Dar: Panya road wavamia nyumba 24, wanne wajeruhiwa

Dar: Panya road wavamia nyumba 24, wanne wajeruhiwa

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Wakazi wa mtaa wa Kabaga Kinyerezi yamewakuta.

Ilikuwa ana kwa ana na panya road usiku wa manane. Kwa takribani masaa 2 ikivunjwa nyumba moja baada ya nyingine. Wakazi hao macho pima walikuwa wakichungulia madirishani, wakiwa wameufyata vilivyo mmoja baada mwingine akisubiria zamu yake.

Tutaamka lini sisi kutambua umoja ni nguvu wenye kuweza kutuokoa na yote?

Kwa hakika ni ujinga uliopitiliza kushindwa kuijua nguvu hii yenye uwezo wa kutuhakikishia haki zetu zinaheshimiwa na wote wanaojaribu kutupora.

"Mwenyekiti wa mtaa huo, Hashimu Gulana amesikitishwa na tukio hilo huku akiwalaumu wananchi wa mtaa huo kushindwa kupigiana simu kuwadhibiti vijana hao waliodumu kwenye eneo hilo kwa saa mbili wakitekeleza vitendo hivyo."

"Baada ya tukio, Polisi walikuja, lakini naomba wananchi waendelee kutoa ushirikiano kwa sababu hata tukio linatokea walikuwa wanachungulia madirishani badala wapigiane simu kuwadhibiti vijana hao," amesema.


Yale yale ya kumtaka mwingine kutupigania. Tutanyanyaswa hadi lini hata na vi-dogo vya miaka 12?

Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
 
Kwaiyo Kamanda Kasusa.......!

Wanapomsusa kwenye chaguzi Asianze kusingizia kaibiwa Kura....!

Tit for Tat.....!
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili
 
Polisi walifika eneo la tukio baada ya panyaroad kukamilisha zoezi na kuondoka salama eneo la tukio.. Kisha wakaanza kuwahoji wananchi kilichotokea na wananchi waliojawa na nyuso za hofu huku wengine wakiwa bado wanatetema sana wakaanza kuwaelezea polisi jinsi ilivyokuwa
Kishapo polisi wakawahakikishia usalama wao na kuapa watawatafuta mmojammoja mpaka wapatikane wote kisha wachululiwe hatua kali sana za kisheria ili iwe funzo kwa wengine
Kamanda wa kanda maalum pia alipata fursa ya kuwapa wananchi pole na kuwahakikishia kuwa jeshi liko bega kwa bega nao na watakapoona kuna dalili zozote za kuzorota usalama basi wasisite kutoa taarifa haraka kwa jeshi la polisi
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili

Uko nje mno ya mada mjomba.

Unadhani kukaa dirishani ukiangalia mwenzio nyumba inavunjwa anapumuliwa kisogoni, ukiijua watakufikia na wewe wakupumulie hivyo hivyo uko dirishani siyo ujinga uliopitiliza huo?

Huo ndiyo Mbowe aliousema na ndiyo huo huo utakuwa, bila kujali nani atakaye thubutu kuusema.

Wewe ni mburumundu kwamba huoni hivyo?
 
Polisi walifika eneo la tukio baada ya panyaroad kukamilisha zoezi na kuondoka salama eneo la tukio.. Kisha wakaanza kuwahoji wananchi kilichotokea na wananchi waliojawa na nyuso za hofu huku wengine wakiwa bado wanatetema sana wakaanza kuwaelezea polisi jinsi ilivyokuwa
Kishapo polisi wakawahakikishia usalama wao na kuapa watawatafuta mmojammoja mpaka wapatikane wote kisha wachululiwe hatua kali sana za kisheria ili iwe funzo kwa wengine
Kamanda wa kanda maalum pia alipata fursa ya kuwapa wananchi pole na kuwahakikishia kuwa jeshi liko bega kwa bega nao na watakapoona kuna dalili zozote za kuzorota usalama basi wasisite kutoa taarifa haraka kwa jeshi la polisi

Ngoja tuendelee kuchungulia madirishani wakati nguvu zetu tunazo.
 
