habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Lkn kile alifhokisema yule mdada ni kweli au si kweli kuwa anachanganya siasa na dini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanzo mbaya kabisa wa mashindano mabaya ambayo yanweza muingiza ktk dhambi,Shekhe mkuki umemwingia kashindwa kuvumilia,Sasa hiyo dua isipompata sijui atajificha wapi.
Wacha uzamani kijana kuwa na fikra huru.shekhe yuko sahihi sana tena sana maana huyu mama alizidi aise kutuchafulia hali ya hewa mtandaoni.
Naaam na hapa ndo tunaona kilichopo ndani ya mioyo ya viongozi wetu wa diniAlipashwa amuombee kwa mwenyezi Mungu amrejeshe kwenye mstari na sio kumlaani,
Mtume alipigwa mawe na akawaombea waliompiga Mungu awasamehe, Yesu pia aliwaombea wakosaji wasamehewe
Wewe unajua anakotokea Lipumba? Usimuone mwepesi! Kamuulize Maalim Seif anajua songombingo za jamaa.Hiyo albadiri ingekuwepo hadi sasa Lipumba angekua kichaa au marehemu kwa jinsi alivyowachezea Cuf ya Pemba kama apendavyo
Kwani amesema atakufa au kasema kutukana mwisho mwaka huu?Hakuna mtu mwenye uwezo huo mkuu. Kinachoweza kutokea ni watu kumuvizia mhusika na kumuwekea sumu katika vyakula au mazingira ambayo akigusana nayo anadhurika taratibu au ghafla tu. Vinginevyo Mungu hawezi kusikiliza sala za kijinga za watu wake wafe kabla ya malengo ya watu hao kuumbwa butimia.
Kwa hyo hata Mange akiamua nae kumuomba huyo mungu wako nae aue anaetaka yy afe mungu wako anatekeleza tu,kwa mujibu wa aya unayotaka kutupa,labda kama tuna imani tofauti... mungu anakupa kwa hitaji lako... hata ukitaka kuua...! au mpaka tukupe aya mkuu...! mungu sio wako pekee... ni wawote... wabaya, watakatifu... nk wanyama...
Kwa 'promo' hii huenda Mange akaongeza followers zaidi ya laki tano kwa mwezi hivyo kuzidi kuhabarisha zaidi!Anamjibu Mange, angetumia Instagram tu asiwachoshe wanahabari
Hivi alichotuhumiwa nacho ni kweli au si kweli?Naaam na hapa ndo tunaona kilichopo ndani ya mioyo ya viongozi wetu wa dini
Ambao wanatufundisha msamaha lkn wao hawasamehi,wanatufunfisha kuepuka visasi lkn wao ndo mabingwa wa visasi,
Huu si mfano mzuri kabisa
Believe meHakuna mtu mwenye uwezo huo mkuu. Kinachoweza kutokea ni watu kumuvizia mhusika na kumuwekea sumu katika vyakula au mazingira ambayo akigusana nayo anadhurika taratibu au ghafla tu. Vinginevyo Mungu hawezi kusikiliza sala za kijinga za watu wake wafe kabla ya malengo ya watu hao kuumbwa butimia.
Sio kweliHivi alichotuhumiwa nacho ni kweli au si kweli?