Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,952
- 4,416
Mbona hii habari Kama ya zamani?
Au ili Ni tukio jingine?
Hii ni NMB Mbezi. Ile ilikua NBC Samora!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hii habari Kama ya zamani?
Au ili Ni tukio jingine?
Sasa mtu analipwa mshahara wa 150,000 kwa mwezi unataka wafanye nini.Aisee hizi kampuni za ulinzi now zinapoteza Credibility kabisa
Ulitaka walipwe kiasi gani kusafirisha hela za watu? Hizo kampuni tatizo liko kwenye vetting Ni vizuri kampuni kama hizo kuwa family business waajiriane ndugu wanaofahamiana itasaidia kuliko kuajiri watu wasioelewekaHao watu wanaopewa jukumu la kusafirisha billion 2 kutoka point A kwenda Point B wanalipwa mshahara bei gani?
Tuanzie hapo kwanza.
Mataga hujajibu swali.Ulitaka walipwe kiasi gani kusafirisha hela za watu? Hizo kampuni tatizo liko kwenye vetting Ni vizuri kampuni kama hizo kuwa family business waajiriane ndugu wanaofahamiana
Amka usingizini huu ni mwezi wa SABA.Tarehe 8 mwezi wa 6 bado hatujafika,huo uandishi JAMHURI ndio inaandikwaga hivyo[emoji439]
Huu ni mwezi wa 7 mkuu au umeingia na Simu gereza la segerea huoni jua umekimbilia Jamii forumTarehe 8 mwezi wa 6 bado hatujafika,huo uandishi JAMHURI ndio inaandikwaga hivyo[emoji439]
120kHao watu wanaopewa jukumu la kusafirisha billion 2 kutoka point A kwenda Point B wanalipwa mshahara bei gani?
Tuanzie hapo kwanza.
Wamenunua tractor la 20mil kwenye risiti efd kaweka jina lake na namba ya simu.Duh vilaza hao wafungwe maisha na adhabu kali.
ukute vitu walivyonunua walinunua kwa majina yao[emoji23][emoji23].taarifa zao za manunuzi zikaingia kwenye system.
Kuchachawa kumewaponza hawa nyumbu.
Eti,,,,!!,ndo maana nasema wafungwe miaka mingi na adhabu kali kwa uzembe.Wamenunua tractor la 20mil kwenye risiti efd kaweka jina lake na namba ya simu.
Yani hata wapelelezi watakasirika sana . bora kasusura
Nimeshangaa sana power tiler na tractor, siku hizi powertiller mil20??Hapo tu kwenye tractor power tiller Tzs 20,000,000/= kweli!!!?
HahhhPumbavu zao wote waliokamatwa...wameniharibia siku yangu kabisa
Walinzi wa Makampuni ya Ulinzi wana njaa sana maana mishahara wanayolipwa hailingani na majukumu wanayopewa kama hayo ya kusafirisha fedha Pia wengine hawana weledi na maadili ya kazi ndiyo maana wanafanya vituko hivyo. Lakini pia kwani wasipewe Polisi kazi ya kusafirisha fedha kama hizo. Kama Polisi wanalinada Benki, kwani wasipewe jukumu la kusafirisha fedha! Kuna uzembe pia wa menejimenti ya BenkiMbwa kabisa hawa. Tanzania haina wezi ina matahira wa kiwango cha lami..
Wangepata master mind kama mimi wao ndio wangekamatwa mimi muda huu ningekuwa kisiwa cha mauritius nafanya yangu..