Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ni nyingine. Limesainiwa leo 6th July 2020. Inaekekea hiyo bank inapigwa sana matukio. Kuna mahali hapako sawa.Mbona hii habari Kama ya zamani?
Au ili Ni tukio jingine?
Hiyo ndio kazi yao haina maana wakimbie na pesa za watu hata kama wangekua wanalipwa elfu hamsiniHao watu wanaopewa jukumu la kusafirisha billion 2 kutoka point A kwenda Point B wanalipwa mshahara bei gani?
Tuanzie hapo kwanza.
And how old are you?Hiyo ndio kazi yao haina maana wakimbie na pesa za watu hata kama wangekua wanalipwa elfu hamsini
Hiyo ni ripoti kamili baada ya ile ya awaliMbona hii habari Kama ya zamani?
Au ili Ni tukio jingine?
What kind of person?And how old are you?
Simu baba,Duh vilaza hao wafungwe maisha na adhabu kali.
ukute vitu walivyonunua walinunua kwa majina yao[emoji23][emoji23].taarifa zao za manunuzi zikaingia kwenye system.
Kuchachawa kumewaponza hawa nyumbu.
hawa walinzi ni watu wenye elimu ya chini so huwa hawana plan yeyote ndio mana huwa wanakamatwa kama kuku then hawana exposure kwa dunia ya sasa ukipiga tukio kama hilo hutakiwi kushika simu mwaka mzima mambo yako fanya manual hudakwi unaweza kubaki hapa hapa labda mwabepande kule unakula zako serengeti lite taratiiibu alafu gari nunua haya ma plado au Benz polisi wanatabia ya kuyaogopa so unakula zako nchi taratiibuHawa wezi wasipewe adhabu kali kwa kuwa wameiba bali wapewe adhabu kali kwa kuiba kwa uzembe! Wapigwe kipigo cha mbwa koko
(i).Trckta Power Tiller aina ya TRA-Change Model 7C/15 lenye thamani ya Tsh 20,000,000/=
(ii),Pikipiki moja aina ya SANLG
(iii).TV flat screen moja aina SUNDA na vitu mbalimbali vya matumizi ya ndani kama kitanda, godoro,jiko la gesi,rnakochi n.k
(i).Trckta Power Tiller aina ya TRA-Change Model 7C/15 lenye thamani ya Tsh 20,000,000/=
(ii),Pikipiki moja aina ya SANLG
(iii).TV flat screen moja aina SUNDA na vitu mbalimbali vya matumizi ya ndani kama kitanda, godoro,jiko la gesi,rnakochi n.k
Ukiishi kama zamani usasa hauwezi kukupata OSAMA BINLADEN,lkn pia kua na elimu ndogo sio sababu maana wasingeweza hata kutokomea na huo mzigo isipokua mipango baada ya kupiga haikua madhubutihawa walinzi ni watu wenye elimu ya chini so huwa hawana plan yeyote ndio mana huwa wanakamatwa kama kuku then hawana exposure kwa dunia ya sasa ukipiga tukio kama hilo hutakiwi kushika simu mwaka mzima mambo yako fanya manual hudakwi unaweza kubaki hapa hapa labda mwabepande kule unakula zako serengeti lite taratiiibu alafu gari nunua haya ma plado au Benz polisi wanatabia ya kuyaogopa so unakula zako nchi taratiibu
Dawa ni kuvuka boda kwa hela nyingi kama hiyohawa walinzi ni watu wenye elimu ya chini so huwa hawana plan yeyote ndio mana huwa wanakamatwa kama kuku then hawana exposure kwa dunia ya sasa ukipiga tukio kama hilo hutakiwi kushika simu mwaka mzima mambo yako fanya manual hudakwi unaweza kubaki hapa hapa labda mwabepande kule unakula zako serengeti lite taratiiibu alafu gari nunua haya ma plado au Benz polisi wanatabia ya kuyaogopa so unakula zako nchi taratiibu