Me niambieni ni uhalifu gani amefanya? au siku hizi difinition ya uhalifu imechange?
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Wala haungi habari, she has Masters degree anajua anachokifanya, habari anapelekewa, anazifanyia uchambuzi anazitoa, sometimes yes anakosea na hua anasema kama akithibitisha habari si ya kweli hata huiondoa kabisa na kuifuta.
Watu wakiacha kumpatia habari wala hatokua na habari za kupost ila wabongo wamejaa kule kwake wanampa na evidence
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Watu waongelee hilo sasa, pia kwa example ya lemutuz, kumbuka walikua na ugomvi and you canmot choose silaha soft ya kumpigia adui, you take the one which hurts the most.
Hata hiyo ya prof J, still haikua iwe big deal like how you guys preaching here. Picha za watu kulazwa ICU mbona ziko nyingi hata watu hupost za ndugu zao ili watu wamuombee mgonjwa, how comes iwe big deal?
Angekua amepost video ya mgonjwa hajavaa nguo ingemake sense, ama angeandika madharau kwa mgonjwa hapo sawa, ila video tu watu.mnang'aka kama ameua, mnazidiwa bwana sio kweli.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Wenye Ubongo mzuri tunakuelewa sana Mkuu na tunazielewa mno Hoja zako tofauti na Fools wengi Wasiokuelewa na Wanaokushambulia.
Kuna watu wamevurugwa nduguSamahani Hapo juu umemsahisha jamaa aheshimu maoni ya wengine. Mbona wewe unafanya kosa like lile kwa kuita wengine fools kisa hawakubaliani na huyo mnyakyusa? .
Ukipakata utatoka unanuka mavi!Acha shobo mtoto wa kiume utapakatwa
App idumu mileleUkweli usemwe, 85% ya habari zake ni kweli wala hatungi, hadi siku akiandika habari ambayo unaijua 100% ndio utaamini, it happened, i was once like you nilikua sijawahi kumkubali hata mala moja, ila m alindika something ambacho hadi.lwo huwa najiuliza who told her about that na sijui ila was true 100% japo najua someone withing those few people who knew lazima alisema mahali na huko alikosema wakamfikishia Mange, so she is right mala.nyingi tu, sababu hagungi story.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Ee kabisaaaaaa auntie tukazione hata zinafananaje yani zina sura gani[emoji3]Tukazitembee auntie[emoji23]
Tuwaone na hao wachakata umbeaEe kabisaaaaaa auntie tukazione hata zinafananaje yani zina sura gani[emoji3]
Kudhalilisha wagonjwa wa ICU kuna uhusiano gani na chochote?App idumu milele
Labda hata ukimwi utapungua
πππVyombo vya ulinzi na usalama vimevamia ofisi za mange KIMAMBI app eneo la kinondoni ikiwa ni pamoja na kuondoka na vifaa vyote vya ofisi pamoja na kukamata wafanyakazi wote
My take- huyu CHUCHUNGE alikuwa kazidi unoko Sana..
Si alijikuta yeye na Maza ni marafiki, apige sasa simu Ikulu
Bong'oa nikupapase.Acha shobo mtoto wa kike. Utapakatwa
Ishu ya J siisapoti kabisa. Ilikiuka utu.Kudhalilisha wagonjwa wa ICU kuna uhusiano gani na chochote?
Bong'oa nikupapase.Acha mbwembwe wife wangu