Wakazi wa mtaa wa Kabaga Kinyerezi yamewakuta.

Ilikuwa ana kwa ana na panya road usiku wa manane. Kwa takribani masaa 2 ikivunjwa nyumba moja baada ya nyingine. Wakazi hao macho pima walikuwa wakichungulia madirishani, wakiwa wameufyata vilivyo mmoja mmoja akisubiria zamu yake.

Tutaamka lini sisi kutambua umoja ni nguvu yenye kuweza kutuokoa na yote?

Kwa hakika ni ujinga uliopitiliza kushindwa kuijua nguvu hii yenye uwezo wa kutuhakikishia haki zetu zinaheshimiwa na wote wanaojaribu kutupora.

"Mwenyekiti wa mtaa huo, Hashimu Gulana amesikitishwa na tukio hilo huku akiwalaumu wananchi wa mtaa huo kushindwa kupigiana simu kuwadhibiti vijana hao waliodumu kwenye eneo hilo kwa saa mbili wakitekeleza vitendo hivyo."

"Baada ya tukio, Polisi walikuja, lakini naomba wananchi waendelee kutoa ushirikiano kwa sababu hata tukio linatokea walikuwa wanachungulia madirishani badala wapigiane simu kuwadhibiti vijana hao," amesema.


Yale yale ya kumtaka mwingine kutupigania. Tutanyanyaswa hadi lini hata na vidogo vya miaka 12?

Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

Source: Panya road wadaiwa kuvamia nyumba 24 Dar, wajeruhi wanne
Taifa linapokuwa na Umaskini wa kipumbavu unaosababishwa na viongozi wapumbavu pumbavu matokeo yake Panya Road huzalishwa,hawa ni vijana waliokata Tamaa ya maisha,wanashinda njaa,na wakiugua wanakufa kwa kukosa Pesa za matibabu.
Roho zao zimejaa visasi,ghadhabu na unyama.
Baadhi yao walifaulu vizuri kabisa lakini kwa sababu ya Serikali pumbavu walikaa nyumbani kwa kukosa Ada.
Sasa ndo matokeo ya kuwa na Taifa lililojaa ma jobless,mimi nasema nawapenda sana Panya Road.
Naomba wazagae nchi nzima at the end wayatoe baru ma CCM nyambaf [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili
Taifa linapokuwa na Umaskini wa kipumbavu unaosababishwa na viongozi wapumbavu pumbavu matokeo yake Panya Road huzalishwa,hawa ni vijana waliokata Tamaa ya maisha,wanashinda njaa,na wakiugua wanakufa kwa kukosa Pesa za matibabu.
Roho zao zimejaa visasi,ghadhabu na unyama.
Baadhi yao walifaulu vizuri kabisa lakini kwa sababu ya Serikali pumbavu walikaa nyumbani kwa kukosa Ada.
Sasa ndo matokeo ya kuwa na Taifa lililojaa ma jobless,mimi nasema nawapenda sana Panya Road.
Naomba wazagae nchi nzima at the end wayatoe baru ma CCM nyambaf [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Wakazi wa mtaa wa Kabaga Kinyerezi yamewakuta.

Ilikuwa ana kwa ana na panya road usiku wa manane. Kwa takribani masaa 2 ikivunjwa nyumba moja baada ya nyingine. Wakazi hao macho pima walikuwa wakichungulia madirishani, wakiwa wameufyata vilivyo mmoja mmoja akisubiria zamu yake.

Tutaamka lini sisi kutambua umoja ni nguvu yenye kuweza kutuokoa na yote?

Kwa hakika ni ujinga uliopitiliza kushindwa kuijua nguvu hii yenye uwezo wa kutuhakikishia haki zetu zinaheshimiwa na wote wanaojaribu kutupora.

