Dar: Panya road wavamia nyumba 24, wanne wajeruhiwa

Dar: Panya road wavamia nyumba 24, wanne wajeruhiwa

Nini tofauti ya wakazi wa kinyerezi madirishani na sisi na rojo la hawa waungwana wenye kututwisha tozo na maswahiba kibao kila uchao?
Siioni tofauti, kwasababu wao ni sehemu ya hii jamii tuliyopo, hapo wanatuwakilisha tu kwenye angle tofauti, huku bado tukiwa pamoja kwenye tozo.
 
Kauli ya mkt inatafsiriwa vibaya.

Nashauri atoke tena Kutoa ufafanuzi.
Mbowe kawapumulia kisogoni hao vijana, kawadhalilisha na kuwadharau BAVICHA lakini wanakenua na siku zote tunasema Mbowe kawaroga BAVICHA.

Mwenyekiti anawadharau wasio na magari ya milioni 400-500 na huku tunajua utajiri wa Mbowe umetokana na siasa ruzuku za CHADEMA.
 
Kwaiyo Kamanda Kasusa.......!

Wanapomsusa kwenye chaguzi Asianze kusingizia kaibiwa Kura....!

Tit for Tat.....!

Kura zinapigwa Kenya, huku rais ndio anaamua nani atangazwe mshindi na sio box la kura.
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili
Tafakari ya kijinga iliyojaa upumbavu na ushamba kwa sababu tu hutaki CHADEMA nchini.
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili

Tanzania hakuna tofauti kati ya mwenye degree na yule ambaye hajui kusoma. Toa mfano mwingine lakini sio wa degree.
 
Wakazi wa mtaa wa Kabaga Kinyerezi yamewakuta.

Ilikuwa ana kwa ana na panya road usiku wa manane. Kwa takribani masaa 2 ikivunjwa nyumba moja baada ya nyingine. Wakazi hao macho pima walikuwa wakichungulia madirishani, wakiwa wameufyata vilivyo mmoja mmoja akisubiria zamu yake.

Tutaamka lini sisi kutambua umoja ni nguvu yenye kuweza kutuokoa na yote?

Kwa hakika ni ujinga uliopitiliza kushindwa kuijua nguvu hii yenye uwezo wa kutuhakikishia haki zetu zinaheshimiwa na wote wanaojaribu kutupora.

"Mwenyekiti wa mtaa huo, Hashimu Gulana amesikitishwa na tukio hilo huku akiwalaumu wananchi wa mtaa huo kushindwa kupigiana simu kuwadhibiti vijana hao waliodumu kwenye eneo hilo kwa saa mbili wakitekeleza vitendo hivyo."

"Baada ya tukio, Polisi walikuja, lakini naomba wananchi waendelee kutoa ushirikiano kwa sababu hata tukio linatokea walikuwa wanachungulia madirishani badala wapigiane simu kuwadhibiti vijana hao," amesema.


Yale yale ya kumtaka mwingine kutupigania. Tutanyanyaswa hadi lini hata na vidogo vya miaka 12?

Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

Source: Panya road wadaiwa kuvamia nyumba 24 Dar, wajeruhi wanne
Tunataka pepo kufa hatutaki🙄🤪
 
Mwenyekiti wa mtaa huo, Hashimu Gulana amesikitishwa na tukio hilo huku akiwalaumu wananchi wa mtaa huo kushindwa kupigiana simu kuwadhibiti vijana hao waliodumu kwenye eneo hilo kwa saa mbili wakitekeleza vitendo hivyo."
Kama wameamua kuishi kama makondoo waacheni
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili
Mbowe alikuwa mmiliki wa Club Bilcanas akiirithi iliyokuwa Mbowe Hotels na aliajiri wafanyakazi wengi wakiwemo ma Dj
Kusema alikuwa DJ ni kuonyesha ukariri wa kikasuku
Umewahi kujiuliza kwa nini hayati Magufuli alihangaika kuivunja club hiyo?
 
