Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata wa huku mikoani tunawaona wanayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata wa huku mikoani tunawaona wanayo
Coomer ni naniTangu uzi uanzishwe ni comment ya 155, of all the people nimeona PHALLER mmoja tu,
Narudia,
Nimeona PHALLER mmoja tu ndio anamtetea, hana akili.
Ni Coomer tu kama ma-Coomer wengine.
Nimekereka sana.
App ndio ishakufa [emoji2]Watoto wa watu wananyea debe yeye bado anaongea pumba sijui hata akili zake zimekalia wap[emoji35]
Ni mvuta bange mmoja toka kisimiriHuyu Mange anayejadiliwa humu ndio nani kwani?
Pengine yupo consistent sababu upsychopath/usociopath ni ugonjwa. Usipotibiwa utaendelea nao siku zote.She is a bully but nampongeza kwa kuwa consistent, kwa wanaomjua tangia blog yake ya U-turn wanajua she is a bully, once a bully always a bully
Kwenda huko bwana, mnajifanya mnamakasiliko for nothing, pia tunatetea sio kwa sababu tunajuana na huyo mange ila.kwa sababu wengi wenu hapa wanafki tu, amlaanie binadamu mwenzake nae amelaaniwa vile vile, watu wanajifanya hapa kumlaani Mange na kutanka maneno mabaya na yatawarudia wote sababu asie na dhambi awe wa kwanza kumyooshea kidole. Anahabarisha tu, au kisa aljazerra, BBC , CNN wanagumia lugha nzuri ndio sio big deal? because wao pia huspost maudhui ya wagonjwa, vifo, vita ect huko hamuumii ila la prof J imewauma sana.... kajsvejsjssos.sj[emoji34]New member mwengine katumwa
Kwahiyo alichofanya bosi wenu ni sawa?
Huyo na wewe nendeni milembe mkatibiwe mnafanya ujinga mnaita mawazo ya mtu..
Bahati mabaya situmii IG,ila inasikitisha sanaWapo we pita kwenye page yake IG uone wanavyoisifia app
Aiseewana group lao telegram Mange kimambi App utawakuta wengi tu
Aisee,kazi ipoHivi unafanya mchezo na wanaume wa daslam
Vichaa pia huona wenye akili nao vichaa, so sikushangai, kujifanya smart amd polite while you look like an idiot, si unywe chupa ufe kama umekasirishwa sana.Skiliza mange
Kama ulidhani hapa jf kuna nyumbu wako na makerubi Kama Huko insta basi ulikosea Sana.
Unatakiwa ukamatwe na kupelekwa milembe ukakae Huko yote uliyofanya kwa kuumiza family za watu bado unajiona una akili? Idiot
Vichaa huwa wanajiona wapo sawa kiakili kumbe kwa nje mnavuja ubongo.
hahah utasubiki sana App yake kufa, hilo la App ndio linawaumiza sana yani siku akifungiwa ndio roho zenu zitatulia, tatizo hatofungiwa sasa, pia huezi zuia watu wadifatilie maudhui yake, pia hahitaji watu wa nchi nzima mfatilie, anataka wachache tu, mnamfatilia sana alafu hapa.mnajifanya kila.mtu hana App wala page yake ya insta huku habari zake zote anazopost mnazijua, acheni unafki Watanzania.App ndio ishakufa [emoji2]
Tulisema hatofika mbali
Uzoefu unaonyesha huwa anaishiaga njiani.
Watoto wa watu wako nyuma ya nondo kisa ugali.
shangaa na wewe mkuu, video wala haina ubaya ila watu hapa wanajifanya wameguswa kama wameona mtu akiuawa, wanawaka na kufoka kama wamekutana na jini.Pengine hiyo video japo sijaiona ilikuwa haina lengo baya the way we thought ilikuwa labda tuone mwenzetu yupo serious na tuzidishe MAOMBI KWA MAULANA.
Unataka kusema Dr Mwele (RIP Legend) alikuwa ameolewa na mzee Kimambi?Aulizwe tu kwanini hakupost video ya ICU ya Dr.Mwele ambaye ni mama yake wa kufikia??