Dar: Rais Samia akabidhi magari 123 kwa Mamlaka za Maeneo ya Utekelezaji kwa Shughuli za TASAF

Dar: Rais Samia akabidhi magari 123 kwa Mamlaka za Maeneo ya Utekelezaji kwa Shughuli za TASAF

Miaka 6 nyuma jiwe alikua anazindua hadi tawi la bank crdb
Bado sijaelewa hadi sasa, Ina maana kila anachofanya samia atakua analinganishwa na maguful? Tunaamini Magufuli alikosea kufanya hayo, kwa hiyo nae Sasa Samia anaapaswa kukosea tena kufanya hayohayo?
 
Yule mwehu wenu aliyekuwa akizindua mpaka vyerehani ili tu awe live kwenye TV zote mbona hukuuliza kuwa amekosa kazi?
Hivi inakuwaje hii awamu kila wanachofanya mnajilinganisha na Magu?

2025 mtakuja kuvaa pichu vuchwani mbwa nyie
 
Mwenyewe nimeshangaa!
Anaongea nini mie bado sijamuelewa!?!
UDSM kunani!?!
Tuchukue kwa mfano nyote mnajua baba wa nyumb hiyo yupo lakini ukasikia kwamba ile nyumba haina baba, kisha mtoa hoja akaeleza sifa stahiki za baba mwenye nyumba, hapo wewe unaelewaje?
 
Tupe namba mama tukuripotie moja kwa moja,
Wengi sana wanachezea mali ya serikali na ukichunguza wengi si raia hata sijui wamepataje hivyo vyeo yaani hawana uchunguuuu kabiaaaaa
 
Service ya magari kufanywa na halmashauri kwakweli pataleta shida.
 
Ndiyo maana wengi wamejibana ndani ya CCM
Nadhani tatizo kubwa zaidi ni elimu ya uraia, wengi hatuna na hutuijui ndio maana nahisi viongozi wengi sio raia wa tz, so wanatumia ujanja ujanja na udhaifu wetu yaani hawana uchunguuuu kabisaaaa, inatia hasiraaaa, yaani meneja tu wa shirika yuko kwenye kikao na gari inaunguruma masaa manne, mwenye uchungu hawezi fanya hili
 
Back
Top Bottom