Dar: Panya road wavamia nyumba 24, wanne wajeruhiwa

Hizo simu si mpaka muwe na namba za majirani zako,nina shauri kuwa kila mtaa kuwe na listi ya namba za simu za majirani wote ambazo kila mtu atakuwa na nakala yake,ili kunapotokea tatizo waweze kupeana taarifa...
 
2hrs umekaa kimya. Naumia unakuja kusema pole? Police wetu ni mzigo
Walipigiwa simu on time? Hatujui hilo maana hata kuwasiliana raia tu na kutoa upinzani hata wa kelele ilishindikana.
 
Hawa panya wa barabarani kwanini hawaishi?Kweli serikali jeshi imeshindwa kabisa?Kuna uzembe mahala.
 
Wanaume wa Dar [emoji23][emoji23] once again wanazid kutuangusha wanaume wa mikoani
 
Hawa panya wa barabarani kwanini hawaishi?Kweli serikali jeshi imeshindwa kabisa?Kuna uzembe mahala.
Dawa kibaka mwizi jmbz
Akingia 18 zako ni kama
Hivi

Ova
Your browser is not able to display this video.
 

Ona Hii ng’ombe watu wanaongelea mambo ya panya road anaingiza chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…