Bado sijaelewa hadi sasa, Ina maana kila anachofanya samia atakua analinganishwa na maguful? Tunaamini Magufuli alikosea kufanya hayo, kwa hiyo nae Sasa Samia anaapaswa kukosea tena kufanya hayohayo?Miaka 6 nyuma jiwe alikua anazindua hadi tawi la bank crdb
Safi sana. Mama anamuiga JIWE. Na hii inaonesha JIWE ni kama maji. Usipoyaoga, utayanywa. Usipoyanywa, utayakuta kwenye chakula.Mbona huko nyuma hukushangaa?
Ndio . Nyie machawa wa Magufuli lazima mtambue kuwa kichwa chenu kimenyolewa hamna mahali pa kukaa tenaKwa hiyo Samia ni wako wewe?View attachment 2246935
Hivi inakuwaje hii awamu kila wanachofanya mnajilinganisha na Magu?Yule mwehu wenu aliyekuwa akizindua mpaka vyerehani ili tu awe live kwenye TV zote mbona hukuuliza kuwa amekosa kazi?
Tuchukue kwa mfano nyote mnajua baba wa nyumb hiyo yupo lakini ukasikia kwamba ile nyumba haina baba, kisha mtoa hoja akaeleza sifa stahiki za baba mwenye nyumba, hapo wewe unaelewaje?Mwenyewe nimeshangaa!
Anaongea nini mie bado sijamuelewa!?!
UDSM kunani!?!
Kwa nn kiongoziAmekosa kazi kabisa asee?
Hakuna kazi za kufanya mpk akakabidhi magari?Kwa nn kiongozi
Wanaweka makusudi ili baadae wajiuzie kwa bei ya chini snhiv hii kuweka.magar juu ya mawe huwa ipoje ? huw nikifika pale ardh nakuta ma v8 dah
Ndiyo maana wengi wamejibana ndani ya CCMTupe namba mama tukuripotie moja kwa moja,
Wengi sana wanachezea mali ya serikali na ukichunguza wengi si raia hata sijui wamepataje hivyo vyeo yaani hawana uchunguuuu kabiaaaaa
😁😁😁😁BaelezeeeYule mwehu wenu aliyekuwa akizindua mpaka vyerehani ili tu awe live kwenye TV zote mbona hukuuliza kuwa amekosa kazi?
Nadhani tatizo kubwa zaidi ni elimu ya uraia, wengi hatuna na hutuijui ndio maana nahisi viongozi wengi sio raia wa tz, so wanatumia ujanja ujanja na udhaifu wetu yaani hawana uchunguuuu kabisaaaa, inatia hasiraaaa, yaani meneja tu wa shirika yuko kwenye kikao na gari inaunguruma masaa manne, mwenye uchungu hawezi fanya hiliNdiyo maana wengi wamejibana ndani ya CCM