Lusekelo alitoa matamko kwa waandishi wa habari kuwa watakufa ila hadi leo hakuna aliyekufa mbaya sana naye mwenyewe hajaenda kuuza gongo kama alivyoahidi.
Shekhe naye kaingia mkenge ule ule wa Mzee shekhe Yahya,.
Yaani, daima siasa uchwara mbuzi zitakutokea puani tu ukijiingiza bila kufata principles.
Tunasubiria mwisho wa Mange kimambi ndani ya hii 2018.
Ila akivuka hadi 2019 sijui majibu yake kwa shekhe yatakuwa ni nini hasa!? Shekhe ajiandae kupata aibu za daima pale Miss. Kimambi atakapo toboa hadi 2019
Any way, Shekhe na hadhi yake kwa dini na hapo nchini siyo mtu wa kujibizana na Mangi Kimambi.