Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye

Dar: Serikali yalifunga Kanisa la Nabii Suguye

Kanisa la WRM la Nabii Suguye lililopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es salaam limesitishwa na Serikali kutoa Huduma za Kiroho

Waumini wa Kanisa hilo wameshauriwa kutafuta Makanisa mengine

Waumini wa WRM ndio hutakiwa kupeleka nywele za utosini na kucha Kanisa.

Miongoni mwa Watu maarufu wanaosali WRM ni pamoja na mbunge wa Chadema, mh Halima James Mdee na msanii wa muziki wa Kizazi kipya Nandi

Source: ZamaMpya tv
 
Kanisa la WRM la Nabii Suguye lililopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es salaam limesitishwa na Serikali kutoa Huduma za Kiroho

Waumini wa Kanisa hilo wameshauriwa kutafuta Makanisa mengine

Waumini wa WRM ndio hutakiwa kupeleka nywele za utosini na kucha Kanisa.

Miongoni mwa Watu maarufu wanaosali WRM ni pamoja na mbunge wa Chadema, mh Halima James Mdee na msanii wa muziki wa Kizazi kipya Nandi

Source: ZamaMpya tv
Bila shaka kanisa hilo litakuwa limefungiwa kwa njama za CCM ilikuwakomoa CHADEMA. Mungu anawaona enyi magamba mliokula njama kutekeleza uhuni huu.
 
Siku hizi washirikina nao hujificha kwenye pazia la dini.

Lakini wa kushangaa ni hao waumini ambao utakuta wanamfuata mtu ambaye kwa matendo yake ni dhahiri ni mshirikina/mchawi au tapeli lhuku akijiita nabii, mchungaji au askofu.

Kristo aliyaona haya kabla hayajatukia, aliposema, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa", na kwamba kutakuwa na manabii wa uwongo. Sahizi tunashuhudia. Japo si haki yangu kuhukumu, lakini kwa maarifa aliyenijalia Muumba wetu, nathubutu kusema kuwa wote wanaojiita manabii, ni hao manabii wa uwongo na matapeli.
 
Siku hizi washirikina nao hujificha kwenye pazia la dini.

Lakini wa kushangaa ni hao waumini ambao utakuta wanamfuata mtu ambaye kwa matendo yake ni dhahiri ni mshirikina/mchawi au tapeli lhuku akijiita nabii, mchungaji au askofu.

Kristo aliyaona haya kabla hayajatukia, aliposema, "watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa", na kwamba kutakuwa na manabii wa uwongo. Sahizi tunashuhudia. Japo si haki yangu kuhukumu, lakini kwa maarifa aliyenijalia Muumba wetu, nathubutu kusema kuwa wote wanaojiita manabii, ni hao manabii wa uwongo na matapeli.
Merry Christmas
 
Kanisa la WRM la Nabii Suguye lililopo Kivule matembele ya pili jijini Dar es salaam limesitishwa na Serikali kutoa Huduma za Kiroho

Waumini wa Kanisa hilo wameshauriwa kutafuta Makanisa mengine

Waumini wa WRM ndio hutakiwa kupeleka nywele za utosini na kucha Kanisa.

Miongoni mwa Watu maarufu wanaosali WRM ni pamoja na mbunge wa Chadema, mh Halima James Mdee na msanii wa muziki wa Kizazi kipya Nandi

Source: ZamaMpya tv
Kwa kosa gani?
 
Kanisa la WRM linaloongozwa na nabii Suguye, limezuiwa kuendelea kutoa huduma za kiroho mpaka litakapokamilisha hatua za usajili.

Hayo yanakuja siku chache kabla ya nabii Suguye kuwaagiza waumini kwenda na nywele za utosini ili kuwakinga na maadui zao.

Kanisa hilo lililopo kivule,matembele ya pili limejizolea umaarufu na baadhi ya waumini wake ni Mh Mwita Waitara.

Una maoni yoyote kuhusu hili na makanisa ya kinabii kwa ujumla?
Source :Mwananchi
Huyu jamaa atakuwa ameawafukunyua sana wake za watu

Ova
 
Usajili? Dunia ina mambo, yaani kumuabudu Mungu hadi usajili? Labda kama ni chama cha siasa au NGOs za kiharakati.
Hujui utaratibu na Sheria za nchi yako wewe mmumini wa Suguye. Unachojuq ni kufuata utaratibu batili wa tapeli Suguye wa kubeba kucha na nywele za utosini mwako tu.
 
Yafungwe tu kabla hatujafikishwa huku....

1671979526129.jpeg
 
Kisheria ili kusajili taasisi hizo za kidini, mwombaji anatakiwa kuwa na nakala za katiba, kujaza fomu mbili yenye wasifu wa viongozi, muhtasari wa vikao, kulipia ada ya maombi ya usajili, ada ya usajili, ada na tozo ya kila mwaka baada ya kusajiliwa na kuwasilisha ripoti ya utendaji na fedha ya kila mwaka.
Nina imani hivyo vyote Mwamposa hana. Sasa inakuwaje yeye aendelee kutamba wakati Suguye anapigishwa kwata na serikali ya CCM? Au haya ni mazingaombwe ya CCM ili kutusahaulisha kukatika kwa umeme na ukali wa maisha?
 
