Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo mtu kanunua TV yake flat akatupa chogo... Akawa anafuatilia taarifa za habari kwa makini huku pawatila ina pumua nje ikingoja msimu wa kilimo uanze... Hahaaaaa
Mbeya ni mbali kutoka DarWezi gani wapumbavu hivi?
Yani walishindwa hata kwenda Malawi.
Unaiba 2bil unaenda Mbeya?
Pumbavu.
GOING FORWARD, iwe sharti kampuni za ulinzi zinazosafirisha pesa ziwe na BIMA na askari wao wakipiga basi Polisi isihangaike nao (waachwe wawe wawekezaji); polisi ishughulike na kampuni ya ulinzi walipe pesa ambazo hawakufukisha walikotumwa kupeleka
If you pay peanuts, you get a lot of monkeys. Kabla hawajawakabidhi kubeba na kulinda hizo hela zote, waulize wanawalipa shilling ngapi hao wafanyakazi wao. Ukitaka kujua wanalipwa je, angalia vitu walivyoenda kununua.Aisee hizi kampuni za ulinzi now zinapoteza Credibility kabisa
maendeleo hayana chamaHapo mtu kanunua TV yake flat akatupa chogo... Akawa anafuatilia taarifa za habari kwa makini huku pawatila ina pumua nje ikingoja msimu wa kilimo uanze... Hahaaaaa
Na hii ndo shida kubwa, tsh zimewaangusha na lack of exposurepolisi wetu nao hawako modern sana ndio mana jamaa walifanikiwa kufika mbali sema hayo ma shilingi nayo yamewaangusha siku hizi mchakato wa kuyabadili umekua mgumu so ukienda nayo nje ya nchi hamna mtu anayataka ingekua enzi za beura de change wangezibadili ziwe dola then unaingia zako Zambia hapo au Zimbabwe maisha yanaendelea huku ukisubili mtiti upoe