Mnyakyusa Ipinda
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 439
- 1,526
Sawa kaka/dada, kesho watatolewa.Salsa ukimaliza kutetea ujinga, nenda kamsaidie kuwatoa vijana wake kule central. Kwenye ujinga lazima usemwe kaka/Dada.
mmh hahaha wabongo bhana. Katika ubora wako, kujitutumua kumbe hamna kitu.Kwa kifupi mi nipo ohio, nikisema TISS wanipe ushirikiano huyu bwege ameisha, japo ntaingia matatizonni potelea mbali..ntaishi tu vizuru tu jela za huku.
Pro jay ni wa kunyumba whatever it is..lazima nimsimamie.
Ndio unachokijua, alafu mnalilia uhuru wa habari, yes me chawa kweli.Mods piga ban huyu chawa wa huyo mange anatuletea ujinga hapa kwanza ni New member huyu.
NdioNdio unachokijua, alafu mnalilia uhuru wa habari, yes me chawa kweli.
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Anajisifia kuwa amekunja 4 huko USNlitegemea ajenge basi hoja za kwanini aliona ni vema kurusha hiyo video ya mgonjwa.
Yani alikuwa ana mantiki gani? Funzo gani? Au malalamiko gani?
Nimeona ni mpuuzi tu anayeendekezwa na wapuuzi
Duh na wanasema why walibaka juyo mzee? Ni kisasi??
Aisee wahuni hawafai.Inasemekana alifumaniwa.
Aisee wahuni hawafai.
Lemutuz akitaka kumfunga mange mdomo huwa anamkumbusha hili tukio la baba yake.
Mama ana roho nzuri, mama karudisha demokrasia, mama kaleta wawekezaji, mama anakopesheka, mama mpenda haki, mama ana huruma na machinga, mama karudisha mafisadi, mama….Wabongo bhana kwa hiyo kisa alimpost prof jay inahalalisha ofisi zake kuvamiwa
Two wrongs doesn't make right
Najiuliza hiyo ofisi ni ya mambo gani?Kumbe alikuwa na ofisi hapa hapa Bongo??
Alikuwa anatembea na mke wa mtuDuh na wanasema why walibaka juyo mzee? Ni kisasi??
Simple like that? Kama hakiko sawa mbona hatembei bila nguo au ajidai chizi aje bongoila tuseme ukweli, mange kichwa chake hakiko sawa kama mwanadamu wa kawaida. kina tatizo kidogo. kuna shetani mkubwa sana ndani yake.
Ulikua unataka kumkosoa nani au kumfurahisha nani ulipotuma ile clip ya Muhimbili?
Watu kumi na moja? 🤔 uchungu mkaliBaba yake alibakwa na watu 11, akaamua kujipiga risasi.
Mama yake aliugua uchizi
Mtoto ndio huyo sasa.
Kuna watu wa kuwafanyia mambo ya ajabu Ila sio Jay, Jay ni mtu ambae hana noma na mtu kabisa. Mambo Kama hayo awafanyie kina bashite
Kipigo kikazaniwe kwenye mikono na miguu.Very jinga huyo nani nani sijui!Wapigwe