Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

Kwa kifupi mi nipo ohio, nikisema TISS wanipe ushirikiano huyu bwege ameisha, japo ntaingia matatizonni potelea mbali..ntaishi tu vizuru tu jela za huku.

Pro jay ni wa kunyumba whatever it is..lazima nimsimamie.
mmh hahaha wabongo bhana. Katika ubora wako, kujitutumua kumbe hamna kitu.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
ila tuseme ukweli, mange kichwa chake hakiko sawa kama mwanadamu wa kawaida. kina tatizo kidogo. kuna shetani mkubwa sana ndani yake.
Simple like that? Kama hakiko sawa mbona hatembei bila nguo au ajidai chizi aje bongo
 
Baba yake alibakwa na watu 11, akaamua kujipiga risasi.
Mama yake aliugua uchizi
Mtoto ndio huyo sasa.

Kuna watu wa kuwafanyia mambo ya ajabu Ila sio Jay, Jay ni mtu ambae hana noma na mtu kabisa. Mambo Kama hayo awafanyie kina bashite
Watu kumi na moja? 🤔 uchungu mkali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…