DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

DAR: Sheikh wa Mkoa, Mussa Alhad atangaza mwisho wa Mange Kimambi kutukana, kushughulika na JamiiForums kisheria

Hicho anachokieleza kwamba Mange "ataondoka" ni kuwazia mambo yasiyowezekana! Katika nyakati zetu ni lazima kuacha kutumia matisho kama zamani kwamba ukimfanya hivi dhidi ya dini utadhurika. Kama anamaanisha kuwa Yeye Sheikh na viongozi wenzie watamuomba Mungu ili "amupumzishe" Kimange hilo ni jambo ambalo Mungu hawezi kufanya kabisa! Labda kama kuna Mungu tofauti na tunayemjua wengine. Ningeelewa zaidi ikiwa angemuombea Mange maisha marefu na kujaliwa moyo Wa kutambua makosa yake na kutubu.
Aisee hiyo kitu ipo kabisa na Mola huwa anasikia!
Nimeshuhudia watu wakianguka
Mtu mwenye ukaribu na Mwenye Enzi Mungu sio wa kuchezea
Soma kitabu cha Samueli
 
Hicho anachokieleza kwamba Mange "ataondoka" ni kuwazia mambo yasiyowezekana! Katika nyakati zetu ni lazima kuacha kutumia matisho kama zamani kwamba ukimfanya hivi dhidi ya dini utadhurika. Kama anamaanisha kuwa Yeye Sheikh na viongozi wenzie watamuomba Mungu ili "amupumzishe" Kimange hilo ni jambo ambalo Mungu hawezi kufanya kabisa! Labda kama kuna Mungu tofauti na tunayemjua wengine. Ningeelewa zaidi ikiwa angemuombea Mange maisha marefu na kujaliwa moyo Wa kutambua makosa yake na kutubu.
labda kama tuna imani tofauti... mungu anakupa kwa hitaji lako... hata ukitaka kuua...! au mpaka tukupe aya mkuu...! mungu sio wako pekee... ni wawote... wabaya, watakatifu... nk wanyama...
 
Kila mchuma janga hula na nduguze,juzi tumemzika jamaa kwa dhulma ya wizi...kaenda kuvamia kwa ndugu zetu wakigoma nao wakajibu mapigo Mara baada ya kutangaza kwa siku tatu mfululizo.RIP frank jembe langu.
Hii misemo mingine sio ya kupuuzia kwa kweli!
Si unakumbuka kesi ya kina Nyaga Mawala na wanawake wa kimasai?
Ehh Maulana Mola wangu tunusuru walahi!
 
Aliyemshauri kumjibu Mange ndio kakosea.. Pole sana kwa sheikh, ila Mange kamwambia ukweli mtupu... Mange ni mwana TANU yule, hivi mnazikumbuka ahadi kumi za mwana TANU? Basi Mange anaziishi zile ahadi zote hasa ile ahadi inayosema "8.Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko". Na kama kuna ahadi Mange imemshida kidogo ni moja tu ile ya mwisho... "10. Nitakuwa mtii kwa Raisi na serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania". hiyo tu...
 
Lusekelo alitoa matamko kwa wandishi wa habari kuwa watakufa ila hadi leo hakuna akiyekufa mbaya sana naye mwenyewe hajaenda kuuza gongo kama alivyoahidi.

Shekhe naye kaingia mkenge ule ule wa Mzee shekhe Yahya,.

Yaani, daima siasa uchwara mbuzi zitakutokea puani tu ukijiingiza bila kufata principles.

Tunasubiria mwisho wa Mange kimambi ndani ya hii 2018.
Ila akivuka 2019 sijui majibu yake kwa shekhe yatakuwa ni nini hasa!?

Any way, Shekhe na hadhi yake kwa dini nannchini siyo mtu wa kujibizana na Mangi Kimambi.
Lusekelo alimtaka Ney wa mitego hasi mjaribu mungu... kwa uhuni wake wa kutaka kuanzisha kanisa... bila uelewa mpana wa bible...
 
sifikirii na sidhani kama mange atadhurika

jambo la aibu sana kiongozi wa dini kumtamkia mfuasi ukomo kisa mna personal interest alitakiwa amsahihishe tu na kumsaidia kimawazo lakini suala la ukomo wa mtu hilo ni jambo la Mungu tena
 
Aisee hiyo kitu ipo kabisa na Mola huwa anasikia!
Nimeshuhudia watu wakianguka
Mtu mwenye ukaribu na Mwenye Enzi Mungu sio wa kuchezea
Soma kitabu cha Samueli

Hakuna mtu mwenye uwezo huo mkuu. Kinachoweza kutokea ni watu kumuvizia mhusika na kumuwekea sumu katika vyakula au mazingira ambayo akigusana nayo anadhurika taratibu au ghafla tu. Vinginevyo Mungu hawezi kusikiliza sala za kijinga za watu wake wafe kabla ya malengo ya watu hao kuumbwa butimia.
 
Back
Top Bottom