Wakazi wa mtaa wa Kabaga Kinyerezi yamewakuta.

Ilikuwa ana kwa ana na panya road usiku wa manane. Kwa takribani masaa 2 ikivunjwa nyumba moja baada ya nyingine. Wakazi hao macho pima walikuwa wakichungulia madirishani, wakiwa wameufyata vilivyo mmoja mmoja akisubiria zamu yake.

Tutaamka lini sisi kutambua umoja ni nguvu yenye kuweza kutuokoa na yote?

Kwa hakika ni ujinga uliopitiliza kushindwa kuijua nguvu hii yenye uwezo wa kutuhakikishia haki zetu zinaheshimiwa na wote wanaojaribu kutupora.

"Mwenyekiti wa mtaa huo, Hashimu Gulana amesikitishwa na tukio hilo huku akiwalaumu wananchi wa mtaa huo kushindwa kupigiana simu kuwadhibiti vijana hao waliodumu kwenye eneo hilo kwa saa mbili wakitekeleza vitendo hivyo."

"Baada ya tukio, Polisi walikuja, lakini naomba wananchi waendelee kutoa ushirikiano kwa sababu hata tukio linatokea walikuwa wanachungulia madirishani badala wapigiane simu kuwadhibiti vijana hao," amesema.


Yale yale ya kumtaka mwingine kutupigania. Tutanyanyaswa hadi lini hata na vidogo vya miaka 12?

Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

Source: Panya road wadaiwa kuvamia nyumba 24 Dar, wajeruhi wanne
Wanaume wa Dar!!!
 
Kura zinapigwa Kenya, huku rais ndio anaamua nani atangazwe mshindi na sio box la kura.
Makamanda mnajua kuruka ruka kama kuku walemavu. Tatizo lenu ni kutaka kuona time ya taifa ya uchaguzi inatangaza watu wenu kuwa washindi hata kama wameshindwa.

Kuna siku mwanachama wa CHADEMA alikuwa anasema Lissu ndiye aliyeshinda uchaguzi mkuu wa 2020 ila Magufuli ndio akatangazwa, nilicheka Sana kwa kuona hajui asemalo.

Nilimpa Elimu hii na pengine na wewe unaweza ukajifunza kitu.Elimu niliyompa ni juu ya mchakato mzima wa uchaguzi ambayo mimi niliugawa mchakato huo katika makundi matatu.

Kundi la kwanza: mchakato wa kupiga kura, katika mchakato huu wapiga kura wanapiga kura kwa kutumia karatasi ambazo zimekubaliwa na kuidhinishwa na vyama vyote na katika kituo Cha kupiga kura kila mpigakura anapewa karatasi moja tu na kabla ya kupiga kura kila msimamizi kutoka vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi anajiridhisha kwa kukagua masanduku ya kupigia kura. Baada ya hapo kura zinapigwa chini ya usimamizi na uangalizi wa karibu.

Kundi la pili, mchakato wa kuhesabu kura. Na hapa umakini uwepo maana ndipo panapolalamikiwa bila ushahidi. Naongea haya kutokana na experience ya uchaguzi mkuu wa 2020 katika uchaguzi ule utaratibu maalumu kabisa kwa kuhesabu kura ulitumika. Kila karatasi ya kura ilifunguliwa na ikapitishwa kwa makarani wa vyama kuikagua na kila mtu aliporidhika kura hiyo inahesabiwa kwa mhusika.

Kundi la tatu, mchakato wa kutangaza matokeo. Baada ya vyama vyote vilivyoshiriki kujiridhisha na zoezi zima basi matokeo yanatangazwa. Na mchakato huu pekee vyama vya upinzani huupinga.

Nini kinafanya upinzani usiridhike na matokeo? Vyama vya upinzani vinashindwa kuwa na maandalizi mazuri kuelekeo uchaguzi mkuu .

