Dar: Rais Samia ashiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Februari 8, 2025

Dar: Rais Samia ashiriki Mkutano wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Februari 8, 2025

Tishekedi na Banyamulenge wake wa M23 wamehudhuria?!
 
Ruto amekua the most unpopular president of Kenya so boring hana nyota ya uraisi analazimisha tu
unpopular kivip gentleman wakati yeye ndie kiongozi anaezungumzwa sana Kenya huku akiitwa majina ya kisasa kama vile Zakayo, Kasongo n.k

Ni lini kasongo amekua unpopula kwa mfano r?🐒
 
Wengi wanamponda Mwenyekiti mstaafu wa Chadema mh Mbowe Kwa kuingia kwenye maridhiano na CCM huku wakimshangilia Mwenyekiti Mpya Mh Tundu Lisu anayeamini kwenye No Reforms No Election

Lakini Rais wa Kenya mh Ruto amesema kuingia kwenye maridhiano siyo udhaifu Bali ndio njia muafaka ya kufikia malengo Kwa nyakati za sasa

Source: Citizen tv
Ni kweli kama wate mna nia moja ya kuponya na kujenga. Sio mnana ana nia ya dhati mwingine anatumia ulaghai kuchelewesha ili mambo yake yakamilike
 
Kwani kuna asiyetaka au kupenda mapatano na mapendano kwa njia ya kukaa chini kuzungumza jamani..?

Hii kauli mbiu ya CHADEMA - NO REFORMS, NO ELECTION inawatisha bure tu nyie kina johnthebaptist kwani logic yake ni mapatano kwanza yanayolenga kukubaliana kufanya mabadiliko fulani ya taratibu, kanuni na sheria ili kuleta usawa wa haki ktk jambo au mambo mnayoridhiana/patana kuyafanya ili kuondoa au kupunguza madhara ya migogoro na uharibufu kama itabaki hivyo...

Tatizo la CCM na serikali yao, dhana ya maridhiano kwao maana yake ni kukubaliana na kile wakitakacho wao na si kile kinacholeta usawa na haki kwa pande zote zinazozungumza ili kupatana. Wanataka pande zingine zikubaliane na taratibu, kanuni na sheria za dhuluma kwao lakini zenye faida kwa CCM na watawala...

Dhana yao hii iliyo ktk mkondo huu☝🏻HAIWEZEKANIKI WALA KUKUBALIKA KTK NYAKATI NA MAJIRA HAYA. Tukienda nayo hivi hivi itakula maisha ya watu sana yakiwemo ya watawala na wana CCM wenyewe..!!

Kwa hiyo, dhana ya NO REFORMS, NO ELECTIONS ni kwa ajili ya manufaa ya pande zote, manufaa ya kila mtu wakiwemo nyie wana CCM...!

Na ndo maana ya kusema kuwa IF THERE'S NO NECESSARY CONSTITUTIONAL & LEGAL REFORMS THAT CREATES EQUAL POLITICAL PLAYING GROUND, THERE WILL BE NO FREE, FAIR AND TRANSPARENT ELECTIONS IN TANZANIA NOW AND TOMORROW...!

Na nafikiri hili liko sawa kabisa tukizingatia yaliyotokea ktk chaguzi za 2019, 2020 na 2024 ambazo ziliondoka na uahai wa maisha ya wenzetu wengi sana akiwemo kinara wa dhuluma ya haki za watu za kuishi Hayati Rais wa JMT John P. Magufuli...

Hawa kina Samia Suluhu Hassan hawaogopi kufa siyo? Waendelee kushupaza shingo tutaona matokeo yake huko mbele kidogo tu...
 
I never said they were assassinated in TZ.

Mobutu and Moi were supposed to attend the meeting, but changed their minds few days before the Arusha Conference. They were warned of rumours of assassination.

Mobutu warned Hyabarimana not to attend, but he got stubborn and came to TZ either way. I believe he was already war fatigued.

After the Accords, M7 and kagame left TZ, but Hyabarimana was delayed by President Mwinyi in Dar Es Salaam. This delay provided ample time for logistics of RPF rebels under Colonel Kagame to plan to down the Jet near Kigali Airport.