Hujui utaratibu na Sheria za nchi yako wewe mmumini wa Suguye. Unachojuq ni kufuata utaratibu batili wa tapeli Suguye wa kubeba kucha na nywele za utosini mwako tu.
Mkuu hawa wanawake wewe waone hivihvi....wana maajabu sana. Ndio maana walidanganywa na shetani kula tunda walilokatazwa na Mungu. Bado roho ya ushetani inawaandama.
 
Hellow

Serikali imeingilia kati huduma za kiroho zitolewazo kanisa la WRM kivule maarufu kwa nabii Suguye mpaka sasa hawajatoa sababu maalumu ya kuzuia huduma hizo kusitishwa kwenye kanisa hilo.

Kwa upande wangu kama walivyo chunguza hilo kanisa na kugundua mapungufu yaliyopo basi wafanye hivyo kwa Mwamposa pia japo watu wanaosali huko kwa Mwamposa wakisikia unamponda watakujia juu as if walizaliwa huko.

Na baada ya hapo pia mchunguzeni pia Kuhani Musa nae ana jambo lake yule msihishie hapo tu piteni, na kwa Gwajima hawa watu wana kula hela za masikini acha leo tuwapazie sauti wanyonge hawa labda watatukumbuka huko mbeleni.

Mkalitazame na mnipe mrejesho nawasilisha.

========

Huduma za kiroho katika Kanisa la The Word of Reconciliation Ministries (WRM) la Kivule- Matembele ya pili, jijini Dar es Salaam zimesitishwa huku ulinzi wa Jeshi la Polisi ukiimarishwa ili kuzuia huduma yoyote isifanyike.

Huduma ya kanisa hilo lililo chini ya Nabii Nicolaus Suguye imezuiliwa kwa zaidi ya wiki mbili zilizopita, huku waumini zaidi ya 4,000 wakidai kupewa maelekezo ya kutakiwa kutafuta maeneo mengine ya kuabudu.

Vyanzo vinaeleza kanisa hilo lilikuwa ni miongoni mwa taasisi ambazo hazijapata usajili rasmi, isipokuwa barua ya usajili wa awali inayoruhusu kufanya huduma sehemu moja bila kualika wageni kutoka nje, kufungua matawi na kufanya makongamano huku Serikali ikifanya uchunguzi wa mwenendo wake.

“Baada ya uchunguzi wa mamlaka za usajili imeonekana huduma ya WRM imepungukiwa sifa za kupata usajili kamili, hivyo ikapewa notice ya kuzuiwa kuendelea na shughuli, ikisajiliwa ataruhusiwa kuendelea na shughuli za kutoa huduma ya neno la Mungu,” kilieleza chanzo.
Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alisema kwa sasa anayelalamikia si yeye (Suguye) kwani yeye anajua kanisa halina usajili na anajua kwa nini amefungiwa.

Muliro alisema wao ni wasimamizi wa sheria na wanapaswa kuzilinda, “na kama (kufungiwa) ingekuwa ni kinyume cha sheria au taratibu unafikiri wenye kanisa wangekaa kimya? Kuna vitu haviko sawa kuhusiana na taasisi hiyo ya dini na lazima vitimie.”

Suguye, anayetambuliwa na waumini wake kama nabii, alianza kutoa huduma za kiroho mwaka 1998 kabla ya kuanzisha kanisa hilo mwaka 2007.
Kanisa hilo limefungwa ikiwa ni mwaka mmoja baada ya wizara hiyo chini ya ofisi ya Msajili wa Jumuiya, Emmanuel Kihampa kutangaza mabadiliko ya hadhi ya vyeti vya usajili wa taasisi za kidini na jumuiya mbalimbali za kijamii inayoelekeza kuhuisha vyeti vya usajili kila baada ya miaka mitano.

Pia limefungiwa ikiwa ni miezi minne baada ya Nabii Suguye kuibua mjadala ufunuo wa kucha na nywele, akidai Mungu wake kuagiza waumini kutoa kucha za kidole cha mwisho cha kushoto (mguu na mkono) na nywele za utosini na paji la uso kisha kufunga kwenye kitambaa cheupe ili awaponye.

Kisheria ili kusajili taasisi hizo za kidini, mwombaji anatakiwa kuwa na nakala za katiba, kujaza fomu mbili yenye wasifu wa viongozi, muhtasari wa vikao, kulipia ada ya maombi ya usajili, ada ya usajili, ada na tozo ya kila mwaka baada ya kusajiliwa na kuwasilisha ripoti ya utendaji na fedha ya kila mwaka.
As nation is good start ibada zimekuwa zakichawi sio maombi
 
Mimi siyo muumini wa hizi NGO lakini natowa ushuhuda kuna Dada namjuwa fika alipata upofu kwa miaka kadhaa na ninaamini ulikuwa ni ushirikina, alimaliza hospitali zote, na alimaliza makanisa yote lakini alipata uponyaji kwa Suguye na Sasa anaona kama kama zamani.
Ulimjua huyo dada kabla ama ulimuonea hapo hapo kanisani/kwenye runinga ?

Ndugu yangu usihadaike. Hawa ni wahuni tu Kama wahuni wengine. Huyo dada alikuwa kipofu wamchongo!!
 
Back
Top Bottom