M2WAWA2
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 3,285
- 5,598
waigizaji wapo wengi,Karibu sana tutafute watu wa kuigiza wana mapepo kama watano tu af sisi tukafungue kigamboni kule au ilala
pepo wanatolewa online, kikubwa bando
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waigizaji wapo wengi,Karibu sana tutafute watu wa kuigiza wana mapepo kama watano tu af sisi tukafungue kigamboni kule au ilala
waigizaji wapo wengi,
pepo wanatolewa online, kikubwa bando
Kuna jamaa anahubiria mpaka muda huu saa Saba kasoro usiku so walioko jirani naye nadhani hawalali. Yaani bana Hawa wakristo wansali wasikwie na watu Kama kutaka their ego to be nurtured. Na yesu akikataa tuwe tusipayuke kuwa tusitake kusiika na mataifa Kama kutaka thawabuHellow
Serikali imeingilia kati huduma za kiroho zitolewazo kanisa la WRM kivule maharufu kwa nabii suguye mpka sasa hawajatoa sababu maalumu ya kuzuia huduma hizo kusitishwa kwenye kanisa hilo.
Kwa upande wangu kama walivyo chunguza hilo kanisa na kugundua mapungufu yaliyopo basi wafanye hivyo kwa Mwamposa pia japo watu wanaosali huko kwa Mwamposa wakisikia unamponda watakujia juu as if walizaliwa huko.
Na baada ya hapo pia mchunguzeni pia Kuhani Musa nae ana jambo lake yule msihishie hapo tu piteni, na kwa Gwajima hawa watu wana kula hela za masikini acha leo tuwapazie sauti wanyonge hawa labda watatukumbuka huko mbeleni.
Mkalitazame na mnipe mrejesho nawasilisha.
Kuna jamaa anahubiria mpaka muda huu saa Saba kasoro usiku so walioko jirani naye nadhani hawalali. Yaani bana Hawa wakristo wansali wasikwie na watu Kama kutaka their ego to be nurtured. Na yesu akikataa tuwe tusipayuke kuwa tusitake kusiika na mataifa Kama kutaka thawabu
Ujue Hawa watu banaWafike serikali za mtaa waseme kero yao
Ujue Hawa watu bana
Ninazo janja zote wafanyazo naungana nanyi tuanzishe tuwaibie wajinga.Tuwe wabia mkuu,
natoa eneo, na nakua mweka hazina wa kanisa
wewe uwe mtumishi.
Kinachoitwa huduma ya kiroho kiroho si kingine bali hujuma ya kiroho ambapo matapeli huwachezea akili wajinga na wapumbavu waliokata tamaa na kuwaibia. Yesu hakuhubiri upuuzi wanaohubiri. Hata hivyo, serikali ilichelewa kuwashukia wezi hawa wa kiroho wenye kujaa roho mtakakitu.Hellow
Serikali imeingilia kati huduma za kiroho zitolewazo kanisa la WRM kivule maharufu kwa nabii suguye mpka sasa hawajatoa sababu maalumu ya kuzuia huduma hizo kusitishwa kwenye kanisa hilo.
Kwa upande wangu kama walivyo chunguza hilo kanisa na kugundua mapungufu yaliyopo basi wafanye hivyo kwa Mwamposa pia japo watu wanaosali huko kwa Mwamposa wakisikia unamponda watakujia juu as if walizaliwa huko.
Na baada ya hapo pia mchunguzeni pia Kuhani Musa nae ana jambo lake yule msihishie hapo tu piteni, na kwa Gwajima hawa watu wana kula hela za masikini acha leo tuwapazie sauti wanyonge hawa labda watatukumbuka huko mbeleni.
Mkalitazame na mnipe mrejesho nawasilisha.
Nywele za utosini?.Huu si ushirikina Kweli?.Habari ndo hyo ya Mjini View attachment 2456268
Serikali inakosea sana kutoa vibali vya kufungua makanisa, ninaona ni bora iwe inashirikiana na taasisi zote za kikristo kusajili au kutoa kibali chochote e.g Tec,na umoja wa makanisa ya kipentekoste, kwa sababu kuna makanisa mengi sana ya kihuni yanaanzishwa.
Lazima kuandaliwe vigezo hata 100 vya kulisajili kanisa ili kuepukana na makanisa fake yenye mafundisho fake na maombi fake. Na hivyo vigezo viwe ni mchanganyiko vya umoja wa makanisa na serikali. La sivyo mpaka waganga wa kienyeji watafungua makanisa.
Huyo Suguye anajiita eti chief prophet, sijui alipatia wapi hicho cheo cha kujimwambafy, lazima kuwe na filter makini dhidi ya makanisa mapya, siku hizi hadi watu wachafu kama lgbt nao husajili makanisa yao ya geresha na haramu lazima kuwe na mchujo ili wasije nao tukawaona Tanzania
Hakuna makanisa ya makanjanja
Wakusanya sadaka,wauza mafuta,maji ya upako huko
Ova
Kwa nini iwe sasaKama hajakamilisha usajili, sioni kama kuna udine hapo..!!
Hakuna udini hapo Acha kujipaka damu..Sisi wakristo tunaojielewa hatuwezi kuona udiniUdini awamu ya sita inatisha sana
Kanisa katoliki wanauza rozali, wanauza vitabu na hadi bar za kuuza pombe wanamiliki, anayebisha aende Msimbazi center na maporokia mengine hukosi bar ya kuuza pombe.Makanisa yote wanakusanya. Kuuza mafuta na maji ya upako ni aina ya biashara walizochagua wao.
Umeshindwa kumvumilia Jirani yako kwa issue ya siku moja tu? Kuna watu MNA roho ngumu sana.Mimi hapa kuna jiran ana sherehe kapig mziki mpak saa sita nimemfwata nimemuambia tunatak kulala amepunguza sasa
Hili swali lipo VALID kwa muda wote..!!Kwa nini iwe sasa
Kwani umesoma sababu ya kufunguwa toka kwa mtoa mada? Amekiuka masherti ya usajiliKama tumeruhusu uwepo wa nyumba za ibada zisizosajiliwa,basi kumfungia huyu jamaa ambaye ameanza kutoa huduma hapo matembele mwisho tangu miaka ya 2007 hadi sasa basi itakuwa siyo haki wakimfungia Leo baada ya miaka yote hiyo.
Wasitake kuanza kutugawa watanzania kwa kigezo Cha udini.
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app