ni anasa kama bia na wakiyaonja ni tiba baada ya kunywa sumu. [emoji1] Sio nyumbani, sio hotelini, alafu wanakuja huku kujimwambafy. Nawaza kufanya Biashara ya maziwa kutoka Kenya (Brookside)
whaat? na kule Nigeria si Uhuru alipiga deal, Brookside na KCC can be sold there.., I remeber after Raila's boycot thing..,Hio maziwa ya tanga fresh tastes very weird, nikama lagos the you can only find powdered milk only