macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Na Mwinyi aliuza Loliondo. Na pia kipindi chake kulikuwa na ufisadi uliopitiliza. Ila siamini ni kwa sababu ni waislam. Kuna waislam wengi tu ni wazalendo. Nadhani ni culture ya eneo walilozaliwa na kukulia.Badala muandamane, Hamas iwaachie ndugu zetu nyie mnawasupport magaidi.
Bandari imeuzwa, tunawaambia huu mkataba ni mbaya ila mwisho mnakuja kulalamika wakristo wanairudisha nchi nyuma.
Ufisadi mkubwa unafanywa na maraisi wa kiislamu.
- Kikwete aliuza gesi mtwara
- Samia ameuza Loliondo na Bandari.
Hawa wavaa kobazi, hawana akili kbsa
Wataogopa sana kama miaka 10 ijayo ishallahWanaogopa majini
Tokea Nyerere Tanzania ipo upande wa palestine.... kingine maandamano sio msimamobwa taifa hata uingereza, Spain etc kumekua na maandamano ya kupinga ukatili wa Israel. Msimamo wa wananchi sio msimamo wa serikali.Hatutaki nchi yetu ionekane ipo upande gani.
maadui wa israel si hamas tu, yapo madola yenye nguvu duniani yanatishia kuifuta israel kwenye ramani ya dunia. Kwa hiyo washirika wa israel wako macho kuona dola lolote adui wa israel likijaribu kuishambulia israel lione cha motoIkawaje muombe msaada Toka USA,mkosogeza na mimeli ya kivita ilihali Hamas hawana hata kifaru?
Israel au NATO?maadui wa israel si hamas tu, yapo madola yenye nguvu duniani yanatishia kuifuta israel kwenye ramani ya dunia. Kwa hiyo washirika wa israel wako macho kuona dola lolote adui wa israel likijaribu kuishambulia israel lione cha moto
Vipi Tegeta Escrow je mkombozi bank ya kanisa gani? Ufisadi hauna dini ndugu yangu. Watu wa pwani huwa sio aggressive ndio maana wabara wana take advantage kuiba ila sio sababu ya dini. Mfano Mkapa alikiri kuchota billion 100 kwa ajili ya kampeni za CCM!! So ufisadi hauna dini maana unakatazwa na imani zoteBadala muandamane, Hamas iwaachie ndugu zetu nyie mnawasupport magaidi.
Bandari imeuzwa, tunawaambia huu mkataba ni mbaya ila mwisho mnakuja kulalamika wakristo wanairudisha nchi nyuma.
Ufisadi mkubwa unafanywa na maraisi wa kiislamu.
- Kikwete aliuza gesi mtwara
- Samia ameuza Loliondo na Bandari.
Hawa wavaa kobazi, hawana akili kbsa
Tokea Nyerere Tanzania ipo upande wa palestine.... kingine maandamano sio msimamobwa taifa hata uingereza, Spain etc kumekua na maandamano ya kupinga ukatili wa Israel. Msimamo wa wananchi sio msimamo wa serikali.
Wameona kofia za polisi wakajificha ktk makabatina wakristo kule mbeya walitaka kuandamana tarehe9/11 imekuwaje
Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu…” [Quran 5:3]
“Na anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitakubaliwa kwake…” [Quran 3:83]
Huyu bibi si yupo kwa Biden huko Houston iweje aje kwa maandamano ya Manzese?Akina FaizaFoxy hao
Ustaarabu wa mtu huanzia kwenye kula... waislam wengi ukitaka kujua ustaarabu wao watazame kwenye sinia za ubwabwa/pilau!! Hata awe msomi wa kariba kama ya profesa lipumba si jambo la kushangaza kumuona kashikilia finyango za nyama mkono wa kushoto huku mkono wa kulia ukikata matonge mithili ya kasia kwenye mtumbwi!Na Mwinyi aliuza Loliondo. Na pia kipindi chake kulikuwa na ufisadi uliopitiliza. Ila siamini ni kwa sababu ni waislam. Kuna waislam wengi tu ni wazalendo. Nadhani ni culture ya eneo walilozaliwa na kukulia.
acha ujinga wewe mvimbiwa dini. Uhuru ungepatikana tu na sio kujitapa kwa historia za yule babu yako humu. Unadhani nchi nyingi za kiafrika waislam ndio walileta uhuru? Mnapenda sana udini udini tu bila aibuMtabaki hivyo kutegemea wengine wakuleteni ukombozi
Aaliimran 3:35 - Kumbukeni aliposema mke wa Imrani (Baba yake Mariyam katika kumwomba Mola wake) "Mola wangu! Nimeweka nadhiri kwako aliyemo tumboni mwangu kuwa wakfu (wa kutumikia mambo ya dini) basi nikubalie. Bila shaka wewe ndiye usikiaye na ujuaye.Na tukisema uislami ulianza na mudi na nuna?
Yupo Kiwangwa, BagamoyoHuyu bibi si yupo kwa Biden huko Houston iweje aje kwa maandamano ya Manzese?
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)Malaria 2 nasoma comments zako na threads zako japo si zote ila punguza kasi uko mbio unasahau viatu nyuma
Nakushauri kuiga tabia za mtume ama laa huwezi msome Abubakar kidogo
Una kahasira kaliko pitiliza hao ambao una hasira nao mtume aliishi nao , kubwa na hasira na anaepinga haki usiwe na hasira na kila mtu ambaye hakuungi
kipondo cha mbwa koko wanachokipata hamas baada ya kuishambulia israel kiuchozi. Israel imeamua kuwatia adabu magaidi wa hamas ndio kina ponda wakaandaa maandamano kuwatetea ndugu zao katika dini yao ya kiislamKwani yanahusu nn ?
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu. (Quran)kipondo cha mbwa koko wanachokipata hamas baada ya kuishambulia israel kiuchozi. Israel imeamua kuwatia adabu magaidi wa hamas ndio kina ponda wakaandaa maandamano kuwatetea ndugu zao katika dini yao ya kiislam