IEBC ya Kenya imeandaa uchaguzi uleule unaoandiliwa na NEC ya Tanzania kwa vigezo vilevile lakini aibu naona mimi mpinzani kushindwa kuona Hilo. Siku zote matokeo ya uchaguzi yanaumiza Sana ndio maana licha ya mahakama ya juu kubatilisha mapingamizi ya Odinga bado Odinga anasema haridhishwi na uamuzi huo hii inaonesha ni kiasi gani mpinzani yupo tayari kupinga matokeo hata kama alishindwa
 
Polisi walifika eneo la tukio baada ya panyaroad kukamilisha zoezi na kuondoka salama eneo la tukio.. Kisha wakaanza kuwahoji wananchi kilichotokea na wananchi waliojawa na nyuso za hofu huku wengine wakiwa bado wanatetema sana wakaanza kuwaelezea polisi jinsi ilivyokuwa
Kishapo polisi wakawahakikishia usalama wao na kuapa watawatafuta mmojammoja mpaka wapatikane wote kisha wachululiwe hatua kali sana za kisheria ili iwe funzo kwa wengine
Kamanda wa kanda maalum pia alipata fursa ya kuwapa wananchi pole na kuwahakikishia kuwa jeshi liko bega kwa bega nao na watakapoona kuna dalili zozote za kuzorota usalama basi wasisite kutoa taarifa haraka kwa jeshi la polisi
Hawa polishi wameendelea kukaba za kupiga kiwi barabarani na kuacha ulinzi wa raia na mali zao ukizorota, wamebaki kumnanga Kinana baada ya kuwaambia ukweli....
 
Mtaa mzima walikuwa hawana vocha kuwataarifu polisi??
Hata kama walitaarifu lakini muhimu kutambua waliendelea kuchungulia madirishani nyumba moja moja ilivushwa kwa masaa 2.

Huo ndiyo utanzania sasa. Au siyo? Ujasiri wa kujipigania haupo hafi fulani atuiganie. Sisi wazuri wa kuelekea ilivyokuwa kama waandishi wa habari tu.
 
BAVICHA ni viumbe vya ajabu ulimwenguni na eti ndio ni nguvu inayotegemewa na CHADEMA kushika dola. Ama kweli Mbowe akiwa pekee yake chumbani uwa anafurahi Sana kuweza kuwapumbaza vijana wasomi wa CHADEMA akiwa ni DJ tu bila hata degree.

Leo vijana wa CHADEMA wametukanwa na Mwenyekiti wa kudumu kwamba ni wajinga wanakenua meno wakati Mbowe utajiri wake kaupata kwenye siasa na hapo hapo anawadharau wasio na magari ya mamilion.

Ndio maana uwa nasema siku zote kuwa kijana wa CHADEMA ni Jambo la aibu na mtu wa hivyo anatakiwa kupimwa akili
Comment Haina uhusiano na Uzi Huna akili.

Wananchi wamevamiwa na panya road wewe unaleta siasa za kipuuzi.
 
Makamanda mnajua kuruka ruka kama kuku walemavu. Tatizo lenu ni kutaka kuona time ya taifa ya uchaguzi inatangaza watu wenu kuwa washindi hata kama wameshindwa.

Kuna siku mwanachama wa CHADEMA alikuwa anasema Lissu ndiye aliyeshinda uchaguzi mkuu wa 2020 ila Magufuli ndio akatangazwa, nilicheka Sana kwa kuona hajui asemalo.

Nilimpa Elimu hii na pengine na wewe unaweza ukajifunza kitu.Elimu niliyompa ni juu ya mchakato mzima wa uchaguzi ambayo mimi niliugawa mchakato huo katika makundi matatu.

Kundi la kwanza: mchakato wa kupiga kura, katika mchakato huu wapiga kura wanapiga kura kwa kutumia karatasi ambazo zimekubaliwa na kuidhinishwa na vyama vyote na katika kituo Cha kupiga kura kila mpigakura anapewa karatasi moja tu na kabla ya kupiga kura kila msimamizi kutoka vyama vya siasa vilivyoshiriki uchaguzi anajiridhisha kwa kukagua masanduku ya kupigia kura. Baada ya hapo kura zinapigwa chini ya usimamizi na uangalizi wa karibu.

