Dar: Rais Samia ashiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Februari 8, 2025

Dar: Rais Samia ashiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Februari 8, 2025

Balkanization of Congo will be suicidal and a Security blunder like the Balkanization of Sudan, Ethiopia and Somalia. This appeasement will only embolden Tutsi extremism and separatism, unleashing a chain of dominoes throughout the region, if not an entire continent.

The redrawing of colonial boundaries will tear down the entire security architecture of Africa. It's a frightening prospect to any serious thinker.

Either way, all African warlords always end up in the same scrapyard. Before Kagame, there was Jonas Savimbi, who built a deadliest force in the continent out of looting his country's minerals. He was a darling to the West, particularly the CIA, until when they divorced.​
Sudani kusini imejitenga Ina amani kuliko ilivyokuwa, Eritrea wamejitoa Ethiopia Wana utulivu kiliko mwanzo, Somaliland wamejitoa Somalia, Wana utulivu na maendeleo kukiko kabla hawajajitenga, suluhisho la Kongo ni kujitenga kwa Kongo mashariki, nje ya hapo ni Vita isio na mwisho.

Inawezekana wazungu wamechoka hio conflict wameoma waisapoti Kigali iumalize huo mzozo kijeshi, tusiangalie rasilimali tu, tuangalie na amani, utulivu na usalama wa watu, Kinshasa miaka yote imeshindwa Kuleta utulivu, je, hali hio iachwe iendelee hivyo hivyo?
 
Sudani kusini imejitenga Ina amani kuliko ilivyokuwa, Eritrea wamejitoa Ethiopia Wana utulivu kiliko mwanzo, Somaliland wamejitoa Somalia, Wana utulivu na maendeleo kukiko kabla hawajajitenga, suluhisho la Kongo ni kujitenga kwa Kongo mashariki, nje ya hapo ni Vita isio na mwisho.

Inawezekana wazungu wamechoka hio conflict wameoma waisapoti Kigali iumalize huo mzozo kijeshi, tusiangalie rasilimali tu, tuangalie na amani, utulivu na usalama wa watu, Kinshasa miaka yote imeshindwa Kuleta utulivu, je, hali hio iachwe iendelee hivyo hivyo?
Kwaiyo Mashabiki waiache itawaliwe na Rwanda
 
Sudani kusini imejitenga Ina amani kuliko ilivyokuwa, Eritrea wamejitoa Ethiopia Wana utulivu kiliko mwanzo, Somaliland wamejitoa Somalia, Wana utulivu na maendeleo kukiko kabla hawajajitenga, suluhisho la Kongo ni kujitenga kwa Kongo mashariki, nje ya hapo ni Vita isio na mwisho.

Inawezekana wazungu wamechoka hio conflict wameoma waisapoti Kigali iumalize huo mzozo kijeshi, tusiangalie rasilimali tu, tuangalie na amani, utulivu na usalama wa watu, Kinshasa miaka yote imeshindwa Kuleta utulivu, je, hali hio iachwe iendelee hivyo hivyo?
I don't know which Sudan, Ethiopia and Somalia you're talking about. But the ones I know are complete cesspools of medieval mayhem and bestial violence.​
 
Rwanda hawezi kuitawala, kule Kigali kwenyewe ni kwa Moto, sema atakuwa na ushawishi mkubwa Kama ule wa Uingereza kwa Marekani, France kwa Belgium, china kwa korea n.k Ni Jambo la kawaida
Yeah una hoja kabisa, jimbo la Kivu kusini limepakana na Burundi hasimu wa Rwanda na hawezi kukubali eneo hilo liwe chini ya serikali ya Kigali.....pia Uganda ana maslahi yake huko Kivu Kaskazini hayupo tayari kuyapoteza kirahisi kwa Rwanda.
 
Mbona kwenye picha simwoni Tshekedi?. Sidhani kama kweli Marais wa DRC na Rwanda wanaweza kukubaliana na kushikana mikono ya upendo.
Hali ya usalama haiko imara kipindi kama hiki ndio maana katulia hawatoki tu kirahisi unaweza usirudi au ukarudi sio rais.
 
Dawa ni kuunda jeshi kali la pamoja na kwenda kufurusha m23, hakuna suluhu ingine
 
Back
Top Bottom