econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Usajili? Dunia ina mambo, yaani kumuabudu Mungu hadi usajili? Labda kama ni chama cha siasa au NGOs za kiharakati.
Lazima visajiliwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usajili? Dunia ina mambo, yaani kumuabudu Mungu hadi usajili? Labda kama ni chama cha siasa au NGOs za kiharakati.
Mmoja wa manabii wa uongo, mission town, tapeli, anayechukua sadaka za watu kwa kutumia jina la Yesu Kristo.Suguye ndiyo nani?
Hawezi kuendesha huduma muda wote huo bila kibali, ni vita ya kiuchumi tu hapo.
Mimi siyo muumini wa hizi NGO lakini natowa ushuhuda kuna Dada namjuwa fika alipata upofu kwa miaka kadhaa na ninaamini ulikuwa ni ushirikina, alimaliza hospitali zote, na alimaliza makanisa yote lakini alipata uponyaji kwa Suguye na Sasa anaona kama kama zamani.
Naweza kulishuhudia hili pasipo na shaka yoyote, ingawa Mimi binafsi sina imani na watu hawa.
Yule ni shetani hataki ibadaMfano wa Kagame ulikuwaje?
Vipi mabar hamyaoni
Injili haiendi hivyo.Mungu haitaji chuo,umuinua yeyeto amtakae.Mfano wa Kagame, anaetaka kuanzisha kanisa ni lazima awe na degree ya Theology kutoka chuo kinachotambulika na serikali. Nami niongezee, awe na degree ya falsafa kutoka chuo kinachojulikana.
Tangu 2007 apewe muda tenaKama hana kibali sio kulifunga ni kumpa mda atafute kibali
Why 2022 ndiyo wamefungie na si 2007??Suguye, anayetambuliwa na waumini wake kama nabii, alianza kutoa huduma za kiroho mwaka 1998 kabla ya kuanzisha kanisa hilo mwaka 2007.
Suguye ndiyo nani?
Hapa kuna hujuma za kiroho na siyo huduma. Hawa ni matapeli na wavivu wa kutafuta wanaowatia wajinga na wapumbavu wetu wengi waliokata tamaa ujinga na umaskini. Heri lingebomolewa akauze nyanya.Huduma za kiroho katika Kanisa la The
Word of Reconciliation Ministries (WRM) la Kivule- Matembele ya pili, jijini Dar es Salaam zimesitishwa huku ulinzi wa Jeshi la Polisi ukiimarishwa ili kuzuia huduma yoyote isifanyike.
Huduma ya kanisa hilo lililo chini ya Nabii Nicolaus Suguye imezuiliwa kwa zaidi ya wiki mbili zilizopita, huku waumini zaidi ya 4,000 wakidai kupewa maelekezo ya kutakiwa
kutafuta maeneo mengine ya kuabudu.
Vyanzo vinaeleza kanisa hilo lilikuwa ni miongoni mwa taasisi ambazo hazijapata usajili rasmi, isipokuwa barua ya usajili wa awali inayoruhusu kufanya huduma sehemu moja bila kualika
wageni kutoka nje, kufungua matawi na kufanya
makongamano huku Serikali ikifanya uchunguzi wa mwenendo wake.
Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alisema kwa sasa anayelalamikia si yeye (Suguye) kwani yeye anajua kanisa halina usajili na anajua
kwa nini amefungiwa.
Mwananchi tangu juzi na jana iliwatafuta Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni na naibu wake, Jumanne Sagini ambao taasisi za dini ziko chini ya wizara yao, lakini hawakupokea simu na wakati mwingine zilizimwa.
Msemaji wa wizara hiyo, Christina Mwangosi alipokea simu mara moja na alipotakiwa kutoa ufafanuzi wa suala hilo aliomba apigiwe baadaye.
Hata hivyo, alipotafutwa baadaye hakupokea tena na mwandishi alipofika ofisi za msajili wa taasisi hizo jijini Dar es Salaam alikutana na maofisa waliomwambia hawawezi kulizungumzia suala hilo isipokuwa msemaji.
Suguye, anayetambuliwa na waumini wake kama nabii, alianza kutoa huduma za kiroho mwaka 1998 kabla ya kuanzisha kanisa hilo mwaka 2007.
Wee ndio tapeli na urangi wako Kaz kuendekeza uchawi na ushirikina nyoko.Hawa matapeli wamechachama kwerikweri
Ova
mie ningewapoteza kiaina wooote hawa wahuni malaya wakubwa wavunja ndoa za watu! ningejpa mwaka tu kuzika woote hawa
Hizi dini kuna watu wanazitumia kwa kujinufaisha kibinabsi.
cha kushangaza wanajifanya welevu sana, kumbe ni matahiraWaumini wao ni wabishi sana
Tuwe wabia mkuu,Ndio ivyo mimi pia na mpango wakusajili kanisa langu
Tuwe wabia mkuu,
natoa eneo, na nakua mweka hazina wa kanisa
wewe uwe mtumishi.
cha kushangaza wanajifanya welevu sana, kumbe ni matahira