When Genocide started Nyerere wanted TZ forces to make an incursion into Rwanda and protect the Tutsi population, but Mzee Mwinyi and Ikulu fell silent. Gen Imran Kombe and other Security Apparatchiks advised against it.

In an attempt to embarrass the TZ Government, and force Mwinyi's hand in the matter, Mzee Nyerere made a public spectacle by convening a huge Press Conference at his home in Upanga, criticizing the TZ Government for denying to send troops in Rwanda.

It seem Pres Mwinyi and Gen Kombe knew something about Rwanda, Burundi, Arusha Accords, Assassination and the Prospect of Peace that we ordinary people don't.

The OAU as one of broker and guarantor of peace during the Arusha Accords, was supposed to launch a Probe Committee to investigate the assassinations of its two cherished sons, Pres of Rwanda and Burundi, but unfortunately it ended up in a pipeline, never to see the light of a day.

And guess who was the OAU Secretary at the time. Nyerere's protege Dr Salim Ahmed Salim.

Now, not floating any weird conspiracy, but it seems, Mwinyi, Nyerere, Kombe, Kagame, Museveni and Salim, knew something we don't. These men disagreed on very important issue. It was very unlikely for TZ to remain silent in the sight of egregious genocide happening in Rwanda. But it remained silent.

In 1996, Nyerere again, chaired a Kampala meeting which laid a plan to invade Zaire, oust Mobutu and install his lackey Desire Kabila. I never liked Mobutu and his corruption, but atleast Zaire was stable. It was the 2nd largest Economy in Africa.

In 1997, Kagame, Museveni and Kabila invaded Zaire. And President Chiluba, another protege of Nyerere allowed Rwandese troops to use Zambia as a launchpad to reach Kinshasa.

Now Mobutu was busted. Nyerere went to Zaire, in a great pomp and fanfare, made a fiery speech praising his faithful lieutenants Kabila, M7 and Kagame, promising them a new beginning for Zaire.

Like disasters in Libya and Iraq, the ousting of Mobutu was a tragic diplomatic and security blunder. Zaire never recovered, and millions of innocent people keep on dying.

Now, circa 2010, a Tanzanian lawyer Prof Juan Mwaikusa came up with an incendiary report, intended to be taken to the ICTR, claiming that the 1994 Genocide was sparked by some politicians within the region, few days later he was gunned down by unknown assailants at his home in DSM. The Government never found the killers.

Anyway always follow the money, you may find who's the real dealer.

#You're Welcome By The Way.​
Well explained than earlier.

My point was not to blame Tz security for assassination that was perpetrated in Kigali, Rwandan land.

Bare in mind, the war was ongoing...PK came from the battle field....anything was possible either planned or haphazard....



Am a bit skeptical of the so called Mwalimu involvement... aiding Tutsi or being aware of later Hyabarimana assassination ... ..this theoretical narrattion always comes from Mwalimu critics.....

Mwalimu was not an angel, however he took a dire risk which could have tarnished his esteemed advocacy for peace in the region for decades. He had to do some follow-ups and engaged the two parts where necessary.... I applaude himfor this.... by the way after his death Mandela took off where Mwalimu left.....
 
Well explained than earlier.

My point was not to blame Tz security for assassination that was perpetrated in Kigali, Rwandan land.

Bare in mind, the war was ongoing...PK came from the battle field....anything was possible either planned or haphazard....



Am a bit skeptical of the so called Mwalimu involvement... aiding Tutsi or being aware of later Hyabarimana assassination ... ..this theoretical narrattion always comes from Mwalimu critics.....

Mwalimu was not an angel, however he took a dire risk which could have tarnished his esteemed advocacy for peace in the region for decades. He had to do some follow-ups and engaged the two parts where necessary.... I applaude for this.... by the way after his death Mandela took off where Mwalimu left.....
Mwalimu was a legend. And I cannot blame him for problems cascading the African Great Lake Regions, because they predate him and his proteges.

Thou, one thing is certain. Mwalimu, Mwinyi, Kagame and M7 knew exactly who had the smoking gun, a.k.a culprits behind the assassinations.

Tsishekedi made a right choice not to attend a Joint Summit. It's another waste of time.​
 
Back
Top Bottom