Kundi la pili, mchakato wa kuhesabu kura. Na hapa umakini uwepo maana ndipo panapolalamikiwa bila ushahidi. Naongea haya kutokana na experience ya uchaguzi mkuu wa 2020 katika uchaguzi ule utaratibu maalumu kabisa kwa kuhesabu kura ulitumika. Kila karatasi ya kura ilifunguliwa na ikapitishwa kwa makarani wa vyama kuikagua na kila mtu aliporidhika kura hiyo inahesabiwa kwa mhusika.

Kundi la tatu, mchakato wa kutangaza matokeo. Baada ya vyama vyote vilivyoshiriki kujiridhisha na zoezi zima basi matokeo yanatangazwa. Na mchakato huu pekee vyama vya upinzani huupinga.

Nini kinafanya upinzani usiridhike na matokeo? Vyama vya upinzani vinashindwa kuwa na maandalizi mazuri kuelekeo uchaguzi mkuu .

IEBC ya Kenya imeandaa uchaguzi uleule unaoandiliwa na NEC ya Tanzania kwa vigezo vilevile lakini aibu naona mimi mpinzani kushindwa kuona Hilo. Siku zote matokeo ya uchaguzi yanaumiza Sana ndio maana licha ya mahakama ya juu kubatilisha mapingamizi ya Odinga bado Odinga anasema haridhishwi na uamuzi huo hii inaonesha ni kiasi gani mpinzani yupo tayari kupinga matokeo hata kama alishindwa

Kwamba?

"Kuna siku mwanachama wa CHADEMA alikuwa anasema Lissu ndiye aliyeshinda uchaguzi mkuu wa 2020 ila Magufuli ndio akatangazwa, nilicheka Sana kwa kuona hajui asemalo."

Kwani wewe ni yule mkurugenzi wa ile tume yetu pendwa?

Kwa mawazo yako CCM wanaweza kukubali kushiriki uchaguzi usiokuwa na tume au refa huru asiyekuwa wao?

Unajua kwa nini ASP Zenji hatimaye walifanya Mapinduzi au asili ya SMZ?

Kulikoni umbumbu huu?

cc: Zawadini
 
Wakazi wa mtaa wa Kabaga Kinyerezi yamewakuta.

Ilikuwa ana kwa ana na panya road usiku wa manane. Kwa takribani masaa 2 ikivunjwa nyumba moja baada ya nyingine. Wakazi hao macho pima walikuwa wakichungulia madirishani, wakiwa wameufyata vilivyo mmoja mmoja akisubiria zamu yake.

Tutaamka lini sisi kutambua umoja ni nguvu yenye kuweza kutuokoa na yote?

Kwa hakika ni ujinga uliopitiliza kushindwa kuijua nguvu hii yenye uwezo wa kutuhakikishia haki zetu zinaheshimiwa na wote wanaojaribu kutupora.

"Mwenyekiti wa mtaa huo, Hashimu Gulana amesikitishwa na tukio hilo huku akiwalaumu wananchi wa mtaa huo kushindwa kupigiana simu kuwadhibiti vijana hao waliodumu kwenye eneo hilo kwa saa mbili wakitekeleza vitendo hivyo."

"Baada ya tukio, Polisi walikuja, lakini naomba wananchi waendelee kutoa ushirikiano kwa sababu hata tukio linatokea walikuwa wanachungulia madirishani badala wapigiane simu kuwadhibiti vijana hao," amesema.


Yale yale ya kumtaka mwingine kutupigania. Tutanyanyaswa hadi lini hata na vidogo vya miaka 12?

Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.
Mtajuta mwaka huu na mwigulu anawanyoosha bado , Burundi mtahamia Kwa lazima
 
Back
Top Bottom