Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

Dar: Ofisi za MangeKimambi App zavamiwa, wafanyakazi wake wakamatwa

hivi kweli unaweza kuita kazi ya Mange, kazi? kuchukua madhaifu ya wengine na kuyaanika bila hata kuchuja hadharani, watu wanaumizwa sana na mange, wanachafuliwa majina hadi biashara hadi sehemu zao za kupatia riziki zinaharibiwa, na kumbe alikuwa na ofisi hapahapa bongo? mimi nilitegemea wafanyakazi wake wawe wamekamatwa muda mrefu sana.
Sema.kosa moja la hao staff lenye kufanya wakamatwe, hao staff wa menge kuna ma graphic designer tu, wahariri wa other news, watangazaji, etc, hakuna mmbea wa kupeleka habari, wanaompa habari ni watu binafsi, muwatafte hao, sio wafanyakazi, mtu kasonea graphic design etc job ipatikane eti aache kisa wewe au watu wanaona ile kazi haifai, utamlisha wewe na kumlipia bills? watu wanahaha ajira hakuna maisha magumu then kazi itokee eti aache kuapply, kisa Chapwa 24 anasema sio kazi[emoji53]

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
 
nishakunywa tayari Mkuu, wanantia hasira tu watu wa humu ndani kujifanya wameguswa kinafki kumbe shida yao App ya mange ifungwe ili wawe safe wasijepostiwa one day, App iendelee kuwepo ili iwakomeshe wapuuzi wote , waongo waongo, wazinzi, wanaocheat, wanaotesa wenzao, wanaokula rushwa, wanaoiba , wanaotapeli, wanaoiza madawa, wanaofanya ujinga wote.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Kulazwa ICU ni upuuzi? Ni ujinga?
 
I understand you mkuu, thanks kwa ufafanuzi zaidi, but lazima tukubali kuwa technology imeendelea sana, hao Muhimbili ndio wenye makosa, sababu wao walitakiwa waweke facilities za kuwezesha kuzuia hayo yasitokee , na kama yakitokea iwe rahisi kujua nani amefanya na awajibishwe, but kutegemea watu wajiongeze hio haiwezekani, mange anawalipa watu, mtu kama ananjaa anaweza mtumie post hata inayodhalilisha ili tu apate pesa. Lakini wakiweka udhibiti watu watakua wanaogopa cas wanajua kuna camera, kuna ulinzi nk. Kama mtu ameweza kurecord video ICU je mwenye nia mbaya ya kutaka kumdhuru mgonjwa atashindwa? si atammaliza na hakuna atakaejua nani kammaliza mgonjwa. Muhimbili wajitafakari sana ile ni big hospital.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Kwahiyo mtu akivamiwa na majambazi unataka umlaumu yule aliyevamiwa kisa hakuwa na machine gun ya kujilinda huku unamtetea yule jambazi aliyeiba kwamba hajafanya kosa?! Are you insane?!
 
Sema.kosa moja la hao staff lenye kufanya wakamatwe, hao staff wa menge kuna ma graphic designer tu, wahariri wa other news, watangazaji, etc, hakuna mmbea wa kupeleka habari, wanaompa habari ni watu binafsi, muwatafte hao, sio wafanyakazi, mtu kasonea graphic design etc job ipatikane eti aache kisa wewe au watu wanaona ile kazi haifai, utamlisha wewe na kumlipia bills? watu wanahaha ajira hakuna maisha magumu then kazi itokee eti aache kuapply, kisa Chapwa 24 anasema sio kazi[emoji53]

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
umesomea graphic design kudesign mambo yanayoumiza wengine, mambo illegal? and you expect the goverment just to look at you bila kukupiga hata kibao. chukua mfano mtu anayedesign mambo ya kigaidi akifanya kazi chini ya gaidi, utamwacha tu kwasababu yeye sio gaidi mkuu? hao wote ni accomplice wanafanya jambo kwa pamoja.
 
Hiyo hata ningekua mimi siwezi sema, wao wajipange upya, lisije jirudia, awaambie kwa nini, uzembe wao ndio umefanya wasijue nani alirecord. Waache uvivu wafanye mambo kisasa sio kutegemea matukio yatokee watafte mtu wa kuwaelezea, No.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Kurekodi ni kosa moja, na kusambaza ni kosa lingine, na kila kosa lina adhabu yake, hii video itamgharimu sana, kufungia hio app ni dakika tu, kama zilivyofungiwa xvideos, hivyo tunatafuta kibali tu, mitandao ya simu wapewe agizo moja hatari sana, na watatekeleza ASAP
 
Kurekodi ni kosa moja, na kusambaza ni kosa lingine, na kila kosa lina adhanu yake, hii video itamgharimu sana, kufungia hio app ni dakika tu, kama zilivyofungiwa xvideos, hivyo tunatafuta kibali tu, mitandao ya simu wapewe agizo moja hatari sana, na watatekeleza ASAP
bado na mitandao ya simu ambako pesa za udhalimu kama hizi zilipitia, na mabenki ambako zilipelekwa. ningekuwa mimi ningewithdraw haraka. ajabu ni kwamba, hawezi kutransfer kwenda kwa mtu mwingine, labda atransfee ziende nje. akituma kwa mtu wa bongo hapahapa wanamrukia pia.j imagine mtu kama Sugu, amekuwa mbunge, halafu mtu anakuja kumrusha yeye na mkewe kuwa wanakulana tigo, na hana pa kujitetea, mtu kaamua tu kumchafua. yule dada atakuwa ameumia kiasi gani, achana na sugu kwasababu ni sugu. ndugu zake yule dada, marafiki zake, anapotembea mtaani watu wakimwangalia wanajua analiwa huo uchafu. atakuwa amumia kiasi gani? halafu through that, mtu kapata pesa ati.
 
bado na mitandao ya simu ambako pesa za udhalimu kama hizi zilipitia, na mabenki ambako zilipelekwa. ningekuwa mimi ningewithdraw haraka. ajabu ni kwamba, hawezi kutransfer kwenda kwa mtu mwingine, labda atransfee ziende nje. akituma kwa mtu wa bongo hapahapa wanamrukia pia.j imagine mtu kama Sugu, amekuwa mbunge, halafu mtu anakuja kumrusha yeye na mkewe kuwa wanakulana tigo, na hana pa kujitetea, mtu kaamua tu kumchafua. yule dada atakuwa ameumia kiasi gani, achana na sugu kwasababu ni sugu. ndugu zake yule dada, marafiki zake, anapotembea mtaani watu wakimwangalia wanajua analiwa huo uchafu. atakuwa amumia kiasi gani? halafu through that, mtu kapata pesa ati.
Asichoelewa ni kwamba anaumiza watu vibaya mno, hata kama ingekwa Sugu ana tabia ya kula tigo kweli, kuna taratibu za kufuata ili muhusika awajibishwe na sio kupita shortcut moja kwa moja na kuanza kumtangaza mtu eti anakula tigo, what happened to ‘innocent untill proven guilty’? , mtu hata hajapewa nafasi ya kusikilizwa umeshamrusha na kumdhalilisha, mtu aliyeumizwa kama huyu anaweza hata akakutumia assasins, who knows kaumia kwa kiwango gani?!
 
Rudi darasan.....maana inaonesha mwalimu wako alipoishia kwenye tense na we ukaishia hapohapo

Mimi nadhani wewe MR. BINGO ndio urudi darasani kwani lugha ya Malkia inakupiga chenga!!
 
Mfano wako haumake sense, wala hauko related na nilichosema. Find another one.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Vipi mafuriko huko ipinda mko salama mko.isije kuna mafuriko na jamaa humu JF wana kustress na issue za Mange.pole ndg yangu inaonekana umeumizwa sana kushambuliwa kwa jembe lako Mange.
 
Kwenda huko bwana, mnajifanya mnamakasiliko for nothing, pia tunatetea sio kwa sababu tunajuana na huyo mange ila.kwa sababu wengi wenu hapa wanafki tu, amlaanie binadamu mwenzake nae amelaaniwa vile vile, watu wanajifanya hapa kumlaani Mange na kutanka maneno mabaya na yatawarudia wote sababu asie na dhambi awe wa kwanza kumyooshea kidole. Anahabarisha tu, au kisa aljazerra, BBC , CNN wanagumia lugha nzuri ndio sio big deal? because wao pia huspost maudhui ya wagonjwa, vifo, vita ect huko hamuumii ila la prof J imewauma sana.... kajsvejsjssos.sj[emoji34]

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Mange wewe ni 🚮🚮🚮
 
Mfano wako haumake sense, wala hauko related na nilichosema. Find another one.

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Haumake sense kivipi wakati wewe unataka kulaumu victim kisa hakuweka mifumo imara ya kujilinda na attackers , wakati huo huo una pacify uovu wa yule attacker?! Same case kulaumu hospitali kisa hawakuweka cameras na kumsafisha alietenda uovu wa kurekodi?! Kumbe mtu mwenyewe huna hoja halafu mwepesi sana...
 
Back
Top Bottom