"Mwenyekiti wa mtaa huo, Hashimu Gulana amesikitishwa na tukio hilo huku akiwalaumu wananchi wa mtaa huo kushindwa kupigiana simu kuwadhibiti vijana hao waliodumu kwenye eneo hilo kwa saa mbili wakitekeleza vitendo hivyo."

"Baada ya tukio, Polisi walikuja, lakini naomba wananchi waendelee kutoa ushirikiano kwa sababu hata tukio linatokea walikuwa wanachungulia madirishani badala wapigiane simu kuwadhibiti vijana hao," amesema.


Yale yale ya kumtaka mwingine kutupigania. Tutanyanyaswa hadi lini hata na vidogo vya miaka 12?

Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

Source: Panya road wadaiwa kuvamia nyumba 24 Dar, wajeruhi wanne
Kauli ya mkt inatafsiriwa vibaya.

Nashauri atoke tena Kutoa ufafanuzi.
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili
Wewe ndio jinga kiwango ya Lami.
Hapa uzi ni Panya Rd na sio utajiri wa mtu Fulani. Tukuanza kutaka hapa hatutamalizana.
 
Kauli ya mkt inatafsiriwa vibaya.

Nashauri atoke tena Kutoa ufafanuzi.

Kauli ya mwenyekiti ni thabiti:

"Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe.'

Haya hayakubaliki:

IMG_20220901_085859_867.jpg
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili
Una ujinga mwingi zaidi ya hao Bavicha.

1. Aliyekwambia Mbowe alipatia utajiri wake kwenye siasa atakuwa mjinga mwenzio, alikudanganya, yule ni mfanyabiashara zamani.

2. Halafu Mbowe alisema watanzania, hakusema Bavicha, huu ni ujinga wako wa pili.

3. Mbowe ameshasema 2023 ataachia nafasi yake, wewe unamuita mwenyekiti wa kudumu.

4. Mtu kuitwa mjinga sio kudharauliwa, ni kuambiwa your state of mind basing on a specific issue, kwamba uko empty kwenye jambo husika, ni sawa na kuamshwa usingizini, na anayekuamsha hakudharau, anakujali usizidi kupotea.
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili
Jibu hoja wewe
 
Wakazi wa mtaa wa Kabaga Kinyerezi yamewakuta.

Ilikuwa ana kwa ana na panya road usiku wa manane. Kwa takribani masaa 2 ikivunjwa nyumba moja baada ya nyingine. Wakazi hao macho pima walikuwa wakichungulia madirishani, wakiwa wameufyata vilivyo mmoja mmoja akisubiria zamu yake.

Tutaamka lini sisi kutambua umoja ni nguvu yenye kuweza kutuokoa na yote?

Kwa hakika ni ujinga uliopitiliza kushindwa kuijua nguvu hii yenye uwezo wa kutuhakikishia haki zetu zinaheshimiwa na wote wanaojaribu kutupora.

"Mwenyekiti wa mtaa huo, Hashimu Gulana amesikitishwa na tukio hilo huku akiwalaumu wananchi wa mtaa huo kushindwa kupigiana simu kuwadhibiti vijana hao waliodumu kwenye eneo hilo kwa saa mbili wakitekeleza vitendo hivyo."

"Baada ya tukio, Polisi walikuja, lakini naomba wananchi waendelee kutoa ushirikiano kwa sababu hata tukio linatokea walikuwa wanachungulia madirishani badala wapigiane simu kuwadhibiti vijana hao," amesema.


Yale yale ya kumtaka mwingine kutupigania. Tutanyanyaswa hadi lini hata na vidogo vya miaka 12?

Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

Source: Panya road wadaiwa kuvamia nyumba 24 Dar, wajeruhi wanne
Ukiacha ccm, wananume wa Dar ndiyo janga kubwa linaloikabili nchi kwa sasa
 
Back
Top Bottom