Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Mfano wa Kagame ulikuwaje?Naomba serikali ichukuwe mfano wa Kagame kuhusu makanisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano wa Kagame ulikuwaje?Naomba serikali ichukuwe mfano wa Kagame kuhusu makanisa.
Akate leseni basi,aendele kutapeli vizuriKama tumeruhusu uwepo wa nyumba za ibada zisizosajiliwa,basi kumfungia huyu jamaa ambaye ameanza kutoa huduma hapo matembele mwisho tangu miaka ya 2007 hadi sasa basi itakuwa siyo haki wakimfungia Leo baada ya miaka yote hiyo.
Wasitake kuanza kutugawa watanzania kwa kigezo Cha udini.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Hii ndio ilikuwa busara,labda kama kuna lingine la kisiasa,haiingii akilini kuwakosesha watu 4000 ibada kisa usajili ambao hamkuufuatilia kwa muda mrefuKama hana kibali sio kulifunga ni kumpa mda atafute kibali
Bila shaka na wewe alikufanyia hio simulation kwa hilo tango.Maana kama ulikubali kifuatacho ni action.Mungu awalinde wakristo wote wasio na maarifa,wasiosoma biblia, wasiojitambua na walio ktika msafara wa mambaNabii wa kanisani kwetu akiwa katika ibada takatifu😁😁😁
View attachment 2455937
Hakuna makanisa ya makanjanjaMfano wa Kagame ulikuwaje?
Bila shaka na wewe alikufanyia hio simulation kwa hilo tango.Maana kama ulikubali kifuatacho ni action.Mungu awalinde wakristo wote wasio na maarifa,wasiosoma biblia, wasiojitambua na walio ktika msafara wa mamba
Bila shaka huyu atakuwa mke wa huyo mshika tango.Au ndio shemeji yangu kwako.??
Ndio maana nikauliza alifanyaje au aliweka vigezo gani,au kibabe tu anazuia maana huko kwao yeye anajiona ndio mwenye akili kuliko woteHakuna makanisa ya makanjanja
Wakusanya sadaka,wauza mafuta,maji ya upako huko
Ova
DuhNabii wa kanisani kwetu akiwa katika ibada takatifu😁😁😁
View attachment 2455937
Wewe amekipa nini?Ni nabii,, mtu mmoja mcheshi sana, mtu wa watu,, kama una shida yeyote iwe ni ya kifedha, kiafya, unataka gari, nyumba,, mwone huyo nabii😄
Pale aliniombea nikapata kazi ya uwatchman maeneo ya mkwajuni🤷🏽♂️Wewe amekipa nini?
Na misikiti pia maana inapiga keleleNaomba serikali ichukuwe mfano wa Kagame kuhusu makanisa.
Huyo Kagame ni Mungu wako? Serikali iki regulate misikiti patawaka moto!!Naomba serikali ichukuwe mfano wa Kagame kuhusu makanisa.