Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye

Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye

Serikali inakosea sana kutoa vibali vya kufungua makanisa,,ninaona ni bora iwe inashirikiana na taasisi zote za kikristo kusajili au kutoa kibali chochote e,g Tec,na umoja wa makanisa ya kipentekoste,,kwa sababu kuna makanisa mengi sana ya kihuni yanaanzishwa..Lazima kuandaliwe vigezo hata 100 vya kulisajili kanisa ili kuepukana na makanisa fake yenye mafundisho fake na maombi fake..Na hivyo vigezo viwe ni mchanganyiko vya umoja wa makanisa na serikali. La sivyo mpaka waganga wa kienyeji watafungua makanisa....Huyo suguye anajiita eti chief prophet,,sijui alipatia wapi hicho cheo cha kujimwambafy,,,lazima kuwe na filter makini dhidi ya makanisa mapya,,, siku hizi hadi watu wachafu kama lgbt nao husajili makanisa yao ya geresha na haramu lazima kuwe na mchujo ili wasije nao tukawaona Tanzania
Imani si suala la ujumla mpaka ulazimishe watu wa Makanisa fulani wasimamie wenzao wakati imani zao haziendani.

Ndo maana Serikali yenyewe INASAJILI Makanisa na Madhehebu kwa vigezo vyake, huwezi kuwapa Makanisa fulani nguvu juu ya wengine huku tukisema kuwa Serikali yetu haina DINI wala DHEHEBU.

Leo hii kuna waoamini kwenye Mafuta, Maji, Vitambaa, Zabibu... Wengine imani yao hairuhusu kudungwa sindano hata kama wanakiona kifo.. Sasa kwa huu mvurugano yupi utampa MAMLAKA juu ya wengine.
 
Kanisa la WRM linaloongozwa na nabii Suguye, limezuiwa kuendelea kutoa huduma za kiroho mpaka litakapokamilisha hatua za usajili.

Hayo yanakuja siku chache kabla ya nabii Suguye kuwaagiza waumini kwenda na nywele za utosini ili kuwakinga na maadui zao.

Kanisa hilo lililopo kivule,matembele ya pili limejizolea umaarufu na baadhi ya waumini wake ni Mh Mwita Waitara.

Una maoni yoyote kuhusu hili na makanisa ya kinabii kwa ujumla?
Source :Mwananchi
Yaan ukiwa na matatzo kila jambo utafanya
 
Screenshot_20221223_191655.jpg
 
Back
